Kilosa wamtaka Prof. Kabudi aachie ngazi ya ubunge na ndani ya chama

Kilosa wamtaka Prof. Kabudi aachie ngazi ya ubunge na ndani ya chama

Angalau kapambana mpaka lami imefika Kilosa mjini... Zile km za vumbi wengi wameshadondoka na gari. Nakumbuka mida ya saa saba usiku niko kama spidi mia hivi tunaitafuta Kilosa mjini, mara nakutana na michanga kibao... Tuliyumba nusu tule mzinga...
Karne hii bado unapanda Mkokoteni?
 
Star wa mchezo katika awamu ya nne anaendelea kula mijeledi, naona baada ya kumtoa kwenye baraza kihekima hawamtaki tena bungeni 2025. Nikikumbuka nafasi yake ya ushawishi na maamuzi awamu iliyopita na sasahivi anavyojitutumua kujieleza nachoka kabisa kuhusu siasa.

Mimi ningekuwa yeye, ningekufa na tai shingoni kuliko kugeuka kinyonga na kupoteza vyote, nafasi na heshma.

View attachment 2386589
Kumbe Prof Ni mbunge bado?
 
Kabudi hana kosa. Shida ipo kwa Mkullo huyu aliiba pesa zote zile za misaada ya mafuriko ya Kimamba na Kilosa. Rudewa na Kimama ni pua na mdomo lakini wameshindwa kupitisha lami. Mji wa Kilosa una laana Kimamba wahindi wote wamekimbia.
 
Star wa mchezo katika awamu ya nne anaendelea kula mijeledi, naona baada ya kumtoa kwenye baraza kihekima hawamtaki tena bungeni 2025. Nikikumbuka nafasi yake ya ushawishi na maamuzi awamu iliyopita na sasahivi anavyojitutumua kujieleza nachoka kabisa kuhusu siasa.

Mimi ningekuwa yeye, ningekufa na tai shingoni kuliko kugeuka kinyonga na kupoteza vyote, nafasi na heshma.

View attachment 2386589
Wanataka wamrudishe kule wanakoishi Nzi?
 
Kilosa - Rudewa njia mbovu sana!! Hao ndio wabunge waliochaguliwa mezani na mwendazake.
Acha uongo, mimi ni mkazi wa kilosa, rudewa to kilosa barabara ni lami 21km mpak uhindini. Semeni mengine ila kilosa now inametameta
 
Mi nimesoma kilosa since then 1994 huko barabara ipo vile vile

Aliwahi kuwa na wazur wa fedha pale 'nothing new'

Kabudi anaambulia tu lakini pale Kilosa na kule Kilombero Ifakara mpaka Mahenge ni wa kuhurumiwa tu
🤣🤣🤣
 
Acha uongo, mimi ni mkazi wa kilosa, rudewa to kilosa barabara ni lami 21km mpak uhindini. Semeni mengine ila kilosa now inametameta
City Cntre.jpg
 
Acha kujifanya unaijua kilosa boya wewe, hapo ni eneo la karibu na babylon hotel pale wanauza bia za jumla, barabara yake ni lami ila ulipopiga wewe ni njia ya kwenda station ya reli ya kati ambapo pembeni kuna reli mpya ya sgr na barabara ya huduma kwa magari na mitambo ya waturuki wanaojenga reli kupita.

Kama hujaja kilosa muda mrefu njoo mabadiliko yapo.
 
Star wa mchezo katika awamu ya nne anaendelea kula mijeledi, naona baada ya kumtoa kwenye baraza kihekima hawamtaki tena bungeni 2025. Nikikumbuka nafasi yake ya ushawishi na maamuzi awamu iliyopita na sasahivi anavyojitutumua kujieleza nachoka kabisa kuhusu siasa.

Mimi ningekuwa yeye, ningekufa na tai shingoni kuliko kugeuka kinyonga na kupoteza vyote, nafasi na heshma.

View attachment 2386589
Wanamtaka arufi dampo! Wanakilosa wameamka, huyu profesori aliwaambia amechaguliwa na Mungu
 
Acha kujifanya unaijua kilosa boya wewe, hapo ni eneo la karibu na babylon hotel pale wanauza bia za jumla, barabara yake ni lami ila ulipopiga wewe ni njia ya kwenda station ya reli ya kati ambapo pembeni kuna reli mpya ya sgr na barabara ya huduma kwa magari na mitambo ya waturuki wanaojenga reli kupita.

Kama hujaja kilosa muda mrefu njoo mabadiliko yapo.
Sio Kujifanya, naijua nje ndani ,nipo toka enzi hizo babylon anaanza biashara za fremu za maduka ,alsayeed hana hata gari moja,kama upo kilosa njoo hapa msalabani Ilonga MATI.
 
Kabudi hana kosa. Shida ipo kwa Mkullo huyu aliiba pesa zote zile za misaada ya mafuriko ya Kimamba na Kilosa. Rudewa na Kimama ni pua na mdomo lakini wameshindwa kupitisha lami. Mji wa Kilosa una laana Kimamba wahindi wote wamekimbia.
Kabisa Mkullo akaishia kuwajengea kambi pale Kimamba wale waathirika wa mafuriko ,ile njia ni mbovu sana labda ya kupita dumila.
 
Acha ujuaji mkuu ,Dumila-Kilosa-Mikumi ndiyo yenye lami ,Rudewa-Kilosa bado haijakamilika ,bado haijafika hata Ilonga...Ebu Njoo kwanza mkuu huko Ilona ujionee.


View attachment 2386936
Dumila-Kilosa-Mikumi sio kote kwenye lami, lami imekamilika Dumila to Kilosa 65 km ambapo mwanzo wakati wa Mkulo ilijengwa 44km kutoka Dumila to Rudewa then kikabaki kipande cha 21km kutoka Rudewa to Kilosa ambacho nacho kimekamilika mwaka huu chini ya wale wakandarasi wazawa Umoja, lakini kutoka Kilosa to Mikumi 78km bado haijajengwa na hata haijatengewa fungu zaidi ya kuwa kwenye mpango wa 2020/2025

Barabara unayosema ya Rudewa-Kimamba-Kilosa ambayo ni vumbi ile barabara haipo chini ya Tanroads na haipo katika mtandao wa barabara zitakazowekwa lami kama ilivyo barabara ya Melela-Mkata-Kimamba-Kilosa.

Kwa kukusaidia tu ni kuwa hiyo barabara unayosemea wewe ya Rudewa-Kimamba ilikuwa imechongwa na kampuni ya mkonge ile ya pale Madoto ili waweze kusafirisha mkonge kuja barabarani kwa urahisi wala sio barabara ya serikali ila watu wakawa wanaitumia na imezoeleka hivyo, kwa hiyo usitegemee kwa hivi karibuni kuwekwa lami labda ifanyiwe mabadiliko kwanza itambuliwe na Tanroads na pia ipate umuhimu wa matumizi kuliko sasa yanapita mabasi mawili tu ua Kidinilo na Alsaedy yanayoenda kubeba abiria Kimamba.

Kama una hoja nyingine iweke mezani ila usipotoshe watu wasioijua Kilosa humu. Hata mimi siwakubali hao viongozi makanjanja ila naelezea ukweli wa mambo yalivyo Kilosa. Kilosa ya miaka 10 nyuma sio hii ya sasa na juhudi nyingi ni za wananchi wenyewe wa Kilosa wakichagizwa na miradi mbalimbali inayofanyika au kupita Kilosa kama ujenzi wa SGR, ujenzi wa line kubwa ya umeme wa train za SGR, ukarabati wa reli ya kati pamoja na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami Dumila to Kilosa.
 
Back
Top Bottom