Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kilimo sio lazima ukakope, hivi kijana aliyemaliza chuo kikuu atashindwa kupata laki 5 akaanzisha kilimo, mimi nakumbuka kipindi nipo chuo nilikuwa natunza pesa kila boom nimemaliza nina zaidi ya milioni moja.Mada inatoa ushaur kwa mwanafunz akimaliza chuo anaweza kujiajir kwenye kilimo.
Atajiajiri vip bila kuwa na initial capital?
Usikurupuke kama ulisoma rudi kafunue upya daftar zako na pitia sehemu ambayo mwalimu wako aliweka alama ya vema kama hakuna
Unaweza kwenda qt.
Kama ulisoma mambo ya kicheketile tuuu hapo sawa maana unajifunza na kuamin kwenye maneno ya watu wakale na sio hali ya sasa
Nenda kwa balozi wako atakupa elimu ju uwezaji na biashara
Kila ekari mbili nimepata gunia 37, nikauza gunia 35×@90,000/=.Ashakum si matusi,
Lakini unapoamua kuwatukana watu waziwazi.........unatupa wasiwasi........
Ekari 2 za mahindi mauzo yawe Mil.3 ???
Hebu tujuze kwenye Ekari 2 ulipata magunia mangapi?
.....
Halafu shamba ulisafisha kwa bei gani?
Kulima ni sh'ngapi?
palizi?
Dawa?
gharama za kuvuna?
Kupukuchua?
Gharama za usafiri kwenda shamba? (angalau kwa uchache gharama hizi hazikwepeki).Mbolea?? mfuko ulinunuaje? USD/Tsh.?
Mkuu bado sikuelewi kuna gharama za kulima,ulitumia trekta? au ng'ombe au mikono?Kila ekari mbili nimepata gunia 37, nikauza gunia 35×@90,000/=.
Gharama za kulima
Mbolea mifuko 2 @61,000/=
Mahindi kg 20=100000/=
Palizi =140000 ya kwanza na pili
Kupukuchua gunia moja ni shilingi 1500×37=52500
Gharama ya kupanda nilitumia 20000 na nguvu kazi ya nyumbani.
Hakuna mafanikio bila riskFanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Kila kilimo sio lazima ukakope, hivi kijana aliyemaliza chuo kikuu atashindwa kupata laki 5 akaanzisha kilimo, mimi nakumbuka kipindi nipo chuo nilikuwa natunza pesa kila boom nimemaliza nina zaidi ya milioni moja.
Hakuna mafanikio bila risk
Kulima nilitumia ng'ombe zangu, ila kama ningelinunua basi gharama yake isingelizidi 80,000/= mbolea niliweka ya kupandia tu, nililima ekari mbili sio moja.Mkuu bado sikuelewi kuna gharama za kulima,ulitumia trekta? au ng'ombe au mikono?
Na hiyo mbolea ni ya kupandia au ya kukuzia?
Pia kuna gharama za kuvuna na pia nauli au usafiri wa kwenda shamba,toka umeanza kulima mpaka kuvuna.
Achilia mbali gharama ndogo ndogo kama vile magunia au vilob.
USIFANYE MCHEZO
WEWE SI MKULIMA.nenda yanapolimwa mahindi uone
gunia 37 kwa ekari....???? labda uwe umelima ndani ya green house.
90% ya miradi hushindwa kabla haijaanza kutekelezwaFanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Sio rahisi kueleweka, wenzio wanawazia kilimo cha kwenye internet. Wanatazama mashamba makubwa ya wazungu, halafu wanataka nao waanze hivyo, wakati hata mahindi yenyewe wanayaona tu kwa wachomaji mjini!! Ukiwaambia ekari moja wataanza ooh, research, mara ukame, mara masoko sijapata n.k. Wanashindwa kabla hawajaanzaMkuu kilimo nachoongelea hapa sio cha kwenda kuchukua mkopo benki, hoja yangu unawagusa zaidi vijana wahitimu wanaosubiri ajira ambao watafanya kilimo cha kawaida.
Ni kweli lakini ujue kwamba watanzania wengi wanafanya kilimo duni, hawalimi kisasa na wengi hulima kwa ajili ya ya chakula cha familia, ukilima kibiashara utafanikiwa na kupata mtaji wa kuanzisha biashara nyingine, lakini ujue kwamba watu wengi hawana elimu ya matumizi sahihi ya pesa, mfano kuna vijana nawajua walilima viazi wakauza pesa nyingi sana lakini sasa hivi hawana hata mia, mkulima anajua baada ya miezi minne atapata tena.Watanzania wengi wanaishi vijijini na shughuli yao kubwa ya kiuchumi ni kilimo, karibu theluthi moja ya watanzania ni masikini na sehemu kubwa ya theluthi hii wanaishi vijijini ambako shughuli kubwa ya uchumi ni kilimo.