Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Joined
May 4, 2020
Posts
32
Reaction score
37
Mahakama ya Wilaya ya Kilwa masoko mkoani Lindi imemuhukumu Muharami Ngayoma maarufu Kibwege (30) kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu watu kumwingilia kinyume na maumbile.

Hukumu hiyo ya kesi namba 27 ya mwaka 2023 imetolewa Aprili 17,2023 na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Carolini Mtui ikiwa ni baada ya kumkuta na hatia juu ya kosa hilo ambalo lipo kinyume na kifungu namba 154 kifungu kidogo cha kwanza, sheria ya kanuni ya adhabu sura namba 16.

Mshitakiwa amekiri kosa hilo hivyo amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa lengo la kuifanya jamii kuachana na vitendo ambavyo vinakinzana na sheria za nchi.
 
wee.jpg
 
Mahakama ya Wilaya ya Kilwa masoko mkoani Lindi imemuhukumu Muharami Ngayoma maarufu Kibwege (30) kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu watu kumwingilia kinyume na maumbile.

Hukumu hiyo ya kesi namba 27 ya mwaka 2023 imetolewa Aprili 17,2023 na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Carolini Mtui ikiwa ni baada ya kumkuta na hatia juu ya kosa hilo ambalo lipo kinyume na kifungu namba 154 kifungu kidogo cha kwanza, sheria ya kanuni ya adhabu sura namba 16.

Mshitakiwa amekiri kosa hilo hivyo amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa lengo la kuifanya jamii kuachana na vitendo ambavyo vinakinzana na sheria za nchi.
Kumfunga mwathiriwa bila watuhumiwa ni sawa na kazi bure. Yaani wakuhukumiwa ni waliomtendea hicho kitendo. Huyo aliyetendewa anapaswa kusaidiwa ili awe sawa kisaikolojia na kimaumbile.

Mabasha ndio hasa watuhumiwa. Wanatumia madhaifu ya wanaume wenzao kutenda ufirauni wao. Just imagine limwanaume lizima linasimamisha uume wake na kuingiza sehemu ya kupitisha mavi ya mwanaume mwenzie, halafu anaachwa huru! Ili iweje? Hao ni kuwakata kabisa hivyo viungo vyao. wanawake wapo weeengi bado unamtamani mwanaume mwenzio?
 
Mahakama ya Wilaya ya Kilwa masoko mkoani Lindi imemuhukumu Muharami Ngayoma maarufu Kibwege (30) kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu watu kumwingilia kinyume na maumbile.

Hukumu hiyo ya kesi namba 27 ya mwaka 2023 imetolewa Aprili 17,2023 na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Carolini Mtui ikiwa ni baada ya kumkuta na hatia juu ya kosa hilo ambalo lipo kinyume na kifungu namba 154 kifungu kidogo cha kwanza, sheria ya kanuni ya adhabu sura namba 16.

Mshitakiwa amekiri kosa hilo hivyo amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa lengo la kuifanya jamii kuachana na vitendo ambavyo vinakinzana na sheria za nchi.
Mboga inapelekwa kwa walaji... uko wanamla bila mafuta
 
Ameingiliwa na Nani?
Ameingiliwa lini?
Ameingiliwa wakiwa wapi? Shahidi Ni Nani na Nani?
Hizi mahakama za mwanzo zinakiuka Sheria.
Au labda Kibwege amechoka kuishi mtaani ?
Hata yule wa Mbeya, mhuni aliyemchakachua hakuletwa mahakamani.
 
Hapa kuna issues tatu:
1. Waliokuwa wanamwingilia nao wanatakiwa kupata adhabu.
2. Wanawake wanaokubali kuingiliwa kinyume nao wapate adhabu
3. Wanaume wanaowaingilia wanawake kinyume nao adhabu.
Mmhh hapa mbona watabaki wachache uraiani. Kuna baadhi ya wafanyakazi tutawakosa hapa mfano nchi itabaki bila Wanajeshi , Polisi , madreva bodaboda. Yaani robotatu ya wananchi watakuwa lupango wakitumikia hiyo 30
 
Back
Top Bottom