Kilosa wamtaka Prof. Kabudi aachie ngazi ya ubunge na ndani ya chama

Kilosa wamtaka Prof. Kabudi aachie ngazi ya ubunge na ndani ya chama

Casuist

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
1,189
Reaction score
2,970
Star wa mchezo katika awamu ya nne anaendelea kula mijeledi, naona baada ya kumtoa kwenye baraza kihekima hawamtaki tena bungeni 2025. Nikikumbuka nafasi yake ya ushawishi na maamuzi awamu iliyopita na sasahivi anavyojitutumua kujieleza nachoka kabisa kuhusu siasa.

Mimi ningekuwa yeye, ningekufa na tai shingoni kuliko kugeuka kinyonga na kupoteza vyote, nafasi na heshma.

kabudi Kilosa.jpg
 
Kwa hiyo kabla ya mwendazake kuwachugua njia ilikuwa nzuri?

Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.
 
Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.
Angalau kapambana mpaka lami imefika Kilosa mjini... Zile km za vumbi wengi wameshadondoka na gari. Nakumbuka mida ya saa saba usiku niko kama spidi mia hivi tunaitafuta Kilosa mjini, mara nakutana na michanga kibao... Tuliyumba nusu tule mzinga...
 
Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.
Lijualikali na Prof Jay walihusika zaidi!
 
Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.
Tatizo tumekuwa na chuki kiasi kwamba kila mambo yasiofaa nchi hii kuna mtu lazima tumtaje,Jambo ambalo si sahihi.
 
Yaani mzalendo kabudi aachie ubunge kisa barabara ya kilosa? Hajui kuwa namba moja wa sasa hana upeo mkubwa wa matumizi mazuri ya pesa za umma?pesa zinaliwa na wachache ndiyo maana pesa za kujenga barabara ya kilosa zimekosekana.
 
Tatizo tumekuwa na chuki kiasi kwamba kila mambo yasiofaa nchi hii kuna mtu lazima tumtaje,Jambo ambalo si sahihi.

Anzisha mada ya uadilifu kwenye ofisi za umma ,kuondoka kwa unajua mimi ni nani,ujenzi wa barabara ,miundombinu huyo mtu tutamtaja na pia kwenye mada ya wabunge wa mchongo,uchafuzi,udikteta ,uvunjifu wa katiba ,utekaji /kuua wapinzani atatajwa pia,kila mtu ana mazuri na mabaya yake,usilazimishe watu waseme mazuri tu.
 
Anzisha mada ya uadilifu kwenye ofisi za umma ,kuondoka kwa unajua mimi ni nani,ujenzi wa barabara ,miundombinu huyo mtu tutamtaja na pia kwenye mada ya wabunge wa mchongo,uchafuzi,udikteta ,uvunjifu wa katiba ,utekaji /kuua wapinzani atatajwa pia,kila mtu ana mazuri na mabaya yake,usilazimishe watu waseme mazuri tu.
Pointless as usually, mabarabara tunataona, uadilifu tuliuona, miundombinu and so on, haya tuoneshe hao waliouliwa na huyo jamaa, uwe na udhibitisho.

Nyinyi makada wa chadema mkiendelea kupigana vita na hayati mtazidi kupotea manake hakuna siku inapita hamumtaji hayati.. Hivi Agenda yenu sahivi ni Hayati? Mpaka 2025?
 
Pointless as usually, mabarabara tunataona, uadilifu tuliuona, miundombinu and so on, haya tuoneshe hao waliouliwa na huyo jamaa, uwe na udhibitisho.

Nyinyi makada wa chadema mkiendelea kupigana vita na hayati mtazidi kupotea manake hakuna siku inapita hamumtaji hayati.. Hivi Agenda yenu sahivi ni Hayati? Mpaka 2025?

Usikurupuke mkuu kama unaoga nje.

Nimesema ukizungumza ujenzi wa barabara ,uadilifu kwenye ofisi za umma ,kuondoka kwa unajua mimi ni nani vyote hivyo tutamtaja jiwe kwamba alivisimamia vizuri.....Na pia ukizungumza uvunjwaji wa katiba ,utekaji ,kuua wapinzani atatajwa pia.

Unataka kusema aujui watu waliopotezwa na kuumizwa vibaya kipindi cha mwendazake? Ulikuwa jela? Na siku hizi jela kuna TV/Radio nahisi umejizima tu data.
 
Kwa hiyo kabla ya mwendazake kuwachugua njia ilikuwa nzuri?
Mi nimesoma kilosa since then 1994 huko barabara ipo vile vile

Aliwahi kuwa na waziri wa fedha pale 'nothing new'

Kabudi anaambulia tu lakini pale Kilosa na kule Kilombero Ifakara mpaka Mahenge ni wa kuhurumiwa tu
 
Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.
"Tangu kuumbwa"
Kwa hiyo ni kwamba iliumbwa na siyo kutengenezwa?

Sasa kama iliumbwa inakuwaje umtake mbunge kuhusika wakati mbunge sio Muumba?
 
Back
Top Bottom