Kilimo kinahitaji uwekezeji mkubwa ili uone faida

Mkiwa nje mnaota ndoto za mchana kwa kutheorize fanya utafiti kwanza kabla ya kuandika. Kwa taarifa yako chainsaw hairuhusiwi hapa Tanzania.
Siyo Mikoa yote imeweka katazo la kutumia Chainsaw.
 
Sky soko likiwa zuri na uhakika hata ukilima ekari moja tu kwa mkono unatoboa.
 
Mimi ni mkulima wa miti ya mbao. Nakueleza kitu cha uhakika. Kama unapinga muulize Afisa misitu ili upate ukweli. Aidha uliza watu wa kutoka Moshi wakueleze kuwa mlio tu wa chain saw ni hatari mpaka watu wanawashia ndani ya ndoo.
mlio wa chainsaw Kilimanjaro ni kisanga mkuu, lazima uwe na kibali cha kuimiliki kutoka maliasili, na hata miti utakayoenda kuikata mwenye miti awe ameomba kibali cha kukata hiyo miti pia. Vinginevyo Chainsaw inataifishwa na unafungwa pamoja na faini Juu
 
Tusichielewa ni kwa nafaka ni utajiri wa kwanza duniani. Katika heka 20 unaweza kuacha heka mbili za chakula chako cha ziada kama mihogo, migomba na viazi vitamu. Ukiacha heka 18 kwa nafaka kama mpunga au mahindi.

Ukiyahifadhi vizuri ghalani unaweza kusikilizia soko kabla hujauza.
 

Hitimisho
Tutaongea yote mwisho wa siku pesa tunatoa wapi kwa hayo
 
Sio kweli mwaka jana mwezi wa 11 tumenunua chain saw kariakoo tena mpya kabisa
 
Ukweli kabisa
 
Hitimisho
Tutaongea yote mwisho wa siku pesa tunatoa wapi kwa hayo
Bahati mbaya wengi wanasubiri pesa ya mafao baada ya kustaafu ndiyo wanaingiza kwenye kilimo. Kilimo kinahitaji nguvu, ukianza ukiwa 25-30 mpaka ukifika 50-55 mashamba yanajiendesha yenyewe wewe uangalizi wako uko kwenye pesa
 
Asante pia ingesaidia Serikali ingekuwa na vituo vya ku service na vya kukodisha matractor na ushauri .kilimo iwaachie wafanye wananchi binafsi ,yenyewe ijikite kwenye uwezeshaji tuu.
 
Unachoongea ni sawa na kusema watu wasifikirie kuendelea na elumu ya juu, mbona darasa la saba tena wapo we
 
Iyo ni subsistence farming
 

Acha kupotosha jamii, usi-generalize mambo. Vp kama ni kilimo cha umwagiliaji hekari moja? Tena cha horticultural crops.
 
Acha kupotosha jamii, usi-generalize mambo. Vp kama ni kilimo cha umwagiliaji hekari moja? Tena cha horticultural crops.
Kitakuwaje?
Si uelezee tuone mchanganuo wako kuliko kuongea maneno yasiyo na namba hata moja.
Nielezee hekari moja ya zao fulani, nitawekeza kiasi fulani na nitaingiza kiasi fulani katika kipindi cha mwaka mmoja.
C'mon lets go ....
 
Kweli tupu hii,kama mpunga ukitaka ukulipe ufanye through umwagiliaji ambayo ni gharama kuanzia mbolea,kuandaa shamba,upate pump na mengineyo!Bila hivi huambulii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…