Kilwa: Ajali yaua saba na kujeruhu 22

Kilwa: Ajali yaua saba na kujeruhu 22

Juzi Basi lililokuwa limebeba Watalii limetumbukia kwenye Daraja na kuua Abiria ishirini huko Italia.

Uingereza nako wikii hii Dereva wa Basi kazimia na kwenye stering na kupinduka amekufa yeye na Mtu mmoja.

Tanzania ajali zikitokea zinafanywa ajenda za kisiasa.

Kwa mfano Gurudumu la mbele likipasuka na Basi ikiwa hata mwendo wa 70kph hakuna namna ni bahati tu ndio unaweza kutoboa.

Mimi binafsi nimezipongeza sana Mamlaka kwa kuachia usafiri wa abiria uwe 24hrs.

Na hata wale walioufungia usafiri wa abiria 24hrs walikuwa ni Wanasiasa wasioelewa chochote.

Nchi ili iende fasta kimaendeleo ruhusu usafiri 24hrs ruhusu Mipaka ifanye 24hrs.
 
Bado safari za usiku, mchana mambo ndiyo hayo huo usiku sasa hizo barabara zina taa sehemu zote? Halafu watu wanafurahia hizo safari!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ajali za bongo 90% ni za reckless driving. Una overtake vipi na huoni mbele kama kuna gari inakuja au la?

Unalazimishaje overtake ilihali unaona gari inakuja na upo upande ambao sio wako?

Ili kufidia huu uzembe serikali ingepanua njia na kutenganisha wanaokwenda na wanaorudi.
 
Kwahiyo kazi ya LATRA ni kuzuia ajali?
 
Ajali za bongo 90% ni za reckless driving. Una overtake vipi na huoni mbele kama kuna gari inakuja au la?

Unalazimishaje overtake ilihali unaona gari inakuja na upo upande ambao sio wako?

Ili kufidia huu uzembe serikali ingepanua njia na kutenganisha wanaokwenda na wanaorudi.
Yaani ya kutenganisha ingekuwa vizuri, angalia Ubungo - Mbezi zamani kulikuwa na ajali nyingi nyingi tu ,sahizi kuna uafadhali, halafu wameishia pale

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Juzi Basi lililokuwa limebeba Watalii limetumbukia kwenye Daraja na kuua Abiria ishirini huko Italia.

Uingereza nako wikii hii Dereva wa Basi kazimia na kwenye stering na kupinduka amekufa yeye na Mtu mmoja.

Tanzania ajali zikitokea zinafanywa ajenda za kisiasa.

Kwa mfano Gurudumu la mbele likipasuka na Basi ikiwa hata mwendo wa 70kph hakuna namna ni bahati tu ndio unaweza kutoboa.

Mimi binafsi nimezipongeza sana Mamlaka kwa kuachia usafiri wa abiria uwe 24hrs.

Na hata wale walioufungia usafiri wa abiria 24hrs walikuwa ni Wanasiasa wasioelewa chochote.

Nchi ili iende fasta kimaendeleo ruhusu usafiri 24hrs ruhusu Mipaka ifanye 24hrs.
Usafiri wa mabasi saa 24 ni muhimu sana kwa maendeleo. Siyo usafiri tu hata huduma katika miji na majiji., hakuna sababu ya kufunga kwa zile muhimu.
Hata hivyo, kulinganisha ajali moja au mbili za nchi fulani hakuhalalishi ajali zote kwa ujumla.
 
Yaani ya kutenganisha ingekuwa vizuri, angalia Ubungo - Mbezi zamani kulikuwa na ajali nyingi nyingi tu ,sahizi kuna uafadhali, halafu wameishia pale

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ajali ni ngumu sana kutokea kukiwa na separate lanes. Hili ndio linatugharimu sana hata kwenye highway za kuunganisha mikoa
 
Ukiacha uzembe wa madereva, barabara za bongo za highway ni machinjio kwa sababu magari kupishana kwa kutengwa na mstari tu...
 
Hawa madereva wanaondesha huku wamelewa ndiyo matatizo, hawana Hata uwezo wa kufikiri na kuwa na tahadhari
 
Ukiacha uzembe wa madereva, barabara za bongo za highway ni machinjio kwa sababu magari kupishana kwa kutengwa na mstari tu...
Nchi nyingi ziko hivyo single carriageway mimi nimeendesha Lorry karibia miaka 30 kwenye njia hizo na za vumbi.
 
Yale mageti ya usiku ya kukusanya buku mbili mbili kama lile la BAHI ni kero tupu.
 
Back
Top Bottom