Kilio cha Wazayuni dhidi ya Netanyahu.Familia za wanajeshi waliovamia zilisusia hotuba ya Netanyahu kwenye sherehe

Kilio cha Wazayuni dhidi ya Netanyahu.Familia za wanajeshi waliovamia zilisusia hotuba ya Netanyahu kwenye sherehe

Waislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?

Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho
Ni andiko lipi la chuki aliloleta mleta mada!?
Kwani kusema ukweli kuwa Netanyahu amechokwa na raia wake hizo ni chuki!?
Unafikiria kwa kutumia kishundu ama!?
Halafu wapi mleta mada ametaja dini!?
Akili bure kabisa hizi.
 
Ni andiko lipi la chuki aliloleta mleta mada!?
Kwani kusema ukweli kuwa Netanyahu amechokwa na raia wake hizo ni chuki!?
Unafikiria kwa kutumia kishundu ama!?
Halafu wapi mleta mada ametaja dini!?
Akili bure kabisa hizi.
Sasa kama netanyanhu amechokwa we unaumia nini?
Ila Netanyau asipo kuwa makini ataondoka madarakani kwa aibu kubwa sana.
Never
 
Watu weusi bwana,wanaanza kubaguana kidini kisa Israel (ukristo) na warabu(uislamu),
Nakusahihisha Israel (wayahudi) na Waarabu (Waisilamu na wakristo), kila mtu ambaye anajua hata kugoogle anafahamu huko Lebanon na Palestina Makanisa na Mapadre/Wachungaji pia wanauliwa na Israel.
 
Jamaa lina chuki kuanzia unyayoni hadi utosini! Shetani akajifunze chuki kwake.
Sasa hapo chuki iko wapi ? Ebu onesha chuki ilipo kwenye andiko lake.
Alafu kama ww ulivyo na uhuru ya kuipenda Israel na kushangilia matendo yake ya kikatili ,na yeye ana uhuru kuichukia Israel na kuchukia matendo yake hivyo punguza umama.
 
Sasa hapo chuki iko wapi ? Ebu onesha chuki ilipo kwenye andiko lake.
Alafu kama ww ulivyo na uhuru ya kuipenda Israel na kushangilia matendo yake ya kikatili ,na yeye ana uhuru kuichukia Israel na kuchukia matendo yake hivyo punguza umama.
Huyo jamaa pengine humfahamu humu jf; kwa chuki ni mwalimu wa majini I tell you.
 
Waislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?

Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho
Ndio maana wanatandikwa maana hawana akili
 
Tukisema wazayuni wanakufa na ushahidi ni uyo netanyahu wanataka kumpiga ndugu wa walitangulia sasa awa jehova wanaumia kias cha kuita habari kama izi ni chuki wakifa wapalestina aaa
 
Wanaukumbi.

Netanyahu alipokuwa akizungumza, familia za wanajeshi wa Israeli walioanguka walilipuka kwa sauti za hasira na kufadhaika, zikilaani waziwazi uongozi na maamuzi yake. Watoto wao wanakufa vitani umeshindwa kurudisha mateka.


View: https://x.com/cmonitor1514/status/1850529294428012790?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Screenshot_2024-10-26-10-07-13-546_com.twitter.android.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-26-22-51-35-751_com.twitter.android~2.jpg
    Screenshot_2024-10-26-22-51-35-751_com.twitter.android~2.jpg
    136.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
    Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
    130.8 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-23-23-07-52-155_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-23-07-52-155_com.twitter.android.jpg
    181.4 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-25-22-21-21-579_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-25-22-21-21-579_com.twitter.android.jpg
    226.6 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-26-22-51-35-751_com.twitter.android~2.jpg
    Screenshot_2024-10-26-22-51-35-751_com.twitter.android~2.jpg
    136.2 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
    Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
    130.8 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-25-03-53-03-268_com.twitter.android~2.jpg
    Screenshot_2024-10-25-03-53-03-268_com.twitter.android~2.jpg
    229.4 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-23-23-07-52-155_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-23-07-52-155_com.twitter.android.jpg
    181.4 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-23-22-20-17-835_com.twitter.android~2.jpg
    Screenshot_2024-10-23-22-20-17-835_com.twitter.android~2.jpg
    203.3 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-23-19-10-08-181_com.instagram.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-10-08-181_com.instagram.android.jpg
    226.2 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
    Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
    81 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-21-22-20-55-853_com.twitter.android~2.jpg
    Screenshot_2024-10-21-22-20-55-853_com.twitter.android~2.jpg
    208.2 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-21-22-29-59-585_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-21-22-29-59-585_com.twitter.android.jpg
    249.8 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-21-04-31-52-789_com.twitter.android~2.jpg
    Screenshot_2024-10-21-04-31-52-789_com.twitter.android~2.jpg
    201.5 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-20-18-43-49-587_com.twitter.android~2.jpg
    Screenshot_2024-10-20-18-43-49-587_com.twitter.android~2.jpg
    214.5 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-20-10-31-39-548_com.twitter.android~2.jpg
    Screenshot_2024-10-20-10-31-39-548_com.twitter.android~2.jpg
    255.5 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-17-17-29-02-986_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-17-17-29-02-986_com.twitter.android.jpg
    263.7 KB · Views: 0
  • Screenshot_2024-10-17-20-50-20-619_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-17-20-50-20-619_com.twitter.android.jpg
    123.9 KB · Views: 1
Huyo jamaa pengine humfahamu humu jf; kwa chuki ni mwalimu wa majini I tell you.
Hata ww comment zako huwa zimejaa chuki dhidi ya waisilam ,hata kushangilia kwako matendo ya Israel ni kwasababu ya chuki zako dhidi ya waisilam.
Jamaa kaleta habari badala mkomenti maoni kuhusu habari mnaanza kuingiza mambo ya kudini.
 
Waislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?

Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho
Si kobaz
 
Waislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?

Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho
Kama unachukia maandishi tuh jiulize wananchi wa Gaza waliovamiwa kabisa maumivu yao yakoje
 
Back
Top Bottom