Kwa hiyo kabla ya mwendazake kuwachugua njia ilikuwa nzuri?Kilosa - Rudewa njia mbovu sana!! Hao ndio wabunge waliochaguliwa mezani na mwendazake.
Kwa hiyo kabla ya mwendazake kuwachugua njia ilikuwa nzuri?
Angalau kapambana mpaka lami imefika Kilosa mjini... Zile km za vumbi wengi wameshadondoka na gari. Nakumbuka mida ya saa saba usiku niko kama spidi mia hivi tunaitafuta Kilosa mjini, mara nakutana na michanga kibao... Tuliyumba nusu tule mzinga...Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.
Lijualikali na Prof Jay walihusika zaidi!Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.
Mzilankende Mnyago Alituingiza Chaka MnoKilosa - Rudewa njia mbovu sana!! Hao ndio wabunge waliochaguliwa mezani na mwendazake.
Sana tena chaka bovu na akatulisha KASA.Mzilankende Mnyago Alituingiza Chaka Mno
Lijualikali na Prof Jay walihusika zaidi!
Tatizo tumekuwa na chuki kiasi kwamba kila mambo yasiofaa nchi hii kuna mtu lazima tumtaje,Jambo ambalo si sahihi.Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.
Tatizo tumekuwa na chuki kiasi kwamba kila mambo yasiofaa nchi hii kuna mtu lazima tumtaje,Jambo ambalo si sahihi.
Ujinga kivipi? Si alikiri kuongea uwongo mwenyewe?Huo mchezo unachezwa na wajinga fulani ndani ya chama
Pointless as usually, mabarabara tunataona, uadilifu tuliuona, miundombinu and so on, haya tuoneshe hao waliouliwa na huyo jamaa, uwe na udhibitisho.Anzisha mada ya uadilifu kwenye ofisi za umma ,kuondoka kwa unajua mimi ni nani,ujenzi wa barabara ,miundombinu huyo mtu tutamtaja na pia kwenye mada ya wabunge wa mchongo,uchafuzi,udikteta ,uvunjifu wa katiba ,utekaji /kuua wapinzani atatajwa pia,kila mtu ana mazuri na mabaya yake,usilazimishe watu waseme mazuri tu.
Pointless as usually, mabarabara tunataona, uadilifu tuliuona, miundombinu and so on, haya tuoneshe hao waliouliwa na huyo jamaa, uwe na udhibitisho.
Nyinyi makada wa chadema mkiendelea kupigana vita na hayati mtazidi kupotea manake hakuna siku inapita hamumtaji hayati.. Hivi Agenda yenu sahivi ni Hayati? Mpaka 2025?
Mi nimesoma kilosa since then 1994 huko barabara ipo vile vileKwa hiyo kabla ya mwendazake kuwachugua njia ilikuwa nzuri?
"Tangu kuumbwa"Swali lako halina mantiki, nishasema barabara ni mbovu means tangia kuumbwa haijawahi kuwa nzuri yote ni sababu ya wabunge wa mchongo/wachumia tumbo ndio wanaochaguliwa tangu enzi za Mkulo....Napajua vizuri sana huko maana nimefundisha MATI -Ilonga(msalabani) na mkono wa mara.