Kilwa: Kutoka mji bora hadi magofu yasiyo na faida

Kilwa: Kutoka mji bora hadi magofu yasiyo na faida

Hii mikoa imeuliwa kimkakati kutokana na watu walio katika mikoa hiyo,
Rejea zanzibar miaka ya 2005 tu ilikiwa kila mtu anaenda kutafuta maisha zanzibar ,
Leo kuna nini zanzibar????

Mpango mkakati ndio umeimaliza hii mikoa
 
Unaweza kuweka uthibitisho wa hili? Au kwa kuwa kasema marehemu Ilunga unachukulia ni kweli?
"𝑺𝒊 𝒕𝒖 𝒌𝑲𝒊𝒍𝒘𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒚𝒐𝒅𝒉𝒐𝒐𝒇𝒊𝒔𝒉𝒘 𝒊𝒔𝒊𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒆, 𝒍𝒂𝒂 𝒃𝒂𝒍𝒊 𝑴𝒊𝒌𝒐𝒂 𝒚𝒂 𝑲𝒖𝒔𝒊𝒏𝒊 𝒚𝒐𝒕𝒆.... 𝑴𝒇𝒂𝒏𝒐 𝑴𝒕𝒘𝒂𝒓𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒕𝒐𝒍𝒆𝒘𝒂 𝑭𝒆𝒅𝒉𝒂 𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒂𝒓𝒂𝒃𝒖 𝒑𝒂𝒌𝒂𝒋𝒆𝒏𝒈𝒘𝒆 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝑵𝒂𝒄𝒉𝒊𝒏𝒈𝒘𝒆𝒂 𝒉𝒂𝒅𝒊 𝑩𝒂𝒏𝒅𝒂𝒓𝒊𝒏𝒊 𝒏𝒂 𝒊𝒏𝒈𝒆𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒊 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂 𝑬.𝑨, 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝑹𝒂𝒊𝒔 𝒂𝒍𝒊𝒌𝒂𝒕𝒂𝒂 na 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒆𝒏𝒈𝒂 𝑯𝒐𝒔𝒑𝒊𝒕𝒂𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝑩𝒖𝒈𝒂𝒏𝒅𝒐 𝑴𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂, 𝒉𝒊𝒊 𝒏𝒅𝒊𝒚𝒐 𝒉𝒊𝒔𝒕𝒐𝒓𝒊𝒂 𝒎𝒔𝒊𝒚𝒐𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒍𝒊𝒋𝒖𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒏𝒚𝒊....."
 
Habari zenu wanaJF, natumahi hamjambo na kila mtu yupo zake vema katika kupambania kombe.

Leo kama mada inavyosema nilitaka nipate zaidi ya nikijuacho ikiwezekana nifute nilichonacho au niongezee kwacho kuhusiana na ni nini kiliufanya mji wa Kilwa kutoka katika Heshima yake na kurudi katika Dharau yake na kutokutamanika haswaa.

Historia inaonyesha wazi ukifika Kilwa kisiwani ukaangalia masalia ya Mijengo iliyokuwepo zama zile, utakubariana na 𝙄𝙗𝙣 𝘽𝙖𝙩𝙪𝙩𝙖 kuwa Kilwa lilikuwa Jiji.

Kuna Muda waislaamu wa Afrika walipaita Kilwa 𝗠𝗔𝗞𝗞𝗔 𝗬𝗔 𝗔𝗙𝗥𝗜𝗞𝗔 kutokana na Wingi na ukubwa wa Misikiti iliyokuwa imejengwa ikajengeka ndani ya Kilwa Kisiwani, ambayo mpaka leo inastaajabisha Foundation yake.

Hapo alipofika Ibn Batuta akasema, "𝐖𝐚𝐥𝐥𝐚𝐡𝐢 (𝐧𝐚𝐚𝐩𝐚 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐣𝐢 𝐦𝐳𝐮𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐧𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨𝐮𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐌𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐰𝐚 𝐊𝐢𝐥𝐰𝐚.... 𝐊𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐭𝐚𝐚𝐫𝐚𝐛𝐮 𝐧𝐚 𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐞 ...."


Hiyo ni miaka ya 1880's leo hii Mimi hapa, wa miaka ya 2000's huwezi kunishawishi kukaa katika Kisiwa kile, si Mimi tu hata Ibn Batuta mwenyewe akifufuka hawezi kupasifia kwa namna hii tena.

Nilijaribu kufuatilia ni nini kilikuwa mpaka pakarudi chini kabisaa? Sikyona Labda kuna vita iliyotokea watu wakaukimbia mji wake, sikuona ugonjwa ulotokea, sikuona siasa chafu za maudhi kama za leo labda zikawakera wananchi wakauhama, badala yake, naliona 𝙐𝙙𝙞𝙣𝙞 𝙬𝙖 𝙫𝙞𝙤𝙣𝙜𝙤𝙯𝙞 walokuwepo zama zile, ubaguzi wa Uafrika na Uarabu (𝘼𝙛𝙧𝙖𝙗𝙞𝙖). Hivi ndivyo vinatajwa kwa wingi kiwa viliurudisha na kuuvurugavuruga mji huu ili miji mingine iweze kuanzishwa na kukua, miji gani? Miji waloitaka wao, miji waloipenda wao.

Kabla sijakubariana na wanahistoria hawa, ikabidi nitafute ni nini ushahidi wa hayo, nikajikuta nakutana na kauli ya "𝑺𝒊 𝒕𝒖 𝒌𝑲𝒊𝒍𝒘𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒚𝒐𝒅𝒉𝒐𝒐𝒇𝒊𝒔𝒉𝒘 𝒊𝒔𝒊𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒆, 𝒍𝒂𝒂 𝒃𝒂𝒍𝒊 𝑴𝒊𝒌𝒐𝒂 𝒚𝒂 𝑲𝒖𝒔𝒊𝒏𝒊 𝒚𝒐𝒕𝒆.... 𝑴𝒇𝒂𝒏𝒐 𝑴𝒕𝒘𝒂𝒓𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒕𝒐𝒍𝒆𝒘𝒂 𝑭𝒆𝒅𝒉𝒂 𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒂𝒓𝒂𝒃𝒖 𝒑𝒂𝒌𝒂𝒋𝒆𝒏𝒈𝒘𝒆 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝑵𝒂𝒄𝒉𝒊𝒏𝒈𝒘𝒆𝒂 𝒉𝒂𝒅𝒊 𝑩𝒂𝒏𝒅𝒂𝒓𝒊𝒏𝒊 𝒏𝒂 𝒊𝒏𝒈𝒆𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒊 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂 𝑬.𝑨, 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝑹𝒂𝒊𝒔 𝒂𝒍𝒊𝒌𝒂𝒕𝒂𝒂 na 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒆𝒏𝒈𝒂 𝑯𝒐𝒔𝒑𝒊𝒕𝒂𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝑩𝒖𝒈𝒂𝒏𝒅𝒐 𝑴𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂, 𝒉𝒊𝒊 𝒏𝒅𝒊𝒚𝒐 𝒉𝒊𝒔𝒕𝒐𝒓𝒊𝒂 𝒎𝒔𝒊𝒚𝒐𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒍𝒊𝒋𝒖𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒏𝒚𝒊....." Huyu ni Hassan Ilunga Kapungu.

Wanahistoria ni wengi na ushahidi wao ni mwingi juu ya haya, Nilipata kusikiliza hata 𝙏𝙝𝙚 𝙨𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙗𝙤𝙤𝙠 ya WCB ya Jamaal Mustafa (Profesa) iliyookuwa ikizungumza kuhusu Kilwa amabyo hii haikutaja 𝙣𝙞 𝙣𝙞𝙣𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙪𝙛𝙖𝙣𝙮𝙖 𝙢𝙟𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙠𝙚? Bali iliishia tu kutaja Utukufu waHistoria yake na Utukufu wa Wakazi wake wa Zama zile.

Hapa nataka kujua 𝙉𝙞 𝙣𝙞𝙣𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙠𝙞𝙟𝙪𝙖 𝙠𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝙢𝙟𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙖 𝙆𝙞𝙡𝙬𝙖? 𝙉𝙞 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙖𝙢𝙞𝙣𝙞 𝙪𝙡𝙞𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙈𝙩𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞𝙛𝙪 𝙫𝙞𝙡𝙚 𝙪𝙩𝙖𝙟𝙬𝙖𝙫𝙮𝙤? Kama ndiyo, 𝙉𝙞 𝙠𝙞𝙥𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙨𝙝𝙖?

𝙱𝚊𝚍𝚎𝚎'𝚞𝚣𝚊𝚊𝚖𝚊𝚗
View attachment 2464077
Huo mji ulikuwa na lami?🤣
 
Safi sana Ndugu, kama kuna Point naipata hapa. Ila nmeongea na mzee mmoja nisingependa kumtaja jina, ila ni mkazi na mzawa wa Mtwara, Masasi Jida Tandale, yeye anasema:

"𝙉𝙞 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞 𝙧𝙚𝙡𝙞 𝙞𝙡𝙞𝙗𝙤𝙢𝙤𝙡𝙚𝙬𝙖, 𝙡𝙖𝙠𝙞𝙣𝙞 𝙢𝙗𝙤𝙢𝙤𝙖𝙟𝙞 𝙝𝙖𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙢𝙬𝙖𝙣𝙖𝙣𝙘𝙝𝙞 𝙮𝙚𝙮𝙤𝙩𝙚, 𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙣𝙘𝙝𝙞 𝙮𝙖𝙤 𝙬𝙖𝙡𝙞𝙗𝙤𝙢𝙤𝙖, 𝙗𝙖𝙖𝙙𝙖 𝙮𝙖 𝙢𝙧𝙖𝙙𝙞 𝙬𝙖 𝙠𝙖𝙧𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙬𝙖 𝙣𝙖𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜𝙬𝙚𝙖 𝙠𝙪𝙝𝙖𝙧𝙞𝙗𝙞𝙠𝙖.
𝙈𝙧𝙖𝙙𝙞 𝙪𝙡𝙞𝙝𝙖𝙧𝙞𝙗𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙬𝙖𝙨𝙖𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙢𝙖𝙨𝙝𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙮𝙖𝙡𝙞𝙟𝙖𝙖 𝙥𝙖𝙣𝙮𝙖 𝙬𝙚𝙣𝙜𝙞 𝙨𝙖𝙣𝙖, 𝙣𝙖 𝙠𝙖𝙗𝙡𝙖 𝙮𝙖 𝙝𝙖𝙥𝙤 𝙢𝙯𝙪𝙣𝙜𝙪𝙗𝙖𝙡𝙞𝙥𝙖𝙣𝙙𝙞𝙠𝙞𝙯𝙖𝙫𝙖𝙞𝙣𝙖 𝙣𝙮𝙞𝙣𝙜𝙞𝙗𝙯𝙖 𝙣𝙮𝙤𝙠𝙖 𝙬𝙖𝙡𝙖𝙤 𝙥𝙖𝙣𝙮𝙖 𝙞𝙡𝙞 𝙠𝙪𝙯𝙪𝙞𝙖 𝙪𝙝𝙖𝙧𝙞𝙗𝙞𝙛𝙪 𝙝𝙪𝙤, 𝙣𝙙𝙞𝙮𝙤 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙢𝙥𝙖𝙠𝙖 𝙡𝙚𝙤 𝙉𝙖𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜𝙬𝙚𝙖 𝙠𝙪𝙣𝙖 𝙖𝙞𝙣𝙖 𝙣𝙮𝙞𝙣𝙜𝙞𝙗𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙯𝙖 𝙣𝙮𝙤𝙠𝙖.

𝙈𝙧𝙖𝙙𝙞 𝙪𝙡𝙞𝙥𝙤𝙛𝙚𝙡𝙞, 𝙝𝙖𝙪𝙠𝙪𝙚𝙣𝙙𝙚𝙡𝙚𝙯𝙬𝙖 𝙞𝙟𝙖𝙥𝙤𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙆𝙖𝙧𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙯𝙞𝙡𝙞𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙗𝙖𝙙𝙤 𝙯𝙞𝙣𝙖𝙬𝙚𝙠𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙗𝙬𝙖𝙣𝙖 𝙬𝙚𝙬𝙚! 𝙄𝙡𝙖 𝙣𝙙𝙤 𝙝𝙞𝙫𝙮𝙤 𝙨𝙚𝙧𝙞𝙠𝙖𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙡𝙞𝙮𝙖𝙛𝙖𝙣𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙠𝙖𝙢𝙗𝙞 𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙟𝙚𝙨𝙝𝙞, 𝙣𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙖𝙟𝙞𝙡𝙞 𝙮𝙖 𝙈𝙞𝙡𝙡𝙞𝙩𝙖𝙧𝙮 𝘾𝙤𝙫𝙚𝙧, 𝙠𝙖𝙢𝙖 𝙞𝙡𝙞𝙫𝙮𝙤, 𝙬𝙖𝙠𝙖𝙗𝙤𝙢𝙤𝙖 𝙧𝙚𝙡𝙞 𝙞𝙡𝙞 𝙥𝙖𝙨𝙞𝙩𝙚𝙢𝙗𝙚𝙡𝙚𝙬𝙬 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙬𝙖𝙣𝙞 𝙞𝙡𝙞𝙛𝙖𝙣𝙮𝙬𝙖 𝙢𝙞𝙠𝙤𝙖𝙗𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙨𝙞𝙣𝙞 𝙣𝙞 𝙢𝙞𝙠𝙤𝙖𝙗𝙮𝙖 𝙑𝙞𝙩𝙖, 𝙠𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙞𝙠𝙤 𝙢𝙞𝙥𝙖𝙠𝙖𝙣𝙞"

Hapa nikaelewa kidogo, kama usemavyo, Reli ilibomolewa, ila mpaka sa hizi mkanganyiko ni Nani aliyebomoa? Kwanini wananchi wasishughulikiwe? Au kwanini serikali wabomoe na kuharibu miundo mbinu kwakisingizio cha makambi ya vita na hadi leo hakuna vita yeyote iliwahi kutokakea maeneo hayo? Walikuwa wanazungumza vita ipi?

Na tusisahau mada:
𝙉𝙞 𝙠𝙞𝙥𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙘𝙝𝙤𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙨𝙝𝙖𝙗𝙈𝙟𝙞𝙗𝙬𝙖 𝙆𝙞𝙡𝙬𝙖!!?
Na wale Nnge walitoka wapi?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wanaJF, natumahi hamjambo na kila mtu yupo zake vema katika kupambania kombe.

Leo kama mada inavyosema nilitaka nipate zaidi ya nikijuacho ikiwezekana nifute nilichonacho au niongezee kwacho kuhusiana na ni nini kiliufanya mji wa Kilwa kutoka katika Heshima yake na kurudi katika Dharau yake na kutokutamanika haswaa.

Historia inaonyesha wazi ukifika Kilwa kisiwani ukaangalia masalia ya Mijengo iliyokuwepo zama zile, utakubariana na 𝙄𝙗𝙣 𝘽𝙖𝙩𝙪𝙩𝙖 kuwa Kilwa lilikuwa Jiji.

Kuna Muda waislaamu wa Afrika walipaita Kilwa 𝗠𝗔𝗞𝗞𝗔 𝗬𝗔 𝗔𝗙𝗥𝗜𝗞𝗔 kutokana na Wingi na ukubwa wa Misikiti iliyokuwa imejengwa ikajengeka ndani ya Kilwa Kisiwani, ambayo mpaka leo inastaajabisha Foundation yake.

Hapo alipofika Ibn Batuta akasema, "𝐖𝐚𝐥𝐥𝐚𝐡𝐢 (𝐧𝐚𝐚𝐩𝐚 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐣𝐢 𝐦𝐳𝐮𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐧𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨𝐮𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐌𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐰𝐚 𝐊𝐢𝐥𝐰𝐚.... 𝐊𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐣𝐢 𝐡𝐮𝐮 𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐭𝐚𝐚𝐫𝐚𝐛𝐮 𝐧𝐚 𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐞 ...."


Hiyo ni miaka ya 1880's leo hii Mimi hapa, wa miaka ya 2000's huwezi kunishawishi kukaa katika Kisiwa kile, si Mimi tu hata Ibn Batuta mwenyewe akifufuka hawezi kupasifia kwa namna hii tena.

Nilijaribu kufuatilia ni nini kilikuwa mpaka pakarudi chini kabisaa? Sikyona Labda kuna vita iliyotokea watu wakaukimbia mji wake, sikuona ugonjwa ulotokea, sikuona siasa chafu za maudhi kama za leo labda zikawakera wananchi wakauhama, badala yake, naliona 𝙐𝙙𝙞𝙣𝙞 𝙬𝙖 𝙫𝙞𝙤𝙣𝙜𝙤𝙯𝙞 walokuwepo zama zile, ubaguzi wa Uafrika na Uarabu (𝘼𝙛𝙧𝙖𝙗𝙞𝙖). Hivi ndivyo vinatajwa kwa wingi kiwa viliurudisha na kuuvurugavuruga mji huu ili miji mingine iweze kuanzishwa na kukua, miji gani? Miji waloitaka wao, miji waloipenda wao.

Kabla sijakubariana na wanahistoria hawa, ikabidi nitafute ni nini ushahidi wa hayo, nikajikuta nakutana na kauli ya "𝑺𝒊 𝒕𝒖 𝒌𝑲𝒊𝒍𝒘𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒚𝒐𝒅𝒉𝒐𝒐𝒇𝒊𝒔𝒉𝒘 𝒊𝒔𝒊𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒆, 𝒍𝒂𝒂 𝒃𝒂𝒍𝒊 𝑴𝒊𝒌𝒐𝒂 𝒚𝒂 𝑲𝒖𝒔𝒊𝒏𝒊 𝒚𝒐𝒕𝒆.... 𝑴𝒇𝒂𝒏𝒐 𝑴𝒕𝒘𝒂𝒓𝒂 𝒊𝒍𝒊𝒕𝒐𝒍𝒆𝒘𝒂 𝑭𝒆𝒅𝒉𝒂 𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒂𝒓𝒂𝒃𝒖 𝒑𝒂𝒌𝒂𝒋𝒆𝒏𝒈𝒘𝒆 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 𝑵𝒂𝒄𝒉𝒊𝒏𝒈𝒘𝒆𝒂 𝒉𝒂𝒅𝒊 𝑩𝒂𝒏𝒅𝒂𝒓𝒊𝒏𝒊 𝒏𝒂 𝒊𝒏𝒈𝒆𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒊 𝑹𝒆𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂 𝑬.𝑨, 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝑹𝒂𝒊𝒔 𝒂𝒍𝒊𝒌𝒂𝒕𝒂𝒂 na 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒆𝒏𝒈𝒂 𝑯𝒐𝒔𝒑𝒊𝒕𝒂𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝑩𝒖𝒈𝒂𝒏𝒅𝒐 𝑴𝒘𝒂𝒏𝒛𝒂, 𝒉𝒊𝒊 𝒏𝒅𝒊𝒚𝒐 𝒉𝒊𝒔𝒕𝒐𝒓𝒊𝒂 𝒎𝒔𝒊𝒚𝒐𝒘𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒍𝒊𝒋𝒖𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒏𝒚𝒊....." Huyu ni Hassan Ilunga Kapungu.

Wanahistoria ni wengi na ushahidi wao ni mwingi juu ya haya, Nilipata kusikiliza hata 𝙏𝙝𝙚 𝙨𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙗𝙤𝙤𝙠 ya WCB ya Jamaal Mustafa (Profesa) iliyookuwa ikizungumza kuhusu Kilwa amabyo hii haikutaja 𝙣𝙞 𝙣𝙞𝙣𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙪𝙛𝙖𝙣𝙮𝙖 𝙢𝙟𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙠𝙚? Bali iliishia tu kutaja Utukufu waHistoria yake na Utukufu wa Wakazi wake wa Zama zile.

Hapa nataka kujua 𝙉𝙞 𝙣𝙞𝙣𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙠𝙞𝙟𝙪𝙖 𝙠𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝙢𝙟𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙖 𝙆𝙞𝙡𝙬𝙖? 𝙉𝙞 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙖𝙢𝙞𝙣𝙞 𝙪𝙡𝙞𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙈𝙩𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞𝙛𝙪 𝙫𝙞𝙡𝙚 𝙪𝙩𝙖𝙟𝙬𝙖𝙫𝙮𝙤? Kama ndiyo, 𝙉𝙞 𝙠𝙞𝙥𝙞 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙪𝙖𝙣𝙜𝙪𝙨𝙝𝙖?

𝙱𝚊𝚍𝚎𝚎'𝚞𝚣𝚊𝚊𝚖𝚊𝚗
View attachment 2464077
Mzee Mohamed Said pitia hapa, tueleze kidogo kuhusu Kilwa na anguko lake japo kihistoria ni mji muhimu.
 
Dsm hajawahi kuwa mji wa waarabu mji wa waarabu ulikua bagamoyo...mkoloni mwingereza ndio alihamishia bandari dsm mana dsm ilikua ni mji wa wavuvi wadogo wadogo
Mi mji wa waarabu, na historia ipo
Jengo la old boma, one of the oldest in the city centre lilijengwa na sultan

Si hivyo tu atiman house ile nyumba ya wamisionari wa white fathers ambayo ni moja ya majengo yalioasisi ukatoliki tanzania lilijengwa na waarabu tena sultan I mwenyewe wa zanzibar, lilikuwa jengo lake la kuishi familia na wake zake ndio wao kanisa wakanunua nyumba hiyo, iko pale posta

Unadhani wazungu wangeianzisha dar wangekubali mji uwe jina la lugha isiyo yao, lazima wangeupa mji jina la kizungu, ila waliacha kwa maana tayari mjinulisha kaliwa
 
Ubaguzi wa uarabu na uchotara sio uafrika!!!!Huyo mwandishi kaandika maoni yake!!!!Pia nikujulishe tu waarabu hawakuwahi kuwapenda wabantu na popote walipotawala wabantu walikua daraja la chini vizazi mpaka vizazi!!!!Hivyo wazee wetu hawakuwahi kua na upendo na waarabu wala kitu chochote kinachowahusu!!!Sababu hata hao waarabu hawakuwahi kuwapenda wazee wetu!!!Chuki imerithishwa kwa vizazi vyote vya waarabu na machotara wa kiarabu na wwbantu
Shida ni mtoa pointi ana mlengo wa udini, anajitia waarabu waarabu hana lolote
 
Kabla. Ya waarabu kuja Afrika, hatukuwa na umaarufu wowote, hata Jina la Afrika ni la kiarabu إفرق . Mji mashuhuri Dares salaam ni Jina la kiarabu aliloubatiza muarabu دار السلام, wazungu walitukira tushaendelwa kitambo kwa msaada wa waarabu, iliwabidi wawazishie waarabu ili kubadili mind zetu tuwaone wabaya, wachache waliodanganyika wajafuata uzungu na wengune wakagoma akina, Songea Mbano, Mkwawa, n.k wakapambana na Mjerumani. Vita ya Mqjimaji ilikuwa ni Jihaad ya waislaamu dhidi ya Uzungu.

Sasa na wewe niambie Waarabu waliinua miji mingi kuwa maarufu ila ilidhoofishwa baada ya wao kwenda kwasababu ilikuwa miji ya waislamu na watawala walikuwa wakrusto baafa ta uhuru. Je ni mji gani ulikuzwa na wazungu?
Waliokapigana vita vya majimaji walikuwa waislamu tupu?
 
Mikoa ya Lindi Mtwara ni kweli kuna namna flani hivi kama ilisahaulika kwa muda. Hili la reli ndo aliona humu kwa mara ya kwanza, it is my task kufuatilia na nikipata mrejesho nitauleta. Kwa sasa kuna potential kubwa san amikoa hii, bado ni eneo unaweza nunua ardhi kubwa kwa bei rahisi na kufanya project hata ya kilimo au ufugaji. Pia maeneo mengi kwa sasa yanafikika.

Pale Kilwa na Masoko na Kilwa kisiwani, with proper inventment inaweza kuwa eneo zuri la kitalii.
 
Nadhani reli haikujengwa...

The chief item in the development program was a plan to devote 3 million acres (1.2 million hectares) of land to the production of peanuts (the Groundnuts Scheme). The plan, which was to be financed by the British government, was to cost £25 million, and, in addition, a further £4.5 million would be required for the construction of a railway in southern Tanganyika. It failed because of the lack of adequate preliminary investigations and was subsequently carried out on a greatly reduced scale......
 
Nadhani reli haikujengwa...

The chief item in the development program was a plan to devote 3 million acres (1.2 million hectares) of land to the production of peanuts (the Groundnuts Scheme). The plan, which was to be financed by the British government, was to cost £25 million, and, in addition, a further £4.5 million would be required for the construction of a railway in southern Tanganyika. It failed because of the lack of adequate preliminary investigations and was subsequently carried out on a greatly reduced scale......
Acha wikipedia hizo hazitakupa taarifa reli ilikuwepo.fika mtwara utakuta daraja lake na vitabu vipo mpaka gavana twining alikuja kufungua.
 
Ni kweli reli MGR ilijengwa kusin kuanzia mtwara Hadi nachingwea 1952 na alizindua Havana jenerali wa Tanganyika enzi hizo reli hiyo ilingolewa miaka ya 1970 na tawala za wakati huo kutoka na kutokuwa na Tina na pia athari za Vita vya kusin mwa Afrika hivyo kukakoseka uzalishaji na mzigo hivyo reli ikakosa Tina na kuondolewa .Tuta la reli lipo Hadi leo.
 
Kuhusu reli nilikuwa kijiji flani hivi kinaitwa Majiwa ndani ndani huko, katika pitapita zangu nikaonyeshwa reli iko msituni. Na inaonyesha ilijengwa zamani sana
 
Nitajie mkoa mmoja tu uliokaliwa na waarabu ulioendelea! Hakuna!

Waarabu sijui walikua wanalaana gani kila walipokua wanaweka kituo cha makazi yao wakiondoka ndiyo bas!

Anzia bagamoyo kilwa kondoa na sehem nyingine zilizojaa uarabu hamna kitu!
Hiyo laana umeitoa wapi? Au ndio vijiwe vya kahawa mkuu!

Acha wivu aise, jiji la dar lina waarabu/waislamu wengi kuliko jiji/mkoa wowote Tanzania, je! na dar hapaendelei? Acha ubaguzi, acha roho za hivyo mkuu, hebu jitathmini upya kabla hujacomenti.
 
Tanga kuna maendeleo gan mji unajifia taratibu ule?
Umekufa Sababu Ya serikali ama Umekufa sababu ya waarabu?

Tanga ni Manispaa 1956, ilikuwa na viwanda kibao kuanzia Mbolea, Sabuni, vipodozi, vinywaji na mambo kedekede, taratibu vikaanza kutelekezwa, Barbara za Lami zikabaki mashimoshimo, bandari ikatelekezwa, na mji ukaachwa kama Ulivyo.

Yaani muharibu kila kitu kilichoanzishwa na Waarabu/Wahindi halafu musingizie eti mikoa Yao haina maendeleo.
 
Dsm hajawahi kuwa mji wa waarabu mji wa waarabu ulikua bagamoyo...mkoloni mwingereza ndio alihamishia bandari dsm mana dsm ilikua ni mji wa wavuvi wadogo wadogo
Dar es salaam ni neno la kiarabu Dar

In the 19th century, Mzizima (Swahili for "healthy town") was a coastal fishing village on the periphery of Indian Ocean trade routes.[4][5] In 1865 or 1866, Sultan Majid bin Said of Zanzibar began building a new city very close to Mzizima[5] and named it Dar es Salaam. The name is commonly translated from Arabic as "abode (home) of peace", from dar ("house"), and es salaam ("of peace")

We Angalia tu Majengo ya Zamani ya Dar wamiliki wake ni kina Nani? Wajerumani wameukuta Mji,
 
Back
Top Bottom