Badee-u-zaaman
Member
- Dec 31, 2022
- 44
- 44
Habari zenu wanaJF, natumai hamjambo na kila mtu yupo zake vema katika kupambania kombe.
Leo kama mada inavyosema nilitaka nipate zaidi ya nikijuacho ikiwezekana nifute nilichonacho au niongezee kwacho kuhusiana na ni nini kiliufanya mji wa Kilwa kutoka katika Heshima yake na kurudi katika Dharau yake na kutokutamanika haswaa.
Historia inaonyesha wazi ukifika Kilwa kisiwani ukaangalia masalia ya Mijengo iliyokuwepo zama zile, utakubariana na 𝙄𝙗𝙣 𝘽𝙖𝙩𝙪𝙩𝙖 kuwa Kilwa lilikuwa Jiji.
Kuna Muda waislaamu wa Afrika walipaita Kilwa 𝗠𝗔𝗞𝗞𝗔 𝗬𝗔 𝗔𝗙𝗥𝗜𝗞𝗔 kutokana na Wingi na ukubwa wa Misikiti iliyokuwa imejengwa ikajengeka ndani ya Kilwa Kisiwani, ambayo mpaka leo inastaajabisha Foundation yake.
Hapo alipofika Ibn Batuta akasema, "𝐖𝐚𝐥𝐥𝐚𝐡𝐢 (𝐧𝐚𝐚𝐩𝐚 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐣𝐢 𝐦𝐳𝐮𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐧𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨𝐮𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐌𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐰𝐚 𝐊𝐢𝐥𝐰𝐚.... 𝐊𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐭𝐚𝐚𝐫𝐚𝐛𝐮 𝐧𝐚 𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐞 ...."
Hiyo ni miaka ya 1880's leo hii Mimi hapa, wa miaka ya 2000's huwezi kunishawishi kukaa katika Kisiwa kile, si Mimi tu hata Ibn Batuta mwenyewe akifufuka hawezi kupasifia kwa namna hii tena.
Nilijaribu kufuatilia ni nini kilikuwa mpaka pakarudi chini kabisaa? Sikyona Labda kuna vita iliyotokea watu wakaukimbia mji wake, sikuona ugonjwa ulotokea, sikuona siasa chafu za maudhi kama za leo labda zikawakera wananchi wakauhama, badala yake, naliona 𝙐𝙙𝙞𝙣𝙞 𝙬𝙖 𝙫𝙞𝙤𝙣𝙜𝙤𝙯𝙞 walokuwepo zama zile, ubaguzi wa Uafrika na Uarabu (𝘼𝙛𝙧𝙖𝙗𝙞𝙖). Hivi ndivyo vinatajwa kwa wingi kiwa viliurudisha na kuuvurugavuruga mji huu ili miji mingine iweze kuanzishwa na kukua, miji gani? Miji waloitaka wao, miji waloipenda wao.
Kabla sijakubariana na wanahistoria hawa, ikabidi nitafute ni nini ushahidi wa hayo, nikajikuta nakutana na kauli ya "𝑺𝒊 𝒕𝒖 𝒌𝑲𝒊𝒍𝒘𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒚𝒐𝒅𝒉𝒐𝒐𝒇𝒊𝒔𝒉𝒘 𝒊𝒔𝒊𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒆, 𝒍𝒂𝒂 𝒃𝒂𝒍𝒊 𝑴𝒊𝒌𝒐𝒂 𝒚𝒂 𝑲𝒖𝒔𝒊𝒏𝒊 𝒚𝒐𝒕𝒆.... 𝑴𝒇𝒂𝒏𝒐 𝑴𝒕𝒘𝒂𝒓𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒕𝒐𝒍𝒆𝒘𝒂 𝑭𝒆𝒅𝒉𝒂 𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒂𝒓𝒂𝒃𝒖 𝒑𝒂𝒌𝒂𝒋𝒆𝒏𝒈𝒘𝒆 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝑵𝒂𝒄𝒉𝒊𝒏𝒈𝒘𝒆𝒂 𝒉𝒂𝒅𝒊 𝑩𝒂𝒏𝒅𝒂𝒓𝒊𝒏𝒊 𝒏𝒂 𝒊𝒏𝒈𝒆𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒊 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂 𝑬.𝑨, 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝑹𝒂𝒊𝒔 𝒂𝒍𝒊𝒌𝒂𝒕𝒂𝒂 na 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒆𝒏𝒈𝒂 𝑯𝒐𝒔𝒑𝒊𝒕𝒂𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝑩𝒖𝒈𝒂𝒏𝒅𝒐 𝑴𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂, 𝒉𝒊𝒊 𝒏𝒅𝒊𝒚𝒐 𝒉𝒊𝒔𝒕𝒐𝒓𝒊𝒂 𝒎𝒔𝒊𝒚𝒐𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒍𝒊𝒋𝒖𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒏𝒚𝒊....." Huyu ni Hassan Ilunga Kapungu.
Wanahistoria ni wengi na ushahidi wao ni mwingi juu ya haya, Nilipata kusikiliza hata 𝙏𝙝𝙚 𝙨𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙗𝙤𝙤𝙠 ya WCB ya Jamaal Mustafa (Profesa) iliyookuwa ikizungumza kuhusu Kilwa amabyo hii haikutaja 𝙣𝙞 𝙣𝙞𝙣𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙪𝙛𝙖𝙣𝙮𝙖 𝙢𝙟𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙠𝙚? Bali iliishia tu kutaja Utukufu waHistoria yake na Utukufu wa Wakazi wake wa Zama zile.
Hapa nataka kujua 𝙉𝙞 𝙣𝙞𝙣𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙠𝙞𝙟𝙪𝙖 𝙠𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝙢𝙟𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙖 𝙆𝙞𝙡𝙬𝙖? 𝙉𝙞 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙖𝙢𝙞𝙣𝙞 𝙪𝙡𝙞𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙈𝙩𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞𝙛𝙪 𝙫𝙞𝙡𝙚 𝙪𝙩𝙖𝙟𝙬𝙖𝙫𝙮𝙤? Kama ndiyo, 𝙉𝙞 𝙠𝙞𝙥𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙨𝙝𝙖?
𝙱𝚊𝚍𝚎𝚎'𝚞𝚣𝚊𝚊𝚖𝚊𝚗
Leo kama mada inavyosema nilitaka nipate zaidi ya nikijuacho ikiwezekana nifute nilichonacho au niongezee kwacho kuhusiana na ni nini kiliufanya mji wa Kilwa kutoka katika Heshima yake na kurudi katika Dharau yake na kutokutamanika haswaa.
Historia inaonyesha wazi ukifika Kilwa kisiwani ukaangalia masalia ya Mijengo iliyokuwepo zama zile, utakubariana na 𝙄𝙗𝙣 𝘽𝙖𝙩𝙪𝙩𝙖 kuwa Kilwa lilikuwa Jiji.
Kuna Muda waislaamu wa Afrika walipaita Kilwa 𝗠𝗔𝗞𝗞𝗔 𝗬𝗔 𝗔𝗙𝗥𝗜𝗞𝗔 kutokana na Wingi na ukubwa wa Misikiti iliyokuwa imejengwa ikajengeka ndani ya Kilwa Kisiwani, ambayo mpaka leo inastaajabisha Foundation yake.
Hapo alipofika Ibn Batuta akasema, "𝐖𝐚𝐥𝐥𝐚𝐡𝐢 (𝐧𝐚𝐚𝐩𝐚 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐣𝐢 𝐦𝐳𝐮𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐧𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨𝐮𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐌𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐰𝐚 𝐊𝐢𝐥𝐰𝐚.... 𝐊𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐭𝐚𝐚𝐫𝐚𝐛𝐮 𝐧𝐚 𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐞 ...."
Hiyo ni miaka ya 1880's leo hii Mimi hapa, wa miaka ya 2000's huwezi kunishawishi kukaa katika Kisiwa kile, si Mimi tu hata Ibn Batuta mwenyewe akifufuka hawezi kupasifia kwa namna hii tena.
Nilijaribu kufuatilia ni nini kilikuwa mpaka pakarudi chini kabisaa? Sikyona Labda kuna vita iliyotokea watu wakaukimbia mji wake, sikuona ugonjwa ulotokea, sikuona siasa chafu za maudhi kama za leo labda zikawakera wananchi wakauhama, badala yake, naliona 𝙐𝙙𝙞𝙣𝙞 𝙬𝙖 𝙫𝙞𝙤𝙣𝙜𝙤𝙯𝙞 walokuwepo zama zile, ubaguzi wa Uafrika na Uarabu (𝘼𝙛𝙧𝙖𝙗𝙞𝙖). Hivi ndivyo vinatajwa kwa wingi kiwa viliurudisha na kuuvurugavuruga mji huu ili miji mingine iweze kuanzishwa na kukua, miji gani? Miji waloitaka wao, miji waloipenda wao.
Kabla sijakubariana na wanahistoria hawa, ikabidi nitafute ni nini ushahidi wa hayo, nikajikuta nakutana na kauli ya "𝑺𝒊 𝒕𝒖 𝒌𝑲𝒊𝒍𝒘𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒚𝒐𝒅𝒉𝒐𝒐𝒇𝒊𝒔𝒉𝒘 𝒊𝒔𝒊𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒆, 𝒍𝒂𝒂 𝒃𝒂𝒍𝒊 𝑴𝒊𝒌𝒐𝒂 𝒚𝒂 𝑲𝒖𝒔𝒊𝒏𝒊 𝒚𝒐𝒕𝒆.... 𝑴𝒇𝒂𝒏𝒐 𝑴𝒕𝒘𝒂𝒓𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒕𝒐𝒍𝒆𝒘𝒂 𝑭𝒆𝒅𝒉𝒂 𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒂𝒓𝒂𝒃𝒖 𝒑𝒂𝒌𝒂𝒋𝒆𝒏𝒈𝒘𝒆 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝑵𝒂𝒄𝒉𝒊𝒏𝒈𝒘𝒆𝒂 𝒉𝒂𝒅𝒊 𝑩𝒂𝒏𝒅𝒂𝒓𝒊𝒏𝒊 𝒏𝒂 𝒊𝒏𝒈𝒆𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒊 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂 𝑬.𝑨, 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝑹𝒂𝒊𝒔 𝒂𝒍𝒊𝒌𝒂𝒕𝒂𝒂 na 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒆𝒏𝒈𝒂 𝑯𝒐𝒔𝒑𝒊𝒕𝒂𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝑩𝒖𝒈𝒂𝒏𝒅𝒐 𝑴𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂, 𝒉𝒊𝒊 𝒏𝒅𝒊𝒚𝒐 𝒉𝒊𝒔𝒕𝒐𝒓𝒊𝒂 𝒎𝒔𝒊𝒚𝒐𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒍𝒊𝒋𝒖𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒏𝒚𝒊....." Huyu ni Hassan Ilunga Kapungu.
Wanahistoria ni wengi na ushahidi wao ni mwingi juu ya haya, Nilipata kusikiliza hata 𝙏𝙝𝙚 𝙨𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙗𝙤𝙤𝙠 ya WCB ya Jamaal Mustafa (Profesa) iliyookuwa ikizungumza kuhusu Kilwa amabyo hii haikutaja 𝙣𝙞 𝙣𝙞𝙣𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙪𝙛𝙖𝙣𝙮𝙖 𝙢𝙟𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙠𝙚? Bali iliishia tu kutaja Utukufu waHistoria yake na Utukufu wa Wakazi wake wa Zama zile.
Hapa nataka kujua 𝙉𝙞 𝙣𝙞𝙣𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙠𝙞𝙟𝙪𝙖 𝙠𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝙢𝙟𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙖 𝙆𝙞𝙡𝙬𝙖? 𝙉𝙞 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙖𝙢𝙞𝙣𝙞 𝙪𝙡𝙞𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙈𝙩𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞𝙛𝙪 𝙫𝙞𝙡𝙚 𝙪𝙩𝙖𝙟𝙬𝙖𝙫𝙮𝙤? Kama ndiyo, 𝙉𝙞 𝙠𝙞𝙥𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙨𝙝𝙖?
𝙱𝚊𝚍𝚎𝚎'𝚞𝚣𝚊𝚊𝚖𝚊𝚗