Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

Mwaka Jana nimelima heka moja ya vitunguu na jumla gharama nilitumia 1,700,000/= nikafanikiwa kupata gunia 72 ambayo kila gunia niliuza kwa 90,000/= sawa na tsh 6,480,000/= ukitoa gharama zangu unapata baki ya tsh 4,780,000/= Nilipotoa gharama zangu zote nyingine kama usafiri na chakula nilipokuwa shamba nikabakiwa na 4,300,000/= Nilitumia miezi minne mpaka kuvuna na approximation ni kama kila mwez niliingiza 1 million. Ni kiasi kidogo na ni kikubwa pia.
Tujifunze kuwekeza shambani
 
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.
Sawa mkuu lakini mimi hapo nimepata hasara ya 75% kwa kujiingiza kwenye shughuli ya kilimo
 
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.


Nitafurahi kuona haswa wafata mikumbo wasio na mbele wala nyuma wanasoma uzi wako, ila najua huwa awafungui sababu ya uvivu na tamaa wanaishia kupiga porojo tu.
 
Fanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako

Mmmmmmmmh
Duh

Inasikitisha kwa jnsi ulivyoiandika, bora ungeulia au kuandika kivyako.
 
Mwaka Jana nimelima heka moja ya vitunguu na jumla gharama nilitumia 1,700,000/= nikafanikiwa kupata gunia 72 ambayo kila gunia niliuza kwa 90,000/= sawa na tsh 6,480,000/= ukitoa gharama zangu unapata baki ya tsh 4,780,000/= Nilipotoa gharama zangu zote nyingine kama usafiri na chakula nilipokuwa shamba nikabakiwa na 4,300,000/= Nilitumia miezi minne mpaka kuvuna na approximation ni kama kila mwez niliingiza 1 million. Ni kiasi kidogo na ni kikubwa pia.
Tujifunze kuwekeza shambani
Safi sana mkuu, vijana wamejikalia mjini wakati mali ipo shambani.
 
Zaman kilimo kilifanyika shamban, lakin siku hizi ni limia dole......wee nenda kichwa kichwa na mkopo wako au mtaji wako shamban bila kujua nn unaenda kulima na soko lake likoje, nakumbuka hadithi za tikiti maji kila sehemu ilikuwa tikiti maji tikiti maji..........watu wakalima kwa wingi adi kusababisha mafuriko ya matikiti maji kwenye masoko. .............
 
Kuna city of vingi vimefichika kwenye Kilimo:-Ni wangapi wameshapiga hesabu sahihi ya gharama halisi za Kilimo kwenye mizania?
Piga hesabu ya muda wa Usimamizi,kama unakwenda shamba na gari lihesabie mafuta,wear and tear,Inputs zote zihesabu,Alafu njoo na hesabu upya.Kuna watu wengi,hasa walioajiriwa,Wanapiga hasara,kwa kuwa gharama nyingi zimefichika.Laiti kama wangehesabu vizuri,wakakokotoa actual cost dhidi ya output,ingekuwa kilio.Naongea haya Kamati mtu aliyezaliwa na kukua katika nyumba ya Mkulima (peasant);nikasoma mchepuo wa Kilimo,nikafanya Biashara tofauti,hakuna kitu kama 100% profit.
 
Muwe mnawaambia watu ukweli...ukisema kinalipa asilimia 100% wewe unakuwa sio mkweli, kilimo kinaweza kukulipa na kukufilisi vilevile...huamini waulize wakulima wa nyanya na kitunguu maji kilichowapata shambani mwaka jana
 
Zaman kilimo kilifanyika shamban, lakin siku hizi ni limia dole......wee nenda kichwa kichwa na mkopo wako au mtaji wako shamban bila kujua nn unaenda kulima na soko lake likoje, nakumbuka hadithi za tikiti maji kila sehemu ilikuwa tikiti maji tikiti maji..........watu wakalima kwa wingi adi kusababisha mafuriko ya matikiti maji kwenye masoko. .............
Kuna city of vingi vimefichika kwenye Kilimo:-Ni wangapi wameshapiga hesabu sahihi ya gharama halisi za Kilimo kwenye mizania?
Piga hesabu ya muda wa Usimamizi,kama unakwenda shamba na gari lihesabie mafuta,wear and tear,Inputs zote zihesabu,Alafu njoo na hesabu upya.Kuna watu wengi,hasa walioajiriwa,Wanapiga hasara,kwa kuwa gharama nyingi zimefichika.Laiti kama wangehesabu vizuri,wakakokotoa actual cost dhidi ya output,ingekuwa kilio.Naongea haya Kamati mtu aliyezaliwa na kukua katika nyumba ya Mkulima (peasant);nikasoma mchepuo wa Kilimo,nikafanya Biashara tofauti,hakuna kitu kama 100% profit.
Muwe mnawaambia watu ukweli...ukisema kinalipa asilimia 100% wewe unakuwa sio mkweli, kilimo kinaweza kukulipa na kukufilisi vilevile...huamini waulize wakulima wa nyanya na kitunguu maji kilichowapata shambani mwaka jana
Muwe mnawaambia watu ukweli...ukisema kinalipa asilimia 100% wewe unakuwa sio mkweli, kilimo kinaweza kukulipa na kukufilisi vilevile...huamini waulize wakulima wa nyanya na kitunguu maji kilichowapata shambani mwaka jana
Kwenye maisha ya utafutaji hutakiwi kuwa muoga, unatakiwa kuwa risk taker, hayo mnayoyasema hata kwenye biashara yapo.
 
Kilimo bora ni cha umwagiliaji ila tatzo mtaji ndo unakuwa mkubwa hasa kwa wale ambaol hawana ajira
 
Kwenye maisha ya utafutaji hutakiwi kuwa muoga, unatakiwa kuwa risk taker, hayo mnayoyasema hata kwenye biashara yapo.
Sasa unapomwambia mtu kilimo kina 100% ya mafanikio ndo uongo kama unakubali kuna risk, kilimo sio rahisi hivyo, watu wafubdishwe ugumu wa kilimo ili wajue nmna ya kukabiliana na
 
Mada inatoa ushaur kwa mwanafunz akimaliza chuo anaweza kujiajir kwenye kilimo.
Atajiajiri vip bila kuwa na initial capital?

Usikurupuke kama ulisoma rudi kafunue upya daftar zako na pitia sehemu ambayo mwalimu wako aliweka alama ya vema kama hakuna
Unaweza kwenda qt.

Kama ulisoma mambo ya kicheketile tuuu hapo sawa maana unajifunza na kuamin kwenye maneno ya watu wakale na sio hali ya sasa
Nenda kwa balozi wako atakupa elimu ju uwezaji na biashara
Mwanafunzi wa chuo anaweza kujipanga mwenyewe kabisa, ila ubaya ni kwamba watu wengi hatuna kitu kinacho itwa "saving culture" tunategemea mwisho wa siku tutapewa au tutaomba kila kitu.

Tuchukulie mfano wa kijana aliyejitambua na mwenye malengo thabiti kabisa. Anapo anza mwaka wa kwanza akaweza kuhifadhi 50,000 kwenye pesa yake ya kujikimu kila mwezi ndani ya miezi minne kijana huyo atakuwa na 200,000 na akiendelea kufanya hivyo kwa miaka mitatu atakuwa na 600,000 kama pesa hii itakuwa alikuwa akiiweka fixed account kwa bank kama Azania wana account unayo weza kuongeza pesa kila mwezi ila ina act kama fixed account.

Pesa hii baada ya miaka mitatu itakuwa mtaji wa kutosha kabisa kwa kijana kuanza maisha na sio lazima kijana huyo aweke 50,000 ila anaweza weka kiwango chochote anacho ona hakita haribu matumizi yake ya kila siku.

Ila kwasababu hatuna desturi ya kuthamini vidogo tulivyo navyo inatusumbua sana baadae tunaanza kulalamika ajira hakuna, mitaji hakuna, serikali hithamini vijana.

Cha msingi hapa ni vijana tuelewe kwamba kabla ya kunyoosha vidole kwa watu wengine na kusema hatujasaidiwa, sisi tumechukua hatua gani ya kujisaidia.??
 
Umeelezea zaidi mshahara wa watu kuliko mchanganuo wa project zako...garama za kukodi shamba, kulima mara ya kwanza, garama za mbegu

na aina ya mbegu, garama za upandaji, garama za palizi ya kwanza may be na ya pili, garama za kuhudumia wadudu km zilikuwepo, garama za uvunaji, garama za kupiga mahindi, udadi ya gunia ulizopata kwa ekari moja! Bei uliouzia na mwez uliouza,....wakulima ndio tunaongea hivi.
Na vibarua umesahau mkuu
 
Mwanafunzi wa chuo anaweza kujipanga mwenyewe kabisa, ila ubaya ni kwamba watu wengi hatuna kitu kinacho itwa "saving culture" tunategemea mwisho wa siku tutapewa au tutaomba kila kitu.

Tuchukulie mfano wa kijana aliyejitambua na mwenye malengo thabiti kabisa. Anapo anza mwaka wa kwanza akaweza kuhifadhi 50,000 kwenye pesa yake ya kujikimu kila mwezi ndani ya miezi minne kijana huyo atakuwa na 200,000 na akiendelea kufanya hivyo kwa miaka mitatu atakuwa na 600,000 kama pesa hii itakuwa alikuwa akiiweka fixed account kwa bank kama Azania wana account unayo weza kuongeza pesa kila mwezi ila ina act kama fixed account.

Pesa hii baada ya miaka mitatu itakuwa mtaji wa kutosha kabisa kwa kijana kuanza maisha na sio lazima kijana huyo aweke 50,000 ila anaweza weka kiwango chochote anacho ona hakita haribu matumizi yake ya kila siku.

Ila kwasababu hatuna desturi ya kuthamini vidogo tulivyo navyo inatusumbua sana baadae tunaanza kulalamika ajira hakuna, mitaji hakuna, serikali hithamini vijana.

Cha msingi hapa ni vijana tuelewe kwamba kabla ya kunyoosha vidole kwa watu wengine na kusema hatujasaidiwa, sisi tumechukua hatua gani ya kujisaidia.??

Naamin unaelimu ya kutosha katika ujasilia mali unaotokana na saving na ndio iman ya wachum
Saving= investment
Nimekusoma mchumi sana
Wengine wanachangia kwa kutoa maneno ya iman za babu zao bila kiwa na logic
Baada ya kupinga kwa hoja na kufanya tupate elimu zaid kwa majadiliano wao wanaleta maneno ya kwenye kanga.
 
ABSOLUTELY
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.
 
Plz vjana tuache maneno...tuingie Shamba tukalime...umesahau usemi usemao Kama unataka Mali utazipata shambani...anza in kidogo kikubwa utapata baadae....tuthubutu
 
Fanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Acha umama wewe. Huyu amefanya na akapata matunda haongelei theory kujifanya wachambuz ndo kunatuponza kama taifa. Shwaini
 
Umeelezea zaidi mshahara wa watu kuliko mchanganuo wa project zako...garama za kukodi shamba, kulima mara ya kwanza, garama za mbegu na aina ya mbegu, garama za upandaji, garama za palizi ya kwanza may be na ya pili, garama za kuhudumia wadudu km zilikuwepo, garama za uvunaji, garama za kupiga mahindi, udadi ya gunia ulizopata kwa ekari moja! Bei uliouzia na mwez uliouza,....wakulima ndio tunaongea hivi.
Complications mnazoweka kwenye kikimo zimewageuza waoga
 
Back
Top Bottom