ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Harafu atachaguliwa tena Kwa kishindoVery stupid being!Halafu?
Sio hisani ila Katika ya scarce resources mnazogombaiwa ukipata kwako unashukuru vinginevyo subiria foleniMaendeleo sio hisani
CCM Hawajui Wao Wanaona Eti Ni HisaniMaendeleo sio hisani
Halafu baadaye mtangaza matokeo anamuomba Mungu msamaha kwa kutangaza matokeo ya uongo?Harafu atachaguliwa tena Kwa kishindo
Serikali yake imetoa,ingeweza kuzipeleka Kyela mnakosombwa na Mafuriko Kila msimu.Utumwa hauwezi kuondoka Africa, Unampigiaje goti mtu ambaye hatoi hata mia, Kwanza hajawahi kulipa kodi hata mara moja, Poor Tanzania!
Hawa ndio wanachaguliwaga sasaMbunge Mpechempeche Lazima Ajitoe Akili
Wewe ndio mnafiki,Mbunge Yuko cencerelyUchawa uliochanganyana na unafiki plus uoga ndivyo waTanzania tulivyo.
Mpumbavu wa kuwango cha SGRKushukuru ni kuomba tena , hongera bwana Mbunge Kwa uungwana 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C-P5S40tcXI/?igsh=MWtrdGNja2RmMHprMQ==
Wangeweza kulipa na Serikali ikapeleka kwingine.Na sio Maboss wake yeye na huyo anayemshukuru (wananchi) waliomchagua na kulipa kodi zinazowapa mahitaji yao ?!!
Hivi hapo nani amshukuru nani ? (Hakuna sababu ya kuwashukuru hawa watumishi bali kuna kila sababu ya kuwalaumu kila mara wanapofanya chini ya kiwango) which is always by the way
Huyo huyo unaemuita mpumbavu ndio Wananchi wanamchagua.Mpumbavu wa kuwango cha SGR