Afrikasana
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 320
- 288
Maembe nyonyo au bonyoa ndio wanaringia!!!! Mambo ya hovyo ngoja tumbili wayafaidiEti maembe pori dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maembe nyonyo au bonyoa ndio wanaringia!!!! Mambo ya hovyo ngoja tumbili wayafaidiEti maembe pori dah
Duh bonyoa embe za upareni hazina deal kabisaMaembe nyonyo au bonyoa ndio wanaringia!!!! Mambo ya hovyo ngoja tumbili wayafaidi
Tanga ni pwani pia. Ukiachana na mkoa wenye jina la pwani, pwani yenyewe imeanzia mtwara hadi tanga kwa tz.Ipo mkoa wa Tanga sio mkoa wa Pwani ila Tanga nayo ina mazingira na tamaduni za kipwanipwani
Malizia Maduhuli Ya SerikaliWanakusanya maduhuli!!