Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Nipe link ya AI DeepseekHata mimi ndicho naona... sasa hivi tu kaanza kushutuka AI DeepSeek imeigonga Chagpt kuwa ya pili katika karibu kwenye kila Benchmark kutoka benchmarks zinazojitegemea. Tena kwenye kukokotoa hesabu imeipita kinoma. Gemini ndo hata haitii maguu. Mchina anaenda unda mashine za chips na chips zenyewe yani itakuwa suprise.
Ni kweli.ASML marekani anawaponza, baada ya marekani kuweka vikwazo kwa nchi kibao kuuziwa chips na nvidea, jensen huang amemaindi sana kwa sababu anadai watapoteza karibu 80% ya soko
Nipe link ya AI Deepseek
Kwa nilivyoitesti tu bado sana kwa chatgpt
Sokwe waliochangamka wamemkamata fisi...πππ
Thinking capacity na memory yani ukiiuliza kitu ikakujibu ukaendeleza mada inasahau kama bado ipo kwenye swali tafauti na chatgptUmeitest maeneo gani ?
We jamaa maswali yako kama hamnazo huchelewi kuniuliza lini mara ya mwisho nilinyanduaUliuliza swali gani ?
Wewe au?Huna akili
1π€£ππ πππSokwe waliochangamka wamemkamata fisi...πππ
Influensa wa chama cha dominant color
Siku china atakapokuwa major chips production wordwide usa atapikia chips za kwakweMarekani wajue vikwazo vyao vitafanya kazi kwa nchi za kiafrika Kama Tanzania, Ila kwa nchi nyingine ndio kwanza unawazindua usingizini.
Hahaha daaah mafisi kweli, hahahaha hahahaha