Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye alietowa na wewe uliepokea lenu moja tu, ndio maana ulishindwa kutoa taarifa TAKUKURU,Sisi tumejionea kwa macho Wajumbe wakipigwa 70000 mpaka 100000 live. TAKUKURU Singida wanasubiri mpaka waambiwe wapo maofisini tu
Rushwa ilitamalaki, Ila hapa walizidiana tu viwangoHao unaosema walichukua rushwa na kumpitisha ni miongoni mwa wananchi sasa watashindwaje kumpitisha kwenye kura za uchaguzi wa wabunge. Kama kawanunua chamani basi atawanunua na hao wengine.
Ila naona kama unatapatapa; mara useme viongozi wamekula rushwa mara wapiga kura wamekula rushwa: kwani huko kwenu hakuna PCCB? Naona kama vile jamaa kakupiga sasa kama kawaida unaanza majungu
Mkuu katika enzi hii ya teknolojia, ulishindwa kabisa kuvaa miwani janja au saa janja au hata kutumia simu janja yako kumrekodi ili upeleke takukuru kama ushahidi?Elibariki Kingu aliyekua mbunge wa jimbo la jimbo letu ameshinda kura za maoni kwa kutoa rushwa ya wazi wazi kabisa.
atawezaje kurekodi wakati yeye ndio mpokeaji? yaani ajifunge kitanzi??Mkuu katika enzi hii ya teknolojia, ulishindwa kabisa kuvaa miwani janja au saa janja au hata kutumia simu janja yako kumrekodi ili upeleke takukuru kama ushahidi?
Rushwa inagawiwa kijana sana, pesa zinatumwa kupitia MAWAKALA wa mitandao ya simu itakamata nani? Utamrekodi nani? Hawa makatibu ndio wanatumika sanaMkuu katika enzi hii ya teknolojia, ulishindwa kabisa kuvaa miwani janja au saa janja au hata kutumia simu janja yako kumrekodi ili upeleke takukuru kama ushahidi?
Hii sio sawaUnapoikubali rushwa kwa kuwa inakunufaisha (kwa jina lolote lile) uendelee kuikubali hata pale itakapokuumiza!
Kumbuka kuna nyakati watu waliruhusiwa kutoa takrima, na ikahalalishwa kabisa yaani kuwapa wajumbe chakula, kinywaji nk ikawa ni halali kwa kuwa unawakirimu! Tukawa na wabunge ndani ya bunge walioingia kwa kutoa takrima. Mahakama iliposema takrima ni rushwa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa kwa waliojinufaisha na hiyo takrima.
Kama nimepata nafasi kwa kutoa takrima si ni lazima nitafute namna ya kurudisha hizo gharama? Hapo ndipo sheria na mikataba mibovu iliposhika kasi.
Rushwa imekuwa kama kansa sasa, na dawa ya kansa ni kukata sehemu iliyougua au kuichoma sehemu iliyougua, Nani afanye hivyo? Labda JPM anaweza kuthubutu, lakini yanayoendelea sioni kama yanampa nguvu hiyo. Ukisoma thread hii hapa Uchaguzi 2020 - Membe au Lissu msisahau kuusema uozo wa "undugunaization", tribalism na nepotism wakati wa Kampeni utaona ni kwa nini naona ugumu Angalia maoni ya wachangiaji, wengi wanakiri kuwa hayo yapo ila ni kutesa kwa zamu na kwamba yapo kila mahali na katika vyama vyote. Hakika hii ni kansa.
Mkuu 2015 kipindi kama hiki ulikuwa active sana jukwaa hili,,safari hii naona kimya sana,kulikoni?Lete ushahidi. Kamati Kuu hatutaki umbea umbea
Kama hili litafanyika bila double standard ni sawaPanga la kuzuia rushwa lazima liwapitie...CCM hii ni adilifu
Kumbe amekula halafu analeta za kuleta?atawezaje kurekodi wakati yeye ndio mpokeaji? yaani ajifunge kitanzi??