the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Kikubwa huduma na kufahamu unafanya nini ,unatoka ila kuotea otea hufiki sehemuIle ilikua heavy mkuu!! Nadhan alipanda nyanya fupi flan hivi!! Daaah mungu ambariki sana alijitahidi sana pale!!
Kuambia wakalime ni kebehi? Huko kuchimba madini watatumia meno, na biashara watafanya bila kuwa na mitaji inayoeleweka au hujui kuwa hata kilimo ni biashara, tatizo lenu mnaona kilimo ni kazi duni hamjui kuwa enzi zinabadilika.hivi kwanini nyie wakulima huwa mnapoleta mafanikio yenu mnapenda sana kuwataja kwa kebehi vijana wanaotafuta ajira...?
na kwa nini uamini sehemu pekee ya kupata faida ni kilimo pekee, na wala sio shughuli zingine,mfano uchimbaji wa madini, uvuvi, biashara n.k...
kingine jarbu kufikilia kila mwaka kuna waitumu zaidi ya laki moja hao ni graduate, bado kuna vijana wa diploma na form six leaver wale wanaoshindwa kuendelea na masomo, Wote hao waende kwenye kilimo kama unavyoelekeza...!wewe unadhani utapata hyo faida ya m3., au utamuuzia nani??
Hayo sio mafanikio, hata mimi nilijaribu tu nikapata mafanikio hayo.Mtanzania akifanikiwa huwa anakaa kimya ili aendelee kupiga hela mwenyewe na baadaye aonekane wa maana kuliko wengine. Ukimsikia m'bongo analeta ngonjera za hivi ujue anafanya utafiti, nia na madhumuni anataka asikie wengine wanasema nini kuhusu wazo lake.
Hayo sio mafanikio, hata mimi nilijaribu tu nikapata mafanikio hayo nikaamua kushare hapa.Mtanzania akifanikiwa huwa anakaa kimya ili aendelee kupiga hela mwenyewe na baadaye aonekane wa maana kuliko wengine. Ukimsikia m'bongo analeta ngonjera za hivi ujue anafanya utafiti, nia na madhumuni anataka asikie wengine wanasema nini kuhusu wazo lake.
Kikubwa huduma na kufahamu unafanya nini ,unatoka ila kuotea otea hufiki sehemu
hivi kwanini nyie wakulima huwa mnapoleta mafanikio yenu mnapenda sana kuwataja kwa kebehi vijana wanaotafuta ajira...?
na kwa nini uamini sehemu pekee ya kupata faida ni kilimo pekee, na wala sio shughuli zingine,mfano uchimbaji wa madini, uvuvi, biashara n.k...
kingine jarbu kufikilia kila mwaka kuna waitumu zaidi ya laki moja hao ni graduate, bado kuna vijana wa diploma na form six leaver wale wanaoshindwa kuendelea na masomo, Wote hao waende kwenye kilimo kama unavyoelekeza...!wewe unadhani utapata hyo faida ya m3., au utamuuzia nani??
Kilimo hakitabiriki ingawa kweli ukkibahatisha unatoka, lakini pia ujiandae kutoka mrisi! Niliingiwa tamaa ya kulima matikiti maji, nikazamisha kama 2.5m (ikijumuisha na ununuzi wa shamba ekari 32). Nikakata kipande kama ekari moja nikalima hayo matikiti maji nikawa napiga hesabu ya kupiga hela si chini ya 5m, kwani niliambulia kitu? Kumbe timing yangu ilikuwa mbovu sokoni kukawa na matikiti kibao na pia timing ya kulima kumbe ilikuwa mbaya mengi yakabaki shambani maana hayakufikia mwisho wa kukomaa! !!
Nenda tu ukalime mkuu na Mungu akurehemu katika mikakati yako!!Nashindwa kuelewa kwanini unabisha juu ya hii mada wakati maelezo yako yanaonesha wazi kuwa ulikurupuka kulima tikiti. hukujua ni mda gani ulime na soko lake liko vipi.
Acheni kulima kwa kufuata mkumbo.
Niko kwenye kilimo mwaka wa 3 sasa an matokeo nayaonaNenda tu ukalime mkuu na Mungu akurehemu katika mikakati yako!!
Unalimia wapi mkuuMbegu nilinunua Kenya zinaitwa Dk na sikumwagilia maana huku niliko lima mvua ni za uhakika.
Acha waendelee kupiga usingizi mkuu , wakitoka usingizini watakuta hata mashamba kuyapata itakuwa ishu, watu wananunua mashamba kama hawana akili nzuri vile, hata wazazi wao watakuta wameuza mashamba.Niko kwenye kilimo mwaka wa 3 sasa an matokeo nayaona
Korosho.... Bora ulime choroko na mbaazi mkuu.Nimeamua niwekeze kwenye kilimo cha korosho..
Mkuu kwasababu korosho inapandwa kwa distance kidogo, nadhani hata choroko naweza kulima wakati korosho inaendelea kukua...Korosho.... Bora ulime choroko na mbaazi mkuu.
Mkuu korosho si rafiki kwa mixed farming... Kwani mti wake hata majani ni asili ya mafuta ambayo yanapoteza rutuba na kuua mimea. So may be kama una ekar tatu gawa nusu panda mbaaz na choroko. then korosho ipige yenyewe.Mkuu kwasababu korosho inapandwa kwa distance kidogo, nadhani hata choroko naweza kulima wakati korosho inaendelea kukua...
Nimepata miche ya kisasa inayozaa ndani ya miaka mitatu..
Nashukuru kwa ushauri mkuu, eneo lipo itabidi nifanye hivyo..Mkuu korosho si rafiki kwa mixed farming... Kwani mti wake hata majani ni asili ya mafuta ambayo yanapoteza rutuba na kuua mimea. So may be kama una ekar tatu gawa nusu panda mbaaz na choroko. then korosho ipige yenyewe.
Yeap. Maana miaka mitatu si mchezo huku umetumia gharama kubwaNashukuru kwa ushauri mkuu, eneo lipo itabidi nifanye hivyo..
Ni kweli aisee..Yeap. Maana miaka mitatu si mchezo huku umetumia gharama kubwa
[emoji106]Ni kweli aisee..