Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Bby sasa huo mtihani ujue.
Ndo aujibu sasa huyo Jaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bby sasa huo mtihani ujue.
yule kupata uraia its just a matter of time,alaafu ausotei anapata kila kitu-unless labda tunatofautiana maana ya kusota-Hao wakimbizi 90% wanapewa leave to remain-what more does one want-hizi story za kunyanyaswa mnakuwa feed ili kuwakatisha tamaa but in reality once you are in these shores its plain sailingMkuu umeruka swali la msingi,identity card na driving licence ulizipataje bila passport?
Huruma ya mzungu ingekua imemsaidia zamaan shostie kupata uraia. Au wale wakimbizi wanaolilia kila kukicha kupata uraia huko majuu wasingehangaika sana
Ushahidi ni kama vile wanaonyanyaswa kijinsia,kisiasa etc.
Kumbe kwa hio nikizamia boat kule north africa ntapata uraia kirahisi ulaya bwahahahaa acha hizo bana.
Honesty nahisi huko umepelekwa(haujashughulikia chochote iwe passport na vinginevyo)kiasi kwamba haujui ugumu wowote unaowapata wale wazamiaji. Khaa kirahis rahisi hivyo duh
Halafu sijaelwa hata ulichoandika daah
Sikumbuki jina ya hospital but yeye mwenyewe alishasema alivyomzaa Bhoke USA,and how hard it was for herNdo aujibu sasa huyo Jaki
s
Sikumbuki jina ya hospital but yeye mwenyewe alishasema alivyomzaa Bhoke USA,and how hard it was for her
Una ni cross examine utafikiri mimi ni accused niko kwa dock nasubiri kuwa sentencedNa wa pili kamzalia Marekani?
Una ni cross examine utafikiri mimi ni accused niko kwa dock nasubiri kuwa sentenced
Kwaiyo ni mtego tosha kwa al-junun funun? [emoji2]Green card siyo nyaraka ya kusafiria.
Ukitaka kusafiri kimataifa green card haitoshi.
Unahitaji valid passport pia.
yule kupata uraia its just a matter of time,alaafu ausotei anapata kila kitu-unless labda tunatofautiana maana ya kusota-Hao wakimbizi 90% wanapewa leave to remain-what more does one want-hizi story za kunyanyaswa mnakuwa feed ili kuwakatisha tamaa but in reality once you are in these shores its plain sailing
HahaahaahhaaaNdo aujibu sasa huyo Jaki
Mange ni jirani yangu hapa mtaani kambi ya fisiHivi najiuliza mange hii passport mpya ataipataje? Mmh au green card ushampa umarekan duh
Mange ni jirani yangu hapa mtaani kambi ya fisi
Nawashangaa mnaoamini kuwa yupo Los A[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Atapewa tu passport mpya.
Nimecheka eti mwarabu wa SimiyuSasa nisemeje mke mwenza.?[emoji2][emoji2][emoji2]
Eeeh si ajitia ajua kiarabuNimecheka eti mwarabu wa Simiyu
Hapa naona hatutaelewana,,mfano mdogo ukienda England wapemba wote ni raia- Queen alivyokuwa na huruma. kuna mji siukumbuki jina utafikiri uko kariakoo-na wote hao waliingia England as stateless persons-passport wali destroy kwenye ndegeDaah aiseee mmh sijui umejibu nini daah nammiss kisandu
Maradona anyimwa visa ya kuingia Marekani kwa kumtusi Trump
Visa tu inakua hivyo sembuse uraia
Weeh mzigua hiyo avator yako inanitia majaribu baby!!Hahahahaa.. Lugha gani lakini hiyo? Isije kuwa unanifunga kamba NN
Hapa naona hatutaelewana,,mfano mdogo ukienda England wapemba wote ni raia- Queen alivyokuwa na huruma. kuna mji siukumbuki jina utafikiri uko kariakoo-na wote hao waliingia England as stateless persons-passport wali destroy kwenye ndege
mange kimmbi raia wa marekani arudi tena bongoPassport ndiyo itampa kula au
mi bado...Ushawahi kulisikia neno ‘majinuni’?