Kilio cha Marekani kwenye chips kitakuwa kikubwa sana tofauti na hiki kwenye EVs, Solar, Apps, AI na 5G

Kilio cha Marekani kwenye chips kitakuwa kikubwa sana tofauti na hiki kwenye EVs, Solar, Apps, AI na 5G

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Kuna wimbo fulani wa kisabato unaitwa kishindo cha wakoma ulivuma sana ni wimbo mzuri.

Sasa kishindo cha Chips atakacho kutana nacho marekani kutoka kwa China kitakuwa kizito sana kitashika eneo nyeti sana katika teknolojia.

Marekani wanafanya kila wawezalo China asiwapite upande huu vikwazo vizito China anashushiwa si serikali ya Biden si serikali ya Trump wote lengo ni kuhahikisha China atengenezi ubabe wake upande huu.

Ubaya ni kuwa China ana materials zote za kumuwezesha kumfikia na kumpita Marekani upande huu kuanzia wataalam wa STEM China inao mamilioni Tim Cook anasema wanaweza jaza hata viwanja vitatu vya mpira, materials yanayo tumika pia wanayo,fedha wamewekeza, utafiki wanafanya kwa kasi sana sasa.

Kilicho baki ni surprise package"Kishindo cha Chips" kuanzia machine yenyewe ya kutengeneza Advanced Chips ambazo kwa sasa China kapigwa vikwazo kuzigusa kabisa ila kitakacho tokea itakuwa kishindo kizito.

 
Huku kwetu tulivyo mpaka muda huu
1737901082512.png


Inafikirisha sana
 

Attachments

Kuna wimbo fulani wa kisabato unaitwa kishindo cha wakoma ulivuma sana ni wimbo mzuri.

Sasa kishindo cha Chips atakacho kutana nacho marekani kutoka kwa China kitakuwa kizito sana kitashika eneo nyeti sana katika teknolojia.

Marekani wanafanya kila wawezalo China asiwapite upande huu vikwazo vizito China anashushiwa si serikali ya Biden si serikali ya Trump wote lengo ni kuhahikisha China atengenezi ubabe wake upande huu.

Ubaya ni kuwa China ana materials zote za kumuwezesha kumfikia na kumpita Marekani upande huu kuanzia wataalam wa STEM China inao mamilioni Tim Cook anasema wanaweza jaza hata viwanja vitatu vya mpira, materials yanayo tumika pia wanayo,fedha wamewekeza, utafiki wanafanya kwa kasi sana sasa.

Kilicho baki ni surprise package"Kishindo cha Chips" kuanzia machine yenyewe ya kutengeneza Advanced Chips ambazo kwa sasa China kapigwa vikwazo kuzigusa kabisa ila kitakacho tokea itakuwa kishindo kizito.

Hata mimi ndicho naona... sasa hivi tu kaanza kushutuka AI DeepSeek imeigonga Chagpt kuwa ya pili katika karibu kwenye kila Benchmark kutoka benchmarks zinazojitegemea. Tena kwenye kukokotoa hesabu imeipita kinoma. Gemini ndo hata haitii maguu. Mchina anaenda unda mashine za chips na chips zenyewe yani itakuwa suprise.
 
Hata mimi ndicho naona... sasa hivi tu kaanza kushutuka AI DeepSeek imeigonga Chagpt kuwa ya pili katika karibu kwenye kila Benchmark kutoka benchmarks zinazojitegemea. Tena kwenye kukokotoa hesabu imeipita kinoma. Gemini ndo hata haitii maguu. Mchina anaenda unda mashine za chips na chips zenyewe yani itakuwa suprise.
Akiunda hizo mashine soko litakuwa katika hali mbaya nawaonea huruma hawa kwanza ASML na TSMC
 
Akiunda hizo mashine soko litakuwa katika hali mbaya nawaonea huruma hawa kwanza ASML na TSMC
ASML marekani anawaponza, baada ya marekani kuweka vikwazo kwa nchi kibao kuuziwa chips na nvidea, jensen huang amemaindi sana kwa sababu anadai watapoteza karibu 80% ya soko
 
Back
Top Bottom