Kilio cha Marekani kwenye chips kitakuwa kikubwa sana tofauti na hiki kwenye EVs, Solar, Apps, AI na 5G

Kilio cha Marekani kwenye chips kitakuwa kikubwa sana tofauti na hiki kwenye EVs, Solar, Apps, AI na 5G

Hata mimi ndicho naona... sasa hivi tu kaanza kushutuka AI DeepSeek imeigonga Chagpt kuwa ya pili katika karibu kwenye kila Benchmark kutoka benchmarks zinazojitegemea. Tena kwenye kukokotoa hesabu imeipita kinoma. Gemini ndo hata haitii maguu. Mchina anaenda unda mashine za chips na chips zenyewe yani itakuwa suprise.
Nipe link ya AI Deepseek
 
ASML marekani anawaponza, baada ya marekani kuweka vikwazo kwa nchi kibao kuuziwa chips na nvidea, jensen huang amemaindi sana kwa sababu anadai watapoteza karibu 80% ya soko
Ni kweli.

wamekosa soko kubwa ila kwa sasa marekani anachojali sio hata kelele za wataalam na wafanyabiashara wake wa Chips bali ni kwa namna gani anaweza mzuia China asifike lengo lake kuu kwa namna yoyote ile hapa ndio kazi ipo.
 
Huku kwetu tulivyo mpaka muda huu
View attachment 3214841

Inafikirisha sana
1000069509.jpg
 
Chenye imeuma mzungu ni china kaifanya open source. Siri imevunja. Macho ndogo kavunjisha siri
 
Back
Top Bottom