Kilo 1.2 ya heroin yawafikisha mahakamani

Japo wanahatarisha maisha ya watu kwa kuwapiga dozi za madawa, wao wanajilinda COVID-19 kwa kuvaa barakoa. Ubinafsi huu
 
Dah! Ila mjini watu wanatafuta hela kibabe!! Full kuendesha magari makali, kuishi kwenye mahekalu! Full kumiliki pisi kali!!

Ila siku ukiotewa, ndiyo basi tena!
Na hata pisi kali zote zinakukimbia, neno baby linakuwakama msamiati, hutalisikia tena huku ukiendelea kunyaea debe.
 
Hao wanakuwa ni wafanyabiashara Tena?
 
Sichangii mpaka nithibitishe toka kwa chanzo kingine.
TBC siiamini.
Kama Kuna anayejua kuondoa TBC kwenye King'amuzi Cha DStv anifahamishe, hata hela nitampa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…