Kilo ya dagaa yaipiku ya nyama kwa sasa bongo

Kilo ya dagaa yaipiku ya nyama kwa sasa bongo

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kweli hii vita hatari sana Jana nimeenda kununua dagaa Bukoba kilo moja ni Tsh 11,000 na nikaenda buchani kununua nyama ni 8000 nikastajaabu jinsi dagaa zilivyokuwa ni chakula cha mtu wa chini kwa kipato now azishikiki yaaani sasa nyama ni chakula cha mtu wa chini dagaa matawi ya juu mambo yanaenda yakibadilika hatari sana
 
Kweli hii vita hatari sana Jana nimeenda kununua dagaa bukoba kilo moja ni Tsh 110000 na nikaenda buchani kununua nyama ni 8000 nikastajaabu jinsi dagaa zilivyokuwa ni chakula cha mtu wa chini kwa kipato now azishikiki yaaani sasa nyama ni chakula cha mtu wa chini dagaa matawi ya juu mambo yanaenda yakibadilika hatari sana
Aise, Dagaa wamefika Laki ? Dagaa wapi hao? Au wakigoma?
 
wewe ndio unajua leo unatokea mzee? Mwaka 2013 bei ya dagaa Kigoma kilo ilikuwa ni 15,000 na enzi hizo nyama kilo 3000 wewe unashangaa leo
Mara mwisho nilinunua mwezi mmoja kama umepita bei ilikuwa 7000 dagaa bukoba
 
  • Thanks
Reactions: amu
Dagaa sio chakula cha kimaskini bana mbna kinabei sana hivo? Kuliko hata sato.
Nahisi labda
Dagaa sio chakula cha kimaskini bana mbna kinabei sana hivo? Kuliko hata sato.
Kwa maisha ya mjini nyumba zilizokuwa wanakula dagaa tulikuwa tunaona nyumba za kimasikini pale kko wakati tunaishi
 
wewe ndio unajua leo unatokea mzee? Mwaka 2013 bei ya dagaa Kigoma kilo ilikuwa ni 15,000 na enzi hizo nyama kilo 3000 wewe unashangaa leo
Acha uongo wewe fungu la dagaa kipindi hicho lilikuwa 300 mpk 500 inakuwaje dagaa wafike 15k.
 
Tuangalie Ujazo kwanza..., Kilo Moja ya Dagaa na kilo moja ya nyama...
 
Back
Top Bottom