Ni andiko lipi la chuki aliloleta mleta mada!?Waislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?
Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho
Jamaa lina chuki kuanzia unyayoni hadi utosini! Shetani akajifunze chuki kwake.Waislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?
Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho
Unapendwa sababu we mgonjwa wa akiliCha kushangaza Bi mkubwa anipenda sana.
Sasa kama netanyanhu amechokwa we unaumia nini?Ni andiko lipi la chuki aliloleta mleta mada!?
Kwani kusema ukweli kuwa Netanyahu amechokwa na raia wake hizo ni chuki!?
Unafikiria kwa kutumia kishundu ama!?
Halafu wapi mleta mada ametaja dini!?
Akili bure kabisa hizi.
NeverIla Netanyau asipo kuwa makini ataondoka madarakani kwa aibu kubwa sana.
Nakusahihisha Israel (wayahudi) na Waarabu (Waisilamu na wakristo), kila mtu ambaye anajua hata kugoogle anafahamu huko Lebanon na Palestina Makanisa na Mapadre/Wachungaji pia wanauliwa na Israel.Watu weusi bwana,wanaanza kubaguana kidini kisa Israel (ukristo) na warabu(uislamu),
Ukiniita mgonjwa wa akili ndiyo tachukia? Angalia mabasha zako hapa chini…Unapendwa sababu we mgonjwa wa akili
Sasa hapo chuki iko wapi ? Ebu onesha chuki ilipo kwenye andiko lake.Jamaa lina chuki kuanzia unyayoni hadi utosini! Shetani akajifunze chuki kwake.
Huyo jamaa pengine humfahamu humu jf; kwa chuki ni mwalimu wa majini I tell you.Sasa hapo chuki iko wapi ? Ebu onesha chuki ilipo kwenye andiko lake.
Alafu kama ww ulivyo na uhuru ya kuipenda Israel na kushangilia matendo yake ya kikatili ,na yeye ana uhuru kuichukia Israel na kuchukia matendo yake hivyo punguza umama.
Ndio maana wanatandikwa maana hawana akiliWaislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?
Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho
Sijaona chuki yake yoyote ila akili zenu ndio zinawatuma kuwa ni chuki.Huyo jamaa pengine humfahamu humu jf; kwa chuki ni mwalimu wa majini I tell you.
Wanaukumbi.
Netanyahu alipokuwa akizungumza, familia za wanajeshi wa Israeli walioanguka walilipuka kwa sauti za hasira na kufadhaika, zikilaani waziwazi uongozi na maamuzi yake. Watoto wao wanakufa vitani umeshindwa kurudisha mateka.
View: https://x.com/cmonitor1514/status/1850529294428012790?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hata ww comment zako huwa zimejaa chuki dhidi ya waisilam ,hata kushangilia kwako matendo ya Israel ni kwasababu ya chuki zako dhidi ya waisilam.Huyo jamaa pengine humfahamu humu jf; kwa chuki ni mwalimu wa majini I tell you.
Anaweza kuwaambia hao wametumwa na hamasi au ni wafuasi wa iranWanaukumbi.
Netanyahu alipokuwa akizungumza, familia za wanajeshi wa Israeli walioanguka walilipuka kwa sauti za hasira na kufadhaika, zikilaani waziwazi uongozi na maamuzi yake. Watoto wao wanakufa vitani umeshindwa kurudisha mateka.
View: https://x.com/cmonitor1514/status/1850529294428012790?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hata mim sijaona chuki Mbona wengi wa post habari ya Israel kushambulia na kuuaSijaona chuki yake yoyote ila akili zenu ndio zinawatuma kuwa ni chuki.
Si kobazWaislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?
Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho
Kama unachukia maandishi tuh jiulize wananchi wa Gaza waliovamiwa kabisa maumivu yao yakojeWaislam bhana hivi hamnaga kabisa cha kufanya zaid ya chuki kwa wasio waislam au ukimchukia asiye mwisilam unapata thwawabu?
Yaan wewe jamaa mwaka unaanza mpaka unaisha ni maandiko ya chuki tu mwanzo mwisho