Kilio changu ni kitambi

Kilio changu ni kitambi

Nendeni kwa wataalamu wa afya wawashauri. Mazoezi bila mpangilio anaweza akapata injury ikawa shida zaidi.
 
Nendeni kwa wataalamu wa afya wawashauri. Mazoezi bila mpangilio anaweza akapata injury ikawa shida zaidi.
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
Chakula, aache kulakula ovyo awe na nidhamu katika kula
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
😂
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
mpe stress atapungua mwenyewe
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
Inachekesha sana kwa kweli!!
 
😭😭😭
Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno.
Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini.

Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi
Naumia mno, naona sitendewi haki.
Inafika wakati akivua pichu na mkanda, kinafyatuka futuuuu.

😭😭
Wanawake mbona mna makusudi?
Mazoezi amegoma na hataki tena.
Daaah😭😭😭😭
chepuka halafu akufumanie kitaisha tu sorry natania tu ila solution ni product za kupunguza mafuta yasiyo na kazi mwilin zipo ni nzuri sana ela yako tu
 
Back
Top Bottom