Cheed dogo ana kipaji. Ali Kiba hamtendei haki. Ni yule aliyeimba verse ya kwanza Masoz kama waujua.Wameshawahi kutoa hata vibao wakiwa huko leboni ? Ndo kwanza nasikia majina yao leo.
MasozyWameshawahi kutoa hata vibao wakiwa huko leboni ? Ndo kwanza nasikia majina yao leo.
Ali kiba hamtendei haki kwa kufanya nini?Cheed dogo ana kipaji. Ali Kiba hamtendei haki. Ni yule aliyeimba verse ya kwanza Masoz kama waujua.
Hajui anachokitaka.. Naikubali ngoma take ya ' Rudi 'Killy hii management ya tatu kujitoa
Mkuu kama vipi wcb wawachukue.Wameona wanapoteza time kuwa hapo wamefanya uwamuzi sahihi.