Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Halali yao ni elfu 10.Baadhi ya wafanyabiashara wa maembe wamegoma kununua maembe ya wakulima wa Kwediboma wilayani Kilindi mkoani Tanga wakidai kuwa ushuru shilingi 300,000/= wanaotozwa na halmashauri ya wilaya hiyo kwa gari moja aina ya Fuso ni mkbwa.View attachment 2087728
Wajinga sana hawa wacha maembe yake