peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nimeandika tu.
Kuna ajali imetokea Kila leo na watu zaidi ya 7 wamefariki Dunia.
LATRA wako kimyaaaa
Kuna ajali imetokea Kila leo na watu zaidi ya 7 wamefariki Dunia.
LATRA wako kimyaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile basi la sai baba ni kimeo hatariNimeandika tu.
Kuna ajali imetokea Kila leo na watu zaidi ya 7 wamefariki Dunia.
LATRA wako kimyaaaa
LATRA wanajua tozo na usumbufu wa wasafiri kwenye vituo vya abiriaNimeandika tu.
Kuna ajali imetokea Kila leo na watu zaidi ya 7 wamefariki Dunia.
LATRA wako kimyaaaa
Katika zile 4R za mazeli nimeshaweza kung'amua 2R zinasimama badala ya Rushwa Ruksa. Bado zile mbili.Jamani mlitaka demokrasia na kila mtu ale kwa kamba yake long ilivyo.
Sasa Kama mbovu traffic police akapewa hata 50k na hao latra wakalamba 150k ili angalau ipige route kadhaa hata mwezi unadhani hela itakataliwa
Hizo Sai Baba kwenye ajali lazima konda au dereva mmoja wao au wote wakate moto.Lile basi la sai baba ni kimeo hatari
Tupe maelezo mazuriNimeandika tu.
Kuna ajali imetokea Kila leo na watu zaidi ya 7 wamefariki Dunia.
LATRA wako kimyaaaa
upo sahihi sana mkuu... sijui kwanini inakuwaga hiviHizo Sai Baba kwenye ajali lazima konda au dereva mmoja wao au wote wakate moto.
Waziri wa mambo ya Ndani ni nani?Hata kama mwanadam lazima afe
Lakini vifo vingine ni vya kujitakia tu
Watanzania wanakufa kama inzi
Watu wasipochukua hatua za kiusalama wenyewe basi watazidi
Kufa na kufa....
Hao latra sijui traffic hawana msaada wowote kwenu
Ova
Hapa umeandika bila kutumia akili.jiulize kwanini kuna nchi zina ajali chache,zingine zina ajali nyingi.Kawaida ajali lazima zitokee
Umeongea point,wakianza oparesheni kamata magari mabovu tutaanza lawamaTrafiki wakikomaa,baadhi ya wadau wanawalalàmikia kiujumla kua wanasaka pesa,wakati wengine huwa na nia njema ya kuokoa maisha ya baadhi ya abiria.Haya sasa,mnataka uhuru,kimbieni mnavyotaka,ovatekini mtakavyo pia... uzuri mishahara yao(hao trafiki),ipo palepale.
Polisi anatakiwa afanye kazi kwa kufuata utaalam wake. Kama baadhi ya wadau wanalalamika wanapofanya kazi ndiyo wasuse?Trafiki wakikomaa,baadhi ya wadau wanawalalàmikia kiujumla kua wanasaka pesa,wakati wengine huwa na nia njema ya kuokoa maisha ya baadhi ya abiria.Haya sasa,mnataka uhuru,kimbieni mnavyotaka,ovatekini mtakavyo pia... uzuri mishahara yao(hao trafiki),ipo palepale.
Lawama siyo kisingizio cha polisi kutokutekeleza wajibu wake. Polisi wanatakiwa kusimamia kanuni na sheria za usalama barabarani bila kujali lawama.Umeongea point,wakianza oparesheni kamata magari mabovu tutaanza lawama
Kinachotakiwa ni kutoa elimu kwa wadau na waelimike. Traffic police asiye na elimu anachofanya yeye ni kupokea rushwa tu, maana yake akikomaa ni rushwa zaidi. Vivyo hivyo kwa LATRA na mamlaka nyingine.Trafiki wakikomaa,baadhi ya wadau wanawalalàmikia kiujumla kua wanasaka pesa,wakati wengine huwa na nia njema ya kuokoa maisha ya baadhi ya abiria.Haya sasa,mnataka uhuru,kimbieni mnavyotaka,ovatekini mtakavyo pia... uzuri mishahara yao(hao trafiki),ipo palepale.