Badee-u-zaaman
Member
- Dec 31, 2022
- 44
- 44
Habari zenu wanaJF, natumai hamjambo na kila mtu yupo zake vema katika kupambania kombe.
Leo kama mada inavyosema nilitaka nipate zaidi ya nikijuacho ikiwezekana nifute nilichonacho au niongezee kwacho kuhusiana na ni nini kiliufanya mji wa Kilwa kutoka katika Heshima yake na kurudi katika Dharau yake na kutokutamanika haswaa.
Historia inaonyesha wazi ukifika Kilwa kisiwani ukaangalia masalia ya Mijengo iliyokuwepo zama zile, utakubariana na ๐๐๐ฃ ๐ฝ๐๐ฉ๐ช๐ฉ๐ kuwa Kilwa lilikuwa Jiji.
Kuna Muda waislaamu wa Afrika walipaita Kilwa ๐ ๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ฅ๐๐๐ kutokana na Wingi na ukubwa wa Misikiti iliyokuwa imejengwa ikajengeka ndani ya Kilwa Kisiwani, ambayo mpaka leo inastaajabisha Foundation yake.
Hapo alipofika Ibn Batuta akasema, "๐๐๐ฅ๐ฅ๐๐ก๐ข (๐ง๐๐๐ฉ๐ ๐ฌ๐ข๐ฃ๐๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ฆ๐ฃ๐ข ๐ฆ๐ณ๐ฎ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐ฃ๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐ข๐ฅ๐ฐ๐.... ๐๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐ฆ๐ฃ๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฌ๐ญ๐๐๐ซ๐๐๐ฎ ๐ง๐ ๐ก๐๐ฌ๐ก๐ข๐ฆ๐ ๐ฒ๐๐ค๐ ...."
Hiyo ni miaka ya 1880's leo hii Mimi hapa, wa miaka ya 2000's huwezi kunishawishi kukaa katika Kisiwa kile, si Mimi tu hata Ibn Batuta mwenyewe akifufuka hawezi kupasifia kwa namna hii tena.
Nilijaribu kufuatilia ni nini kilikuwa mpaka pakarudi chini kabisaa? Sikyona Labda kuna vita iliyotokea watu wakaukimbia mji wake, sikuona ugonjwa ulotokea, sikuona siasa chafu za maudhi kama za leo labda zikawakera wananchi wakauhama, badala yake, naliona ๐๐๐๐ฃ๐ ๐ฌ๐ ๐ซ๐๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐ walokuwepo zama zile, ubaguzi wa Uafrika na Uarabu (๐ผ๐๐ง๐๐๐๐). Hivi ndivyo vinatajwa kwa wingi kiwa viliurudisha na kuuvurugavuruga mji huu ili miji mingine iweze kuanzishwa na kukua, miji gani? Miji waloitaka wao, miji waloipenda wao.
Kabla sijakubariana na wanahistoria hawa, ikabidi nitafute ni nini ushahidi wa hayo, nikajikuta nakutana na kauli ya "๐บ๐ ๐๐ ๐๐ฒ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐, ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ด๐๐๐๐ ๐๐ ๐ฒ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐.... ๐ด๐๐๐๐ ๐ด๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐ญ๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐น๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ต๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐ ๐ฉ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐น๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ.๐จ, ๐๐๐๐๐๐ ๐น๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ na ๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐ฏ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐ฉ๐๐๐๐๐ ๐ ๐ด๐๐๐๐๐, ๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐....." Huyu ni Hassan Ilunga Kapungu.
Wanahistoria ni wengi na ushahidi wao ni mwingi juu ya haya, Nilipata kusikiliza hata ๐๐๐ ๐จ๐ฉ๐ค๐ง๐ฎ ๐๐ค๐ค๐ ya WCB ya Jamaal Mustafa (Profesa) iliyookuwa ikizungumza kuhusu Kilwa amabyo hii haikutaja ๐ฃ๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐ ๐ ๐๐ก๐๐ช๐๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ข๐๐ ๐๐ช๐ช ๐ช๐๐ฃ๐๐ช๐ ๐? Bali iliishia tu kutaja Utukufu waHistoria yake na Utukufu wa Wakazi wake wa Zama zile.
Hapa nataka kujua ๐๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐ ๐ช๐ฃ๐๐ ๐๐๐ช๐ ๐ ๐ช๐๐ช๐จ๐ช ๐ข๐๐ ๐๐ช๐ช ๐ฌ๐ ๐๐๐ก๐ฌ๐? ๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐ก๐ ๐ช๐ฃ๐๐๐ข๐๐ฃ๐ ๐ช๐ก๐๐ ๐ช๐ฌ๐ ๐๐ฉ๐๐ ๐๐ฉ๐๐๐ช ๐ซ๐๐ก๐ ๐ช๐ฉ๐๐๐ฌ๐๐ซ๐ฎ๐ค? Kama ndiyo, ๐๐ ๐ ๐๐ฅ๐ ๐ ๐๐ก๐๐ช๐๐ฃ๐๐ช๐จ๐๐?
๐ฑ๐๐๐๐'๐๐ฃ๐๐๐๐๐
Leo kama mada inavyosema nilitaka nipate zaidi ya nikijuacho ikiwezekana nifute nilichonacho au niongezee kwacho kuhusiana na ni nini kiliufanya mji wa Kilwa kutoka katika Heshima yake na kurudi katika Dharau yake na kutokutamanika haswaa.
Historia inaonyesha wazi ukifika Kilwa kisiwani ukaangalia masalia ya Mijengo iliyokuwepo zama zile, utakubariana na ๐๐๐ฃ ๐ฝ๐๐ฉ๐ช๐ฉ๐ kuwa Kilwa lilikuwa Jiji.
Kuna Muda waislaamu wa Afrika walipaita Kilwa ๐ ๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ฅ๐๐๐ kutokana na Wingi na ukubwa wa Misikiti iliyokuwa imejengwa ikajengeka ndani ya Kilwa Kisiwani, ambayo mpaka leo inastaajabisha Foundation yake.
Hapo alipofika Ibn Batuta akasema, "๐๐๐ฅ๐ฅ๐๐ก๐ข (๐ง๐๐๐ฉ๐ ๐ฌ๐ข๐ฃ๐๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ฆ๐ฃ๐ข ๐ฆ๐ณ๐ฎ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐ฃ๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐ข๐ฅ๐ฐ๐.... ๐๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐ฆ๐ฃ๐ข ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฌ๐ญ๐๐๐ซ๐๐๐ฎ ๐ง๐ ๐ก๐๐ฌ๐ก๐ข๐ฆ๐ ๐ฒ๐๐ค๐ ...."
Hiyo ni miaka ya 1880's leo hii Mimi hapa, wa miaka ya 2000's huwezi kunishawishi kukaa katika Kisiwa kile, si Mimi tu hata Ibn Batuta mwenyewe akifufuka hawezi kupasifia kwa namna hii tena.
Nilijaribu kufuatilia ni nini kilikuwa mpaka pakarudi chini kabisaa? Sikyona Labda kuna vita iliyotokea watu wakaukimbia mji wake, sikuona ugonjwa ulotokea, sikuona siasa chafu za maudhi kama za leo labda zikawakera wananchi wakauhama, badala yake, naliona ๐๐๐๐ฃ๐ ๐ฌ๐ ๐ซ๐๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐ walokuwepo zama zile, ubaguzi wa Uafrika na Uarabu (๐ผ๐๐ง๐๐๐๐). Hivi ndivyo vinatajwa kwa wingi kiwa viliurudisha na kuuvurugavuruga mji huu ili miji mingine iweze kuanzishwa na kukua, miji gani? Miji waloitaka wao, miji waloipenda wao.
Kabla sijakubariana na wanahistoria hawa, ikabidi nitafute ni nini ushahidi wa hayo, nikajikuta nakutana na kauli ya "๐บ๐ ๐๐ ๐๐ฒ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐, ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ด๐๐๐๐ ๐๐ ๐ฒ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐.... ๐ด๐๐๐๐ ๐ด๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐ญ๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐น๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ต๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐ ๐ฉ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐น๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ.๐จ, ๐๐๐๐๐๐ ๐น๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ na ๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐ฏ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐ฉ๐๐๐๐๐ ๐ ๐ด๐๐๐๐๐, ๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐....." Huyu ni Hassan Ilunga Kapungu.
Wanahistoria ni wengi na ushahidi wao ni mwingi juu ya haya, Nilipata kusikiliza hata ๐๐๐ ๐จ๐ฉ๐ค๐ง๐ฎ ๐๐ค๐ค๐ ya WCB ya Jamaal Mustafa (Profesa) iliyookuwa ikizungumza kuhusu Kilwa amabyo hii haikutaja ๐ฃ๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐ ๐ ๐๐ก๐๐ช๐๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ข๐๐ ๐๐ช๐ช ๐ช๐๐ฃ๐๐ช๐ ๐? Bali iliishia tu kutaja Utukufu waHistoria yake na Utukufu wa Wakazi wake wa Zama zile.
Hapa nataka kujua ๐๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐ ๐ช๐ฃ๐๐ ๐๐๐ช๐ ๐ ๐ช๐๐ช๐จ๐ช ๐ข๐๐ ๐๐ช๐ช ๐ฌ๐ ๐๐๐ก๐ฌ๐? ๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐ก๐ ๐ช๐ฃ๐๐๐ข๐๐ฃ๐ ๐ช๐ก๐๐ ๐ช๐ฌ๐ ๐๐ฉ๐๐ ๐๐ฉ๐๐๐ช ๐ซ๐๐ก๐ ๐ช๐ฉ๐๐๐ฌ๐๐ซ๐ฎ๐ค? Kama ndiyo, ๐๐ ๐ ๐๐ฅ๐ ๐ ๐๐ก๐๐ช๐๐ฃ๐๐ช๐จ๐๐?
๐ฑ๐๐๐๐'๐๐ฃ๐๐๐๐๐