Tetesi: Kilio wema sepetu kudukuliwa instagram account yake, Mange Kimambi afurahia

Tetesi: Kilio wema sepetu kudukuliwa instagram account yake, Mange Kimambi afurahia

Mkuu umeruka swali la msingi,identity card na driving licence ulizipataje bila passport?

Huruma ya mzungu ingekua imemsaidia zamaan shostie kupata uraia. Au wale wakimbizi wanaolilia kila kukicha kupata uraia huko majuu wasingehangaika sana

Ushahidi ni kama vile wanaonyanyaswa kijinsia,kisiasa etc.

Kumbe kwa hio nikizamia boat kule north africa ntapata uraia kirahisi ulaya bwahahahaa acha hizo bana.

Honesty nahisi huko umepelekwa(haujashughulikia chochote iwe passport na vinginevyo)kiasi kwamba haujui ugumu wowote unaowapata wale wazamiaji. Khaa kirahis rahisi hivyo duh

Halafu sijaelwa hata ulichoandika daah
yule kupata uraia its just a matter of time,alaafu ausotei anapata kila kitu-unless labda tunatofautiana maana ya kusota-Hao wakimbizi 90% wanapewa leave to remain-what more does one want-hizi story za kunyanyaswa mnakuwa feed ili kuwakatisha tamaa but in reality once you are in these shores its plain sailing
 
Daah aiseee mmh sijui umejibu nini daah nammiss kisandu

Maradona anyimwa visa ya kuingia Marekani kwa kumtusi Trump

Visa tu inakua hivyo sembuse uraia
yule kupata uraia its just a matter of time,alaafu ausotei anapata kila kitu-unless labda tunatofautiana maana ya kusota-Hao wakimbizi 90% wanapewa leave to remain-what more does one want-hizi story za kunyanyaswa mnakuwa feed ili kuwakatisha tamaa but in reality once you are in these shores its plain sailing
 
Hivi najiuliza mange hii passport mpya ataipataje? Mmh au green card ushampa umarekan duh
Mange ni jirani yangu hapa mtaani kambi ya fisi

Nawashangaa mnaoamini kuwa yupo Los A[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Atapewa tu passport mpya.
 
From umuhimu wa passport mpaka kuhubiriwa uraia wa uingereza duh

Hapa naona hatutaelewana,,mfano mdogo ukienda England wapemba wote ni raia- Queen alivyokuwa na huruma. kuna mji siukumbuki jina utafikiri uko kariakoo-na wote hao waliingia England as stateless persons-passport wali destroy kwenye ndege
 
Back
Top Bottom