Kilwa: Kutoka mji bora hadi magofu yasiyo na faida

Kilwa: Kutoka mji bora hadi magofu yasiyo na faida

Miliki ya kilwawazungu

Wazungu walikuta waarabu ndio wameendelea sio wabantu!!!Wabantu kwa waarabu walikua vijakazi na watumwa!!!!Waarabu hawakuwahi kuwapenda wabantu mdogo wangu wanatutizama kama race(Rangi) ya jamii ya chini ya kutoa watumwa na vijakazi wa kuwazalishia machotara ili kuendeleza nasaba zao kwa manufaa yao!!!!Ndio maana hata wanaume wa kibantu kuoa mabibi wa kiarabu ilipigwa marufuku kwenye himaya zote za waarabu afrika!!!!Jitahidi usome historia ya wabantu mdogo wangu!!!!Weka udini pembeni tafuta ukweli kuhusu historia ya wabantu
Kwanini Sasa Waarabu walikubali kufa kuwapigania wa Africa? Ukumbuke baada ya wareno kuwatesa Sana wabantu ukanda wetu huu ni muarabu aliyemwaga damu yake kuwatetea wabantu, vita vimepiganwa pwani yote hii na Fort Jesus ni Ushahidi uliobakia.

Vitabu vyote nilivyosoma hadi vya wazungu vinaonesha Sultan hakuwa na lengo la kutawala ndio Maana alishirikiana na Tawala alizozikuta, wachaga, Buganda, Yao na makabila kibao walifanya biashara na Waarabu as Equal,

Kilwa na Himaya ya Zanzibar ilikuwa ni Himaya ya kibiashara, Politics zote walifanya local wenyewe hakuna mwarabu aliemforce local chief kufuata matakwa yao, ndio Maana Buganda ama wachaga hadi leo Hawana Culture ya kiarabu japo Wali interact.

Anway si Expect positivity toka kwako Maana 99% ya brain yako Inaendeshwa na chuki
 
Maendeleo huwa yanaletwa na elimu.

Huko kilwa mwarabu aliacha shule gani? Ama chuo gani cha elimu

Naomba mnitajie shule na chuo hata kimoja cha elimu dunia ambacho mwarabu alikijenga ?

Baada ya uhuru serikali ilitaifisha shule zote ziwe za uma.. nitajieni shule za serikali ambazo zilitaifishwa ambazo zilijengwa na waarab
Ukisoma Historia ya Aga Khan ni kwamba Mshauri wa Sultani wa Zanzibar alikua ni Ismailia walianza na Dispensary Ndogo baadae Sultani Ali, Aga Khan na Huyu mshkaji wakaiendeleza na zikaanza Shule za Aga Khan Zanzibar mpaka huku Dar, Shule Zote unazoziona pale Mjini Azania, Hospital ya Muhimbili, Tambaza etc zilikuwa zipo Chini ya East Africa Muslim welfare.

Kama una Muda soma Kitabu cha Mzee wetu Mohammed Said kuhusu East Africa Muslim Welfare.
 
Kwanini Sasa Waarabu walikubali kufa kuwapigania wa Africa? Ukumbuke baada ya wareno kuwatesa Sana wabantu ukanda wetu huu ni muarabu aliyemwaga damu yake kuwatetea wabantu, vita vimepiganwa pwani yote hii na Fort Jesus ni Ushahidi uliobakia.

Vitabu vyote nilivyosoma hadi vya wazungu vinaonesha Sultan hakuwa na lengo la kutawala ndio Maana alishirikiana na Tawala alizozikuta, wachaga, Buganda, Yao na makabila kibao walifanya biashara na Waarabu as Equal,

Kilwa na Himaya ya Zanzibar ilikuwa ni Himaya ya kibiashara, Politics zote walifanya local wenyewe hakuna mwarabu aliemforce local chief kufuata matakwa yao, ndio Maana Buganda ama wachaga hadi leo Hawana Culture ya kiarabu japo Wali interact.

Anway si Expect positivity toka kwako Maana 99% ya brain yako Inaendeshwa na chuki
The same to me sitegemei maoni chanya kuhusu wabantu sababu wewe una nasaba za waarabu.Sio mbaya kila mmoja akakaa na maoni yake na utashi wake.Upo sahii kila mmoja avutie kwenye nasaba yake ndugu yangu.Afu kutofautiana maoni,mitazamo,itikadi,rangi,asili,dini sio uadui au chuki,ndio dunia ilivyo na ni asili ya binadamu wote.Karibu kwenye mada nyingine jukwaani ndugu yangu.
 
The same to me sitegemei maoni chanya kuhusu wabantu sababu wewe una nasaba za waarabu.Sio mbaya kila mmoja akakaa na maoni yake na utashi wake.Upo sahii kila mmoja avutie kwenye nasaba yake ndugu yangu.Afu kutofautiana maoni,mitazamo,itikadi,rangi,asili,dini sio uadui au chuki,ndio dunia ilivyo na ni asili ya binadamu wote.Karibu kwenye mada nyingine jukwaani ndugu yangu.
Kuna hoja kibao kama kawaida yako umezikwepa, msomi uchwara
 
Umekufa Sababu Ya serikali ama Umekufa sababu ya waarabu?

Tanga ni Manispaa 1956, ilikuwa na viwanda kibao kuanzia Mbolea, Sabuni, vipodozi, vinywaji na mambo kedekede, taratibu vikaanza kutelekezwa, Barbara za Lami zikabaki mashimoshimo, bandari ikatelekezwa, na mji ukaachwa kama Ulivyo.

Yaani muharibu kila kitu kilichoanzishwa na Waarabu/Wahindi halafu musingizie eti mikoa Yao haina maendeleo.

Mtu mpaka anaandika uongo atakua na kheri kwa mwarabu kweli!! Watu wa aina hiyo ni dhahiri kabisa hawawapendi waarabu na wanaupiga vita uislamu.

Shezanempress Badilika mkuu, ili uzao wako usijekua na tabia za ajabu ajabu na chuki zisizokua na maana yoyote kama za wazazi/mababu

God bless waarabu
 
The same to me sitegemei maoni chanya kuhusu wabantu sababu wewe una nasaba za waarabu.Sio mbaya kila mmoja akakaa na maoni yake na utashi wake.Upo sahii kila mmoja avutie kwenye nasaba yake ndugu yangu.Afu kutofautiana maoni,mitazamo,itikadi,rangi,asili,dini sio uadui au chuki,ndio dunia ilivyo na ni asili ya binadamu wote.Karibu kwenye mada nyingine jukwaani ndugu yangu.

Hapa kila mtu na maoni yake muhimu ukweli usemwe yani haki haki, na sio longolongo na uzushi kisa huipendi race flani.


maoni,mitazamo,itikadi,rangi,asili,dini sio uadui au chuki,ndio dunia ilivyo na ni asili ya binadamu wote.Karibu kwenye mada nyingine jukwaani ndugu yangu.

Hii jamii ya watu weusi hususani afrika masharika naweza sema baadhi ama wengi wao, ni kwamba wanachuki dhidi ya waarabu, mtu anacomment upumbavu hata aibu halioni, janaume zima linawasema waarabu na kuwazushia uongo 🤣🤣 si ajabu mbele ya mkewe 🤣🤣 hii ni aibu sana.


Wewe na wenzio badilikeni, ili muheshimiwe pia na watu weupe acheni tabia ya kujiweka watu wa kuonewaonewa na kubaguliwa kila siku,


Kwa taarafa yako hakuna jamii watu wake wakarimu na wanaroho nzuri na imani kama waarabu japo sio wote lakini most of them wako poa.

Olenimala???
 
Dar es salaam ni neno la kiarabu Dar

In the 19th century, Mzizima (Swahili for "healthy town") was a coastal fishing village on the periphery of Indian Ocean trade routes.[4][5] In 1865 or 1866, Sultan Majid bin Said of Zanzibar began building a new city very close to Mzizima[5] and named it Dar es Salaam. The name is commonly translated from Arabic as "abode (home) of peace", from dar ("house"), and es salaam ("of peace")

We Angalia tu Majengo ya Zamani ya Dar wamiliki wake ni kina Nani? Wajerumani wameukuta Mji,

Huyu jamaa jiwe angavu habadiliki aise

jiwe angavu badilika aise, na jitahidi pia kuujua uisilamu upate kusalimika.
 
Screenshot_20230216-143726_Instagram.jpg

Afrika tabu tupu, wengi wao imani hamna.
 
Kuna hoja kibao kama kawaida yako umezikwepa, msomi uchwara
Ushaanza matusi na ndio hapo wasomi tunapopishana.Wewe jenga hoja ila ukipata hoja pinzani usianze lugha za kashifa kama"Msomi uchwara"kwa lugha kama hizo hakuna msomi yoyote utakaejadiliana nae sababu wasomi kama mimi tuna namna ya kujadiliana na sio kwa lugha kama hizo.
 
Hapa kila mtu na maoni yake muhimu ukweli usemwe yani haki haki, na sio longolongo na uzushi kisa huipendi race flani.




Hii jamii ya watu weusi hususani afrika masharika naweza sema baadhi ama wengi wao, ni kwamba wanachuki dhidi ya waarabu, mtu anacomment upumbavu hata aibu halioni, janaume zima linawasema waarabu na kuwazushia uongo 🤣🤣 si ajabu mbele ya mkewe 🤣🤣 hii ni aibu sana.


Wewe na wenzio badilikeni, ili muheshimiwe pia na watu weupe acheni tabia ya kujiweka watu wa kuonewaonewa na kubaguliwa kila siku,


Kwa taarafa yako hakuna jamii watu wake wakarimu na wanaroho nzuri na imani kama waarabu japo sio wote lakini most of them wako poa.

Olenimala???
Msomi Upo sahii kwa maoni yako na historia yako binafsi ila kwangu mimi ni tofauti.Sababu toka enzi za babu yetu mkubwa mtemi Isike na babu zangu waliofuatia kwenye koo zote za kichifu walizozaliana mpaka kufikia sisi hapa tuna historia tofauti na waarabu walowezi na wale ambao baadae walikua vibaraka wa wakoloni.
 
Kwanini Sasa Waarabu walikubali kufa kuwapigania wa Africa? Ukumbuke baada ya wareno kuwatesa Sana wabantu ukanda wetu huu ni muarabu aliyemwaga damu yake kuwatetea wabantu, vita vimepiganwa pwani yote hii na Fort Jesus ni Ushahidi uliobakia.

Vitabu vyote nilivyosoma hadi vya wazungu vinaonesha Sultan hakuwa na lengo la kutawala ndio Maana alishirikiana na Tawala alizozikuta, wachaga, Buganda, Yao na makabila kibao walifanya biashara na Waarabu as Equal,

Kilwa na Himaya ya Zanzibar ilikuwa ni Himaya ya kibiashara, Politics zote walifanya local wenyewe hakuna mwarabu aliemforce local chief kufuata matakwa yao, ndio Maana Buganda ama wachaga hadi leo Hawana Culture ya kiarabu japo Wali interact.

Anway si Expect positivity toka kwako Maana 99% ya brain yako Inaendeshwa na chuki

Hakuna mwarabu aliyepigana kutetea wabantu acha upotoshaji,mwarabu alipigana dhidi ya wareno kwa lengo la kutetea routes zake za biashara za magendo na watumwa,na kulinda bandari ya afrika mashariki ambayo ndio lango kuu la biashara zake hizo chafu. Kadanganye wajinga wenzio.
 
Msomi Upo sahii kwa maoni yako na historia yako binafsi ila kwangu mimi ni tofauti.Sababu toka enzi za babu yetu mkubwa mtemi Isike na babu zangu waliofuatia kwenye koo zote za kichifu walizozaliana mpaka kufikia sisi hapa tuna historia tofauti na waarabu walowezi na wale ambao baadae walikua vibaraka wa wakoloni.

Historia za kusadikika hizo kuwa na aibu ewe unaepotosha watu, kama vipi weka facts with evidence
 
Historia za kusadikika hizo kuwa na aibu ewe unaepotosha watu, kama vipi weka facts with evidence
Kama unataka kujua historia za machifu na kuziona.Basi karibu kwetu ujionee utajiri wa kikabila na kitamaduni wa vizazi vya machifu wa kibantu waliokua ukanda wote huu wa kati na magharibi mwa himaya za majirani zetu wakorofi na tuliopigana nao vita mara nyingi ambao ni Wahehe,Warugaruga,Wabena na Wasimbi,Wangoni,Waha,Wahangaza mpaka ziwani Mweru(Victoria).Nitumie address yako nikukaribishe,wabantu tuna desturi na miiko sio vyote vinaweza kuwekwa hadharani na tumekula viapo vya damu kulinda miiko.Lakini ukitaka kuona historia ya nyuma utaonyeshwa na wazee wa mila kwa kuzingatia mila na desturi husika na uwe na utayari wa akili na mwili na roho.
 
Hakuna mwarabu aliyepigana kutetea wabantu acha upotoshaji,mwarabu alipigana dhidi ya wareno kwa lengo la kutetea routes zake za biashara za magendo na watumwa,na kulinda bandari ya afrika mashariki ambayo ndio lango kuu la biashara zake hizo chafu. Kadanganye wajinga wenzio.
Sasa wewe ndio mkweli,mimi natokea koo za machifu waliokua wanaoleana wao kwa wao kuanzia tabora mpaka usukumani mpaka uhayani mpaka kwa wahangaza na wanyankole hivyo babu zetu wametueleza mengi.Babu yetu mkubwa Mtemi Isike kapigana sana na waarabu na kufunga njia zao za kupitisha watumwa na pembe za ndovu na aliwafurumsha wengi tabora mpaka wakoloni wa kidachi na bargash mlowezi wa zanzbar wakaomba suluhu.Hakuna mwarabu aliyempenda mbantu zaidi ya kumtumia kama askari,mpagazi,mfanyakazi wa nyumbani,kijakazi wa kumzalia watoto ili akuze damu yake na mtumwa wa kuuzwa.Hao wanaowatetea waarabu ni machotara wa kiarabu na wabantu wasiojua historia yao.
 
We mwarabu nn?!

Kila kukicha kuwasema waarabu, na ndiomaana umaskini hauishi, yani kuna viumbe wanaishi kichukichuki na uhasama kwa jambo ambalo halikuwahi kufanywa na watu wema wenye kujitambua. Tena yatupasa kuwashukuru waarabu na uislamu kwa ujumla kutuletea ustaarabu na wengine wakatoka katika ujinga na kuingia katika dini yakweli.

Mungu awabariki sana hawa ndugu zetu katika imani,,aamiin
Kama unataka kujua historia za machifu na kuziona.Basi karibu kwetu ujionee utajiri wa kikabila na kitamaduni wa vizazi vya machifu wa kibantu waliokua ukanda wote huu wa kati na magharibi mwa himaya za majirani zetu wakorofi na tuliopigana nao vita mara nyingi ambao ni Wahehe,Warugaruga,Wabena na Wasimbi,Wangoni,Waha,Wahangaza mpaka ziwani Mweru(Victoria).Nitumie address yako nikukaribishe,wabantu tuna desturi na miiko sio vyote vinaweza kuwekwa hadharani na tumekula viapo vya damu kulinda miiko.Lakini ukitaka kuona historia ya nyuma utaonyeshwa na wazee wa mila kwa kuzingatia mila na desturi husika na uwe na utayari wa akili na mwili na roho.
Ahsante, huo muda sina,,nipo bize na kuwa karibu na Mwenyezi Mungu, na uislamu ndio dini yangu,,,na Mwenyezi Mungu ametuusia tupendane na sio kuchukiana. Hayo yote tuliyoandikiwa kitabuni ya kuwachafua waarabu ni stori za kusadikika kwa maana hakuna ukweli wowote, hata ushahidi wa picha zenyewe hakuna.

Allah akuongoze na uijue haqqi
 
Hakuna mwarabu aliyepigana kutetea wabantu acha upotoshaji,mwarabu alipigana dhidi ya wareno kwa lengo la kutetea routes zake za biashara za magendo na watumwa,na kulinda bandari ya afrika mashariki ambayo ndio lango kuu la biashara zake hizo chafu. Kadanganye wajinga wenzio.
Hii historia na source zake

When Portuguese explorer Vasco da Gama rounded the Cape and sailed into the Indian Ocean his arrival spelled the end of a period of peaceful trade and prosperous development that had characterized East Africa hitherto; he was the harbinger of a time of destruction and dislocation that was to weaken Swahili culture and make it ripe for domination by outsiders (Columbia Encyclopaedia 2004). In 1498 Vasco da Gama reached the Swahili coast where the Christian intruder's trading activities received a hostile reception from Muslim merchants. On his second voyage, in 1502, he was much reinforced and repaid previous opposition with great brutality. He forced tribute from Kilwa and harassed Muslim trading, plundering and destroying as he progressed up the coast. Francisco d'Almeida, who followed on Da Gama, captured and sacked Kilwa in 1505 and Sofala was seized and fortified. By 1506 the East African littoral was largely under Portugal's control (Columbia Encyclopaedia 2004, Jones 1998).

The Swahilis, for their part, were not equipped to deal with the aggressor. In the years of peace that proceeded Portugal's intrusion fortifications had been allowed to decay and military forces were reduced in numbers and in capability. With their relatively large, fast and well armed ships the Portuguese could besiege and bombard the coastal settlements into submission without any resistance. The small principalities were unable to coordinate a general resistance, nor were the wide variety of traders able to synchronise a defence of their trade. The coordinated attempt by Egyptian and Diu rulers to expel the Portuguese in 1509, and the Turkish efforts at stoking rebellion in the 1580s, were both smashed by the superior Portuguese artillery (Columbia Encyclopaedia 2004, Jones 1998).

Unlike their predecessors, the Portuguese did not come to trade so much as to plunder and extract. In line with the mercantilist thinking of their time, the goal was not to engage in building up mutual relations of exchange of benefit to both parties, but to "increase treasure" at the expense of the other; this they pursued with brutality and vigour. The effect of these activities was to disrupt the established trade routes that formed the basis for local prosperity; economic activity declined, settlement populations fell and people migrated to escape poverty and Portuguese rapacity. They did, however, introduce new South American crops, corn, manioc, cashew, tomato and tobacco, which were to be of enduring value (Columbia Encyclopaedia 2004).

In the mid and late 1580s the expanding Turkish Empire sent naval forces under Ali Bey to Mombasa to organise a Muslim resistance to Portuguese power (Jones 1998). The rebellion was suppressed in 1590 by a Portuguese fleet from Goa, in alliance with the Zimbas, a marauding band from the Zambezi area. The Zimbas had earlier, in 1589, sacked Kilwa and ravaged its unfortunate inhabitants. From then on the central African position in the Indian Ocean trade shifted from Kilwa to Zanzibar (Byrne undated). The Portuguese for their part began a massive fortification in Mombasa in 1593, to act as a bulwark against any further Turkish intrusions. Fort Jesus, as it was known, was completed in the 1630s (Jones 1998).

Portugal's involvement with the Thirty Years War (1618-48) distracted her from East Africa and consumed her resources. In this weakened condition a resurgent Oman was able expel the Portuguese from Muscat in 1650 under the leadership of Sultan bin Saif. Although Portuguese were able to retain dominance over the East African littoral for half a century, his son Saif bin Sultan laid the basis for the final expulsion of the Portuguese by building ties with the various Swahili communities (History World undated).


Kwa wasiojua kiingereza kiswahili kwa ufupi
-Eneo la Africa Mashariki kulikua na Amani kabla ya Wareno kuja
-Wareno hawakuwa wafanyabiashara walipokuja walikuwa wanavamia na kuiba mali za Wafanyabiashara hawakuwa wakinunua.
-Uturuki kusaidiana na Waisilamu wa huku walipigana na Mreno kumtoa wakapigwa
-Oman alifanikiwa Kumpiga Mreno Nchini kwake.
-Muunganiko wa Mu oman na Makabila ya kiswahili wakafanikiwa kumpiga Mreno na Kumtoa.

Hivyo Mu Oman hakupigana na Mreno peke yake alishirikiana na watu wa pwani, na watu wa Pwani walikuwa wanapigana na wareno miaka kibao sababu hao jawaa walikuwa wanafanya tu Plundering hawakuwa wakinunua waliua na kuiba tu.

Mimi nimeleta Ushahidi na Vitabu ambavyo historia imetoka huyo Columbus kila mtu anamjua na kitabu chake kinajulikana, Zamu yako tetea na wewe ulichokiongea kwa ushahidi
 
Nitajie mkoa mmoja tu uliokaliwa na waarabu ulioendelea! Hakuna!

Waarabu sijui walikua wanalaana gani kila walipokua wanaweka kituo cha makazi yao wakiondoka ndiyo bas!

Anzia bagamoyo kilwa kondoa na sehem nyingine zilizojaa uarabu hamna kitu!
Waarabu wametuachia majumba mengi ya historia,Kaole Bagamoyo yote,Majumba ya historia ya Tongoni Tanga,Zanzibar majumba ya historia,Dar es Salaam maendeleo munayoyaona ni waarabu,hata jina la mji ni la kiarabu ,Mombasa Kenya,kuna maendeleo makubwa.Kwa majumba ya historia,ambapo tungetangaza utalii,wakuingiza pesa za kigeni.Sasa sijui wataka maendeleo gani
 
Kila kukicha kuwasema waarabu, na ndiomaana umaskini hauishi, yani kuna viumbe wanaishi kichukichuki na uhasama kwa jambo ambalo halikuwahi kufanywa na watu wema wenye kujitambua. Tena yatupasa kuwashukuru waarabu na uislamu kwa ujumla kutuletea ustaarabu na wengine wakatoka katika ujinga na kuingia katika dini yakweli.

Mungu awabariki sana hawa ndugu zetu katika imani,,aamiin

Ahsante, huo muda sina,,nipo bize na kuwa karibu na Mwenyezi Mungu, na uislamu ndio dini yangu,,,na Mwenyezi Mungu ametuusia tupendane na sio kuchukiana. Hayo yote tuliyoandikiwa kitabuni ya kuwachafua waarabu ni stori za kusadikika kwa maana hakuna ukweli wowote, hata ushahidi wa picha zenyewe hakuna.

Allah akuongoze na uijue haqqi
Umemaliza mjadala.Wamekuelewa,watajifanya hawajaelewa.
 
Back
Top Bottom