Kilio cha Marekani kwenye chips kitakuwa kikubwa sana tofauti na hiki kwenye EVs, Solar, Apps, AI na 5G

Kilio cha Marekani kwenye chips kitakuwa kikubwa sana tofauti na hiki kwenye EVs, Solar, Apps, AI na 5G

Ndiyo naiona hapa, wanasema ni open source. That is huuge.
Ina siku ya 7 Leo, kinacho shangaza ni kiasi Cha pesa kilicho tumika ku fund operation.

kiasi ni dollar million 6, uki fananisha uwekezaji huo na ai nyingine Kama Gemini ya google, na Ile ya Microsoft basi hiyo ni punje ya mchanga.

halafu hizo nyingine bado zina jivuta sana, then it's a huge success.
 
Ina siku ya 7 Leo, kinacho shangaza ni kiasi Cha pesa kilicho tumika ku fund operation.

kiasi ni dollar million 6, uki fananisha uwekezaji huo na ai nyingine Kama Gemini ya google, na Ile ya Microsoft basi hiyo ni punje ya mchanga.

halafu hizo nyingine bado zina jivuta sana, then it's a huge success.
Hao Wachina hawana rekodi ya uwazi kwa hivyo hata wakikwambia wametumia dola milionin6 take it with a pinch of salt.

Nasikiliza BBC World Service wanaiongelea kwenye taarifa ya habari.

Tayari imeangusha stock markets za dunia, bei ya stocks za NVIDIA zimeanguka by 10%.
 
Hao Wachina hawana rekodi ya uwazi kwa hivyo hata wakikwambia wametumia dola milionin6 take it with a pinch of salt.

Nasikiliza BBC World Service wanaiongelea kwenye taarifa ya habari.

Tayari imeangusha stock markets za dunia, bei ya stocks za NVIDIA zimeanguka by 10%.
nime fikiria pia Ina weza kuwa marketing strategy, ili isambae na kuzungumzia kwa haraka.

Kwani wamesha iweka kwenye stock market??, maana nili itafuta siku iona mkuu.
 
nime fikiria pia Ina weza kuwa marketing strategy, ili isambae na kuzungumzia kwa haraka.

Kwani wamesha iweka kwenye stock market??, maana nili itafuta siku iona mkuu.
Haihitaji kuwa kwenye stock market, the fact kuwa hii ni open source AI inayoweza ku run kwenye chips za lower specification inasababisha AI nyingine zikose market dominance.

Soma Reuters wameeoezea hapa.

 
Haihitaji kuwa kwenye stick market, the favt kuwa hii ni ooen source AI inayoweza ku run kwenye chips za lower specification inasababisha AI nyingine zikose market dominance.

Soma Reuters wameeoezea hapa.

nime ona, sema Nvidia ndo kala loss kubwa, oracle nae ana fatia.

Lakini wata iweka kwenye soko la hisa??
 
Nyie mnaosema deepseek anampita CHATGPT kwa sasa mnakosea sana

Deepseek kwa CHATGPT bado sana
Kama hapa chini👇🏼👇🏼👇🏼nimejaribu kuwauliza kama wanakumbuka nilichowauliza leo
Majibu yao hayo apo 👇🏼🙌🏼
Screenshot_2025-01-27-17-17-11-634_com.openai.chatgpt.jpg
Screenshot_2025-01-27-17-14-42-550_com.deepseek.chat.jpg
Screenshot_2025-01-27-17-17-26-247_com.openai.chatgpt.jpg
Screenshot_2025-01-27-17-17-40-165_com.deepseek.chat.jpg
 
Kuna wimbo fulani wa kisabato unaitwa kishindo cha wakoma ulivuma sana ni wimbo mzuri.

Sasa kishindo cha Chips atakacho kutana nacho marekani kutoka kwa China kitakuwa kizito sana kitashika eneo nyeti sana katika teknolojia.

Marekani wanafanya kila wawezalo China asiwapite upande huu vikwazo vizito China anashushiwa si serikali ya Biden si serikali ya Trump wote lengo ni kuhahikisha China atengenezi ubabe wake upande huu.

Ubaya ni kuwa China ana materials zote za kumuwezesha kumfikia na kumpita Marekani upande huu kuanzia wataalam wa STEM China inao mamilioni Tim Cook anasema wanaweza jaza hata viwanja vitatu vya mpira, materials yanayo tumika pia wanayo,fedha wamewekeza, utafiki wanafanya kwa kasi sana sasa.

Kilicho baki ni surprise package"Kishindo cha Chips" kuanzia machine yenyewe ya kutengeneza Advanced Chips ambazo kwa sasa China kapigwa vikwazo kuzigusa kabisa ila kitakacho tokea itakuwa kishindo kizito.

kishindoooo chawakomaaa
 
Huku kwetu tulivyo mpaka muda huu
View attachment 3214841

Inafikirisha sana
Tupo sayari ya mbali sana, kuna muda naangalia vitu wanavyofanya serikali nabaki na sikitika sana. Kila siku ni barabara, maji, hospitali, shule bado mpaka leo tunaangaika navyo. Eh Mungu utufunulie akili zenu tupate kufahamu. Mambo mengi sisi tupo nyuma, ila tuendelee kupambana tutafika tu.
 
Tupo sayari ya mbali sana, kuna muda naangalia vitu wanavyofanya serikali nabaki na sikitika sana. Kila siku ni barabara, maji, hospitali, shule bado mpaka leo tunaangaika navyo. Eh Mungu utufunulie akili zenu tupate kufahamu. Mambo mengi sisi tupo nyuma, ila tuendelee kupambana tutafika tu.
Hapa sijui kama Lucas anakuelewa
 
Mi nikajua chips za viazi vya mbeya, kumbe ni hizo zingine
 
Kuna wimbo fulani wa kisabato unaitwa kishindo cha wakoma ulivuma sana ni wimbo mzuri.

Sasa kishindo cha Chips atakacho kutana nacho marekani kutoka kwa China kitakuwa kizito sana kitashika eneo nyeti sana katika teknolojia.

Marekani wanafanya kila wawezalo China asiwapite upande huu vikwazo vizito China anashushiwa si serikali ya Biden si serikali ya Trump wote lengo ni kuhahikisha China atengenezi ubabe wake upande huu.

Ubaya ni kuwa China ana materials zote za kumuwezesha kumfikia na kumpita Marekani upande huu kuanzia wataalam wa STEM China inao mamilioni Tim Cook anasema wanaweza jaza hata viwanja vitatu vya mpira, materials yanayo tumika pia wanayo,fedha wamewekeza, utafiki wanafanya kwa kasi sana sasa.

Kilicho baki ni surprise package"Kishindo cha Chips" kuanzia machine yenyewe ya kutengeneza Advanced Chips ambazo kwa sasa China kapigwa vikwazo kuzigusa kabisa ila kitakacho tokea itakuwa kishindo kizito.

Unafkiri Marekani hana hizo materials?
 
Back
Top Bottom