Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Apige chini
Chakula, aache kulakula ovyo awe na nidhamu katika kulaπππ
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.
Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.
ππ
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaahππππ
πππ π π kuna kijana wa kiume ana miaka 19 tu ni bonge mtaani anaitwa Big yani navyomuona km lidudu, chafu chafu hivi, zembee kama mzigo, unene sio mzuri kabisa
ππππ
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.
Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.
ππ
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaahππππ
mpe stress atapungua mwenyeweπππ
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.
Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.
ππ
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaahππππ
Kwa maneno mengine amuuwe kwa njaa..!!??Mnyime chakula
umemaliza mkuu nilipigwa msosi mlo mmoja for 4 months nikapungua vibaya mno 96kg hadi 75kg now nipo normal kitamb flat mwili wa saiz japo unakaunene flani kakishkaji kauwepesi asee nilikua natisha apo 96kgMnyime chakula
limekua lijitu tayar ππLipigishe dayati asubuhi lipe mikate miwili tu usimpe mikate 7
ππlimekua lijitu tayar ππ
Inachekesha sana kwa kweli!!πππ
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.
Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.
ππ
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaahππππ
chepuka halafu akufumanie kitaisha tu sorry natania tu ila solution ni product za kupunguza mafuta yasiyo na kazi mwilin zipo ni nzuri sana ela yako tuπππ
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.
Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.
ππ
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaahππππ