Pre GE2025 Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Pre GE2025 Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wengi wa wateuliwa hawajui ‘KODI’ ni pesa zao wenyewe..

Ilipashwa somo la Kodi lipewe kipaumbele

Huruma yaani na mkulu hasemi neno kuwa msinishukuru mimi hizi ni kodi zenu.. Shida ipo hapa

Wananchi wengi hawajui kazi ya kodi ni nini kwa sababu hawajui kodi ni nini.
 
Wengi wa wateuliwa hawajui ‘KODI’ ni pesa zao wenyewe..

Ilipashwa somo la Kodi lipewe kipaumbele

Huruma yaani na mkulu hasemi neno kuwa msinishukuru mimi hizi ni kodi zenu.. Shida ipo hapa

Wananchi wengi hawajui kazi ya kodi ni nini kwa sababu hawajui kodi ni nini.
Wanajua ila kwako inaweza isiwe kipaombele ukasugua benchi so wakipata lazima washukuru.

Au wewe ulitaka watukane ama?
 
Wangeweza kulipa na Serikali ikapeleka kwingine.

Mfano wewe umchague Mwabukusi harafu Jimboni kwako Kuna Changamoto ya Daraja utaambiwa Serikali inaendelea kutafuta hela,Je utafanyaje?
Myopic thinking, hilo ndio tatizo la wananchi wengi wana mawazo kama yako (tunahitaji kuondoa hizi fikra za kitumwa) hawa sio wafalme ni watumishi wetu na wanahitaji kutumia Kodi zetu kwa ajili ya huduma zetu na sio kujiamulia wanachofanya...

Na since generation X na Gen Z za huku zimeoza kwa mawazo kama yako huenda tutegemee generation Alpha kutokana na watakavyokuwa wamepigika na hawana prospects ndio hapo watagundua kwamba wanachopewa ni raw deal na sio hisani kama watu kama wewe mnavyodhani
 
Myopic thinking, hilo ndio tatizo la wananchi wengi wana mawazo kama yako (tunahitaji kuondoa hizi fikra za kitumwa) hawa sio wafalme ni watumishi wetu na wanahitaji kutumia Kodi zetu kwa ajili ya huduma zetu na sio kujiamulia wanachofanya...

Na since generation X na Gen Z za huku zimeoza kwa mawazo kama yako huenda tutegemee generation Alpha kutokana na watakavyokuwa wamepigika na hawana prospects ndio hapo watagundua kwamba wanachopewa ni raw deal na sio hisani kama watu kama wewe mnavyodhani
Kila sehemu Watu wa Chini Huwa wanashukuru.Hujawahi Sikia Wabunge wakisema wanaishukuru Serikali ya Biden?

Marekani Kuna Havana alijipagia umaarufu Kwa kushughulikia daraja liliokatika Kwa haraka ,hapo unasemaje?

Acheni wivu wa kipumbavu
 
Hakuna haja ya kushukuru wakati unajua kungekuwa na udhibiti mzuri wa mapatoyetu na mikopo tunayo kopa kungefanyika mambo makubwa mara kumi ya hiyo barabara.

Haya nimaigizo tu yakupigania tumbo kwamba upewe nafasi tena ya kugombea ubunge kwakujinyenyekeza kwa mwenye nguvu, otherwise nivitendo visivyo ingia akilini.
 
Kila sehemu Watu wa Chini Huwa wanashukuru.Hujawahi Sikia Wabunge wakisema wanaishukuru Serikali ya Biden?

Marekani Kuna Havana alijipagia umaarufu Kwa kushughulikia daraja liliokatika Kwa haraka ,hapo unasemaje?

Acheni wivu wa kipumbavu
Kwahio Upuuzi wa Wamerakani na sisi tufanye ?; Kumbuka pia wanasiasa wapo kwenye kampeni ya kuendelea kula mwaka mzima kwahio democrat akimsifia Biden ni kwamba administration iendelee kuwepo...

Lakini Ujuha wa kwamba Rais ndio kaleta barabara unless othewise ni kweli ametoa kwenye pocket money yake ni upuuzi wa hali ya juu ambao unasababisha wananchi kutokushirikishwa kwenye miradi yao hivyo kutokuitunza wala wengine kutokuona umuhimu wa kulipa kodi (after all si Raisi analeta basi aendelee kuleta kutoka huko anapozitoa hizo pesa)

Tuache kutetea upuuzi....
 
Raisi ndiyo anayechagua wabunge....Hivyo kapiga magoti kuomba kura kwake.
 
Kushukuru ni kuomba tena , hongera bwana Mbunge Kwa uungwana .

Kuchukua Kwangu
Mama amewafuta machozi

=====
View attachment 3061426
Mbunge wa Kilombero Abubakari Asenga, amepiga magoti kumshukuru Rasi Dkt. Samia Suluhu Hassan kukamilisha jambo kubwa la barabara ya lami ya Kidatu hadi Ifakara.

Kama unakumbuka mwaka 2022 Mbunge huyo alipiga magoti katika barabara hiyo ikiwa ya matope na kumwomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kumpata barabara ili wananchi wake waweze kuepukana na hadha waliyokuwa wakiipata wakati wa kipindi cha masika.
Mara ngapi amepiga magoti kumuomba Mungu wake?
Ndio maana wakenya wanawaona watz hawana akili.
.
Au yeye huwa halipi kodi kwa maendeleo ya inchi.
Unaomba na kushukuru haki yako!
 
Back
Top Bottom