Kilwa Beach Lodge iweke tangazo rasmi kama haitaki waafrika na watanzania

Kilwa Beach Lodge iweke tangazo rasmi kama haitaki waafrika na watanzania

We unaenda sumbuwa watu kuuliza uliza bei ukiambiwa soda elf kumi unaanza kulalamika ukinunua unakaa lisaa watu wakose pa kukaa, ila iko ki eneo kipigwe moto tu ubaguzi hatutaki peiod
 
Ushimen Huwa sijawah soma comment yako kwenye Uzi wowote bila kucheka sijui kichwani mwako Kuna Nini 😃😃😃
Hata waifu hua ananiambia kwamba......
Nanukuu: Sijui hua unawaza nini kwenye kila uzi unapo comment, maana hautumii akili....😜
Then minamjibu tu "sababu sna akili"...🤣
 
Sasa wao wanabagua live bila chenga
Kwa mfano kwa taarifa hii uliyoitoa mtu yeyote atakayeenda maeneo hayo,ataenda kwa jicho la uchunguzi.
Ikitokea akafanyiwa lolote hata kwa bahati mbaya picha atakayoipata ni ile aliyowahi sikia.
Jambo hili ni hatari sana kwenye biashara ya hoteli,
Ndo maana mahotel yanayojitambua,ikitokea waiter akawa na lugha mbaya kwa wageni na akalalamikiwa zaidi ya mara tatu mtu huyo,hupumzishwa kazi.

Wakati mwingine mgeni aliyelalalmikia jambo fulani hupewa hata offer,kama vile free lunch etc
ili kufuta asiondoke na picha mbaya akawaaribia biashara huko aendako.
Ni hayo tuu,huyo muacheni muda utaongea.
 
Sio watanzania, sema Kilwa beach lodge haitaki wamakonde.. huoni kondeboi anavyotuaibisha mitandaoni?
 
Samahani mkuu...
Hiyo kitu ipo maeneo gani hapa Mwanza..🤔
chukua haka kadogi kafuge we mzee
Kilwa na Mwanza wapi na wapi
FB_IMG_1718955393171.jpg
 
Shalom,

Jukwaa mnisamehe na fuatilia kwa wana kilwa masoko mtapata ukweli wote.

Ndugu wanajamii na watanzania kwa ujumla, kipekee wana kilwa masoko, ujumbe umfikie Madam Lilian wa Kilwa Beach Lodge, aweke tangazo la maandishi na sauti yake ijulikane bayana kuwa hataki kuwapa huduma waafrika na watanzania weusi kwa ujumla.

Ujumbe umfikie kabla sijaweka sauti na video za wateja wakilalamika.

Afanye haraka sana kuutangazia umma wa watanzania na Africa nzima juu ya msimamo wake kutoa huduma na kukaribisha wateja waafrika na watanzania weusi.

Nawasilisha.

Wadiz
Ndugu yangu umeruka steji, ukifika lodge unatakiwa kupokelewa kuanzia unavyoshuka kwenye gari. Rudi ulingoni kaza na endelea kupambana utafikia steji ya kufika hapo kulwa lodge.
 
Wabongo unaweza kuta wanaenda hapo alafu wanaanza tena kulalamikia gharama juu tena unaweza kuta hata wanauliza kuna nini cha gharama hadi kuwa bei hii?

Kumbe huo upekee anaoutengeneza huyo mwenye biashara ndio unaomuingizia hela.

Hicho unachotaka wewe cha kuweka tangazo kina kanuni zake hakipo ila gharama ndio zitakuweka kando.

Madaraja yapo duniani kote hata huko masaki kuna sehemu utakuta white wamejaa ukadhani ni sehemu maalumu ila ukwasi ndio unafanya wengine wakae kando.
 
Shalom,

Jukwaa mnisamehe na fuatilia kwa wana kilwa masoko mtapata ukweli wote.

Ndugu wanajamii na watanzania kwa ujumla, kipekee wana kilwa masoko, ujumbe umfikie Madam Lilian wa Kilwa Beach Lodge, aweke tangazo la maandishi na sauti yake ijulikane bayana kuwa hataki kuwapa huduma waafrika na watanzania weusi kwa ujumla.

Ujumbe umfikie kabla sijaweka sauti na video za wateja wakilalamika.

Afanye haraka sana kuutangazia umma wa watanzania na Africa nzima juu ya msimamo wake kutoa huduma na kukaribisha wateja waafrika na watanzania weusi.

Nawasilisha.

Wadiz
Nilishawahi kulala hapo.
Kumbe wana mambo ya kise£nge hivyo?
Basi next time nikibahatika tena kulala hapo asubuhi nakata gogo nalifunika na mto afu nalog out
 
Back
Top Bottom