Green49
Member
- Apr 16, 2024
- 10
- 7
Habari wanajamii forum ,mimi ni mdau wa muda mrefu sana ndani ya forum hii lakini nikiwa kama msomaji tu, kupitia forum hii nimejifunza mambo mengi, nimecheka na kufurahi, pamoja na kuelimika kwenye baadhi ya mambo ambayo sikuwa nayaelewa vizuri hapo mwanzo.
Lengo kuu la kuleta huu uzi kwenu ni kutoa elimu na maarifa sahihi kuhusu kilimo na biashara ya mkonge/katani hapa tanzania kwa maana mimi ni mfanyabiashara mdogo wa kati wa mkonge, hivyo basi kwa uzoefu na maarifa yangu kuhusu zao hili nimeamua kuandaa hii taarifa ili kuleta uelewa mzuri zaidi.
Nimeanda hii doc (pdf) ikiwa inaelezea na kufafanua kwa uzuri nini maana ya mkonge, kilimo cha mkonge kiujumla na jinsi pesa inavyopatikana kwa ngazi zote ndani ya biashara ya mkonge, ndani ya maelezo hayo pia nimeambatanisha na picha mbalimbali ili kuleta uelewa mzuri wa nini halisi kinaelezwa.
Kwa yeyote aliye na uzoefu na taarifa za ziada kuhusu mkonge anaweza kuongezea, kushauri, kukosoa na pia kuleta ushuhuda unahusiana na mkonge, lengo kuu likiwa ni kujenga uelewa nzuri zaidi wa kilimo na biashara ya mkonge kwa watanzania.
Asante [emoji120]
Note:
A) Kama kuna tatizo lolote la kiuandishi ndani ya doc basi tuvumiliane na tusameheana kwenye hilo.
B) Nimetumia ID mpya kwa sababu zangu binafsi (naomba tujikite kwenye lengo la uzi).
View attachment MKONGE TANZANIA BY TIBE 1.pdf
Lengo kuu la kuleta huu uzi kwenu ni kutoa elimu na maarifa sahihi kuhusu kilimo na biashara ya mkonge/katani hapa tanzania kwa maana mimi ni mfanyabiashara mdogo wa kati wa mkonge, hivyo basi kwa uzoefu na maarifa yangu kuhusu zao hili nimeamua kuandaa hii taarifa ili kuleta uelewa mzuri zaidi.
Nimeanda hii doc (pdf) ikiwa inaelezea na kufafanua kwa uzuri nini maana ya mkonge, kilimo cha mkonge kiujumla na jinsi pesa inavyopatikana kwa ngazi zote ndani ya biashara ya mkonge, ndani ya maelezo hayo pia nimeambatanisha na picha mbalimbali ili kuleta uelewa mzuri wa nini halisi kinaelezwa.
Kwa yeyote aliye na uzoefu na taarifa za ziada kuhusu mkonge anaweza kuongezea, kushauri, kukosoa na pia kuleta ushuhuda unahusiana na mkonge, lengo kuu likiwa ni kujenga uelewa nzuri zaidi wa kilimo na biashara ya mkonge kwa watanzania.
Asante [emoji120]
Note:
A) Kama kuna tatizo lolote la kiuandishi ndani ya doc basi tuvumiliane na tusameheana kwenye hilo.
B) Nimetumia ID mpya kwa sababu zangu binafsi (naomba tujikite kwenye lengo la uzi).
View attachment MKONGE TANZANIA BY TIBE 1.pdf