Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

Hizo mbegu zinapatikana Tanzania kwa wingi. Je mahindi yake yanakomaaa kwa mda wa siku ngapi?
Mkuu ulipata gunia ngapi na uliuza sh ngapi kwa gunia au debe manaake hesabu ya mil 3 kwa heka mbili naona kama ume kadiria kwa kadirio la juuu.




Ahsante mkuu.
 
Mkuu ulipata gunia ngapi na uliuza sh ngapi kwa gunia au debe manaake hesabu ya mil 3 kwa heka mbili naona kama ume kadiria kwa kadirio la juuu.




Ahsante mkuu.
Gunia 37 niliuza 35@95,000/=.
 
N
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.
Ndugu mbona
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.
Mimi nililima ekari mbili nikapata gunia kumi Na tatu Na nilitumia mbegu za sidiko Sasa je wapi nilikosea mkuu lakini kutokana Na Bei ya mahindi kuwa juu Bado nilitusua
Hiyo mbegu uliyoisema inapatikana wapi ? msaada please
 
Ndugu zanguni tuache maneno Kama una kipesa kidogo kiingize kwenye kilimo mafanikio yapo hata mi nishayaona pia
 
Gunia 37 niliuza 35@95,000/=.
Wakuu twendeni shamba. Ila msaada wa upatikanaji wa mbegu hiyo Mkuu. Pia interval kati ya shina na shina na jee shina moja ulitupia mbegu ngapi. Mm Niko Morogoro kilombero mahindi mara2 kwa mwaka. Kwahiyo najipanga nikitoa mpunga nitupie hiyo mbegu.

Msaada mkuu.
 
N

Ndugu mbona

Mimi nililima ekari mbili nikapata gunia kumi Na tatu Na nilitumia mbegu za sidiko Sasa je wapi nilikosea mkuu lakini kutokana Na Bei ya mahindi kuwa juu Bado nilitusua
Hiyo mbegu uliyoisema inapatikana wapi ? msaada please
Hii mbegu ni ya Kenya.
 
Naamin unaelimu ya kutosha katika ujasilia mali unaotokana na saving na ndio iman ya wachum
Saving= investment
Nimekusoma mchumi sana
Wengine wanachangia kwa kutoa maneno ya iman za babu zao bila kiwa na logic
Baada ya kupinga kwa hoja na kufanya tupate elimu zaid kwa majadiliano wao wanaleta maneno ya kwenye kanga.
Kwa jinsi nilivyokusoma mkuu, wewe utakua una mawazo ya kivivu sana, yaani sio mtu wa kutenda Bali mtu wa visingizio vingi, au yawezekana wewe ni mkulima mzuri kabisa ila hutaki vijana waingie huko kwa wingi maana faida yake umeiona unataka ufaidike mwenyewe, kwa hiyo unaamua kuwakatisha tamaa vijana. Lengo lako sio kujifunza Kuna kitu unakijua ila hutaki kukisema
 
Nakuambia wewe acha tu huku mitandaoni. Nilijaribu kuingia kwenye kilimo nikawekeza vya kutosha. Kila siku nikawa nawaaga wafanyakazi wenzangu kwamba huu ni mwaka wa mwisho kuwa ofisini. Nilichokipata huko kwenye kilimo ni Mungu tu anajua. Asikudanganye mtu, ni bora ubaki kwenye ajira hata kama unatukanwa kuliko kujichanganya kwenye kilimo kwa hizi hadithi za mitandaoni. Kilimo ni wito sio kitu cha mchezo.
Kitu chenye pesa na mafanikio hakifanywi na kila mtu mkuu! Ingekua hivyo kila mtu angekua tajiri
 
Na

Kwa Tanzania nitaipata wapi please
Mbona majibu hayatoki kuwa mbegu hii kwa tz inapatikana au laa. Naelekea kuamini kuwa hizi ni porojo za social media. Pia nimeuliza interval ya shina na shina pamoja na mbegu ngapi kwa kila shina majibu bado sijui mtoa Uzi anagoogle.


Please be open kwa msaada .
 
Ni kweli kilimo kinalipa sana, naandaa mtaji wa milion 3 nataka nizipeleke shambani, kwa sasa naanda business plan lakini kazi yangu serikalini siachii...kilimo kitakuwa ni nyongeza tu basi
 
Mbona majibu hayatoki kuwa mbegu hii kwa tz inapatikana au laa. Naelekea kuamini kuwa hizi ni porojo za social media. Pia nimeuliza interval ya shina na shina pamoja na mbegu ngapi kwa kila shina majibu bado sijui mtoa Uzi anagoogle.


Please be open kwa msaada .
Ngumu sana kujua kama inapatikana Tanzania maana mimi nikiitaka nainunua Kenya, labda wewe uzunguke kuitafuta.
 
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote mkuu.naweza pata your contact?
 
Mbona majibu hayatoki kuwa mbegu hii kwa tz inapatikana au laa. Naelekea kuamini kuwa hizi ni porojo za social media. Pia nimeuliza interval ya shina na shina pamoja na mbegu ngapi kwa kila shina majibu bado sijui mtoa Uzi anagoogle.


Please be open kwa msaada .
Mnapouliza maswali jaribuni kuwa waungwana, porojo za social media zinatoka wapi? Kuna ajabu gani hapo? Mbona hayo mavuno ni ya kawaida kwanza nipo chini ya malengo.
 
tmp-cam--352261243.jpg
 
Back
Top Bottom