Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilaa nyama kilo mojaa ni siku mojaa[emoji1787][emoji1787]Ni kweli nimetoka sokoni.
Hata mie nimeshangaa.
Maana najua ni 7,000 ila nimeuziwa 11,000 nikalalama mpaka 10,000.
Anyway watatusogeza mwezi mzima.
Mama anaupiga mwingi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kweli hii vita hatari sana Jana nimeenda kununua dagaa bukoba kilo moja ni Tsh 110000 na nikaenda buchani kununua nyama ni 8000 nikastajaabu jinsi dagaa zilivyokuwa ni chakula cha mtu wa chini kwa kipato now azishikiki yaaani sasa nyama ni chakula cha mtu wa chini dagaa matawi ya juu mambo yanaenda yakibadilika hatari sana
YesIlaa nyama kilo mojaa ni siku mojaa[emoji1787][emoji1787]
Ulimaanisha 11'000/=?Kweli hii vita hatari sana Jana nimeenda kununua dagaa bukoba kilo moja ni Tsh 110000 na nikaenda buchani kununua nyama ni 8000 nikastajaabu jinsi dagaa zilivyokuwa ni chakula cha mtu wa chini kwa kipato now azishikiki yaaani sasa nyama ni chakula cha mtu wa chini dagaa matawi ya juu mambo yanaenda yakibadilika hatari sana
Hakuna dagaa wa laki huyo jamaa kukosea dagaa wanauza 10000 kg, hao wa laki atakuwa anawatoa US ha ha ha ha haAise, Dagaa wamefika Laki ? Dagaa wapi hao? Au wakigoma?
Unajidhalilisha mzee kama kitu hujui hebu nyamaza.. Kaulizie bei ya dagaa wa kigoma rightnow halafu tuletee majibu sasa hivi..Acha uongo wewe fungu la dagaa kipindi hicho lilikuwa 300 mpk 500 inakuwaje dagaa wafike 15k.
Dagaa wapi hao walikuwa?Yes
Kwanza nikaanza kulalamika nilihisi sababu nimebadili soko eti soko hilo linauza vitu bei juu mwee.
Hii vita imesababisha hadi dagaa kutafuta maficho!Bei hio mkuu,na hapo Vita ya Ukraine ilikua bado.