Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Hawa akina delicious, sijui aggrey nao wanachukuliwa hatua gani maana wanatamba tu huku mitaani.
Kuna mkakati wa kuwasababisha wakiri kwa DPP afu wanashushiwa Rungu la miaka 30
 
#HABARI Mahakama ya wilaya ya Kilwa imemhukumu Muharami Hassan Nayonga, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumkuta na hatia ya kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na watu mbalimbali.

Muharami ambaye ni mlinzi wa SUMA JKT na mkazi wa Kata ya Masoko, alikamatwa Aprili 13, 2023, baada ya kumshawishi kwa kutumia simu, kijana anayefahamika kwa jina la Zalafi Selemani ili aweze kumuingilia kinyume na maumbile.

Baada ya kukamatwa, mtuhumiwa alichunguzwa na wataalamu wa Afya ambao walibaini kuwa kijana huyo hushiriki ngono kinyume na maumbile.

#EastAfricaTV
FB_IMG_1681887129756.jpg
 
Kaanza Polisi ,sasa hivi tena Suma kuna kitu hakiko sawa mahali
 
HABARI Mahakama ya wilaya ya Kilwa imemhukumu Muharami Hassan Nayonga, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumkuta na hatia ya kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na watu mbalimbali.

Muharami ambaye ni mlinzi wa SUMA JKT mkazi wa Kata ya Masoko, alikamatwa Aprili 13, 2023, baada ya kumshawishi kwa kutumia simu, kijana Zalafi Selemani ili aweze kumuingilia, na baada ya uchunguzi wa madaktari ulibaini kwamba hushiriki ngono kinyume na maumbile.

NB: kila siku humu tunasema ushoga hauna dini haya wafia dini mja wenu huyu hapa

Chanzo EastAfricaTV
 
Mahakama ya wilaya ya Kilwa mkoani Pwani imemhukumu askari wa JKT kitendo cha uzalishaji mali SUMA JKT muharam hasani Nandoya kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.

Mtuhumiwa aliruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na watu mbalimbali wilayani humo, mwendesha mashtaka aliimbia mahakama kuwa Muharam alimshawishi kijana wa miaka 19 kwa simu kuwa aende akamwingilie ndipo walipoweka mtego na kumkamata.

Uchunguzi wa madaktari umebaini muharam hasani Nandoya kuwa na tundu kubwa katika eneo lake la haja la kutolea haja kubwa

USSR
FB_IMG_1681887699458.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumfunga mwathiriwa bila watuhumiwa ni sawa na kazi bure. Yaani wakuhukumiwa ni waliomtendea hicho kitendo. Huyo aliyetendewa anapaswa kusaidiwa ili awe sawa kisaikolojia na kimaumbile.

Mabasha ndio hasa watuhumiwa. Wanatumia madhaifu ya wanaume wenzao kutenda ufirauni wao. Just imagine limwanaume lizima linasimamisha uume wake na kuingiza sehemu ya kupitisha mavi ya mwanaume mwenzie, halafu anaachwa huru! Ili iweje? Hao ni kuwakata kabisa hivyo viungo vyao. wanawake wapo weeengi bado unamtamani mwanaume mwenzio?
Sijui umesoma vema maelezo. Wamesema anashitakiwa kw kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile, "Kuruhusu" it means yeye ndie anataka huo mchezo hajarubuniwa.
 
Hapa kuna issues tatu:
1. Waliokuwa wanamwingilia nao wanatakiwa kupata adhabu.
2. Wanawake wanaokubali kuingiliwa kinyume nao wapate adhabu
3. Wanaume wanaowaingilia wanawake kinyume nao adhabu.
Kabisaaa yaan.
 
Kumfunga mwathiriwa bila watuhumiwa ni sawa na kazi bure. Yaani wakuhukumiwa ni waliomtendea hicho kitendo. Huyo aliyetendewa anapaswa kusaidiwa ili awe sawa kisaikolojia na kimaumbile.

Mabasha ndio hasa watuhumiwa. Wanatumia madhaifu ya wanaume wenzao kutenda ufirauni wao. Just imagine limwanaume lizima linasimamisha uume wake na kuingiza sehemu ya kupitisha mavi ya mwanaume mwenzie, halafu anaachwa huru! Ili iweje? Hao ni kuwakata kabisa hivyo viungo vyao. wanawake wapo weeengi bado unamtamani mwanaume mwenzio?
Mabasha wanaachwa huru ili wawazalishe wengine wapyaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ameingiliwa na Nani?
Ameingiliwa lini?
Ameingiliwa wakiwa wapi? Shahidi Ni Nani na Nani?
Hizi mahakama za mwanzo zinakiuka Sheria.
Au labda Kibwege amechoka kuishi mtaani ?
Hata yule wa Mbeya, mhuni aliyemchakachua hakuletwa mahakamani.
Na aliye muingilia yuko wapiiii???
Mie nashangaa sana mabasha wanaachwaa.
 
Mahakama ya Wilaya ya Kilwa masoko mkoani Lindi imemuhukumu Muharami Ngayoma maarufu Kibwege (30) kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu watu kumwingilia kinyume na maumbile.

Hukumu hiyo ya kesi namba 27 ya mwaka 2023 imetolewa Aprili 17,2023 na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Carolini Mtui ikiwa ni baada ya kumkuta na hatia juu ya kosa hilo ambalo lipo kinyume na kifungu namba 154 kifungu kidogo cha kwanza, sheria ya kanuni ya adhabu sura namba 16.

Mshitakiwa amekiri kosa hilo hivyo amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa lengo la kuifanya jamii kuachana na vitendo ambavyo vinakinzana na sheria za nchi.

Safi sana ,bado lokole,aggrey,noel ,rio paul,remtullah etc nao wapigwe mvua 30 ,wanaharibu jamii kwa ufirauni wao.
 
Back
Top Bottom