Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Kuna mkakati wa kuwasababisha wakiri kwa DPP afu wanashushiwa Rungu la miaka 30
Yaan ni mkakati wa kuwasababishia? Na si kutumia procedures za sheria kwa welediii??

Kheeeh kumbe wanalazimisha wakubalii kukiri??
Makubwaaa haya tenaaa.
 
Yaan ni mkakati wa kuwasababishia? Na si kutumia procedures za sheria kwa welediii??

Kheeeh kumbe wanalazimisha wakubalii kukiri??
Makubwaaa haya tenaaa.
Bado wewe
 
Hakuna uthibitisho kuwa fulani mfir,aji ila anayefirw,a uthibitisho upo
Sasa mwenye uthibitisho, atakuaje na uthibitisho bila huyo mthibitishaji?

Km kuna muingiliwaji bas na muingiliaji yupoo. By the way ni upepoo tyuuh utapitaaa, lazima kafara wawepooo.

Wangekua serious kweli, wangeanza na mabashaa.
 
Sasa si wataadhibiwa wananchi wote kasoro watoto
Husikii hata watoto wanafirana sana siku hizi, huko boarding ndo hapafai kabisa. Dunia imeisha tu, nyakati za mwisho hizi, ngoja ww3 ije wapige nyuklia zao tumalize phase
 
Sasa mwenye uthibitisho, atakuaje na uthibitisho bila huyo mthibitishaji?

Km kuna muingiliwaji bas na muingiliaji yupoo. By the way ni upepoo tyuuh utapitaaa, lazima kafara wawepooo.

Wangekua serious kweli, wangeanza na mabashaa.
Utathibitishaje kuwa huyu anaingilia?

Ila anayeingilia unajua tu kwa kumuinamisha na kuingiza kidole
 
Hakuna uthibitisho kuwa fulani mfir,aji ila anayefirw,a uthibitisho upo
Ndo hivo, sababu nasikia hata ushahidi wa video siku hizi haukubaliki, nilidaka mwizi kwa cctv kuipeleka footage polisi wakanambia nimalizane nae tu kitaalam ila hio footage haitonisaidia.
 
Sasa mwenye uthibitisho, atakuaje na uthibitisho bila huyo mthibitishaji?

Km kuna muingiliwaji bas na muingiliaji yupoo. By the way ni upepoo tyuuh utapitaaa, lazima kafara wawepooo.

Wangekua serious kweli, wangeanza na mabashaa.
Ulishawahi kuwa na kesi mahakamani? Probably no ndo maana unaandika hivo
 
Ndo hivo, sababu nasikia hata ushahidi wa video siku hizi haukubaliki, nilidaka mwizi kwa cctv kuipeleka footage polisi wakanambia nimalizane nae tu kitaalam ila hio footage haitonisaidia.
Mahakamani zinatumika vizuri sana CCTV, Kamera za kawaida etc
 
Utathibitishaje kuwa huyu anaingilia?

Ila anayeingilia unajua tu kwa kumuinamisha na kuingiza kidole
Kwahiyo vidole viwili vikipita bas anaingiliwa?? Swali anaingiliwa na nn? Je km yeye huwa anajiingiza vidolee vyakee??

Unajua kwan case ya yule Afande inarushwaa? Ndo maana hapo juu ulisema kuwa n mkakati wa kuwalazimisha kukiri na sio kufuata taratibu za sheria.

Kwa kukusaidia nilishawahi hojiana na mwanasheria mwenye master's yake, tulibishanaa sanaa, mwisho alikubali na alisema case ya ushoga wanao fungwa wengi ni wale wasiojua hata vifungu vya kanuni na sheria juu ya jambo hilo. Ila ikikutana na mwenye uelewa hafungwi kamwee.

Case zinaendeshwa km kikao cha familia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wawaonee hawa hawa wa mitaani waliokimbia shule, wawakute wasomi ndo watafurahishwaa na kujuzwa case inaendeshwa vipi.

Hao kina aggrey, Noel, Rio, hawakamatwi na wala hawafungwii.
 
Kwahiyo vidole viwili vikipita bas anaingiliwa?? Swali anaingiliwa na nn? Je km yeye huwa anajiingiza vidolee vyakee??

Unajua kwan case ya yule Afande inarushwaa? Ndo maana hapo juu ulisema kuwa n mkakati wa kuwalazimisha kukiri na sio kufuata taratibu za sheria.

Kwa kukusaidia nilishawahi hojiana na mwanasheria mwenye master's yake, tulibishanaa sanaa, mwisho alikubali na alisema case ya ushoga wanao fungwa wengi ni wale wasiojua hata vifungu vya kanuni na sheria juu ya jambo hilo. Ila ikikutana na mwenye uelewa hafungwi kamwee.

Case zinaendeshwa km kikao cha familia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wawaonee hawa hawa wa mitaani waliokimbia shule, wawakute wasomi ndo watafurahishwaa na kujuzwa case inaendeshwa vipi.

Hao kina aggrey, Noel, Rio, hawakamatwi na wala hawafungwii.
Hayo ni maneno yako, ila mtu akishawekwa mtu kati anakiri mwenyewe na lengo la sasa ni mtu akiri mwenyewe ili afungwe bila kukata rufaa au kuomba review ya uendeshaji kesi.
 
Ulishawahi kuwa na kesi mahakamani? Probably no ndo maana unaandika hivo
Inategemea ni case gani, wala usitake kutishaa watu hapaaa, watu bhanaa,
Kwan case za ushoga wanazofungwa hawa watu unazifuatilia lakini?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaan mtu kukiri kwa mdomo anafungwa, ila mwenye video ikionesha wazi ni yeye yuko kwenye tendo anasumbua na case kurushwa rushwaa, maajabu hayaa. Woiiiiiiiiih
 
Mahakama ya Wilaya ya Kilwa masoko mkoani Lindi imemuhukumu Muharami Ngayoma maarufu Kibwege (30) kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu watu kumwingilia kinyume na maumbile.

Hukumu hiyo ya kesi namba 27 ya mwaka 2023 imetolewa Aprili 17,2023 na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Carolini Mtui ikiwa ni baada ya kumkuta na hatia juu ya kosa hilo ambalo lipo kinyume na kifungu namba 154 kifungu kidogo cha kwanza, sheria ya kanuni ya adhabu sura namba 16.

Mshitakiwa amekiri kosa hilo hivyo amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa lengo la kuifanya jamii kuachana na vitendo ambavyo vinakinzana na sheria za nchi.
Wajelajela wamepelekewa mwali japo si kigoli
 
Kuna kitu hakipo sawa hapa.

Kwanini hizi hukumu zinatolewa ila sisikii mataifa ya nje yakitoa kauli?
 
Mahakamani zinatumika vizuri sana CCTV, Kamera za kawaida etc
Footage itatumika kama ushahidi ikiwa mahakama ilikupa ruhusa ya kurekodi.

Hii ni kwa uelewa wangu.
 
Inategemea ni case gani, wala usitake kutishaa watu hapaaa, watu bhanaa,
Kwan case za ushoga wanazofungwa hawa watu unazifuatilia lakini?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaan mtu kukiri kwa mdomo anafungwa, ila mwenye video ikionesha wazi ni yeye yuko kwenye tendo anasumbua na case kurushwa rushwaa, maajabu hayaa. Woiiiiiiiiih
Sawa mrembo
 
Ameingiliwa na Nani?
Ameingiliwa lini?
Ameingiliwa wakiwa wapi? Shahidi Ni Nani na Nani?
Hizi mahakama za mwanzo zinakiuka Sheria.
Au labda Kibwege amechoka kuishi mtaani ?
Hata yule wa Mbeya, mhuni aliyemchakachua hakuletwa mahakamani.
alikubali hayo maswali yote aliyajibu mfungwa
 
Hayo ni maneno yako, ila mtu akishawekwa mtu kati anakiri mwenyewe na lengo la sasa ni mtu akiri mwenyewe ili afungwe bila kukata rufaa au kuomba review ya uendeshaji kesi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa km chizii, ndo unathibitishaaa kuwa wanakutwa hawa wasiojua chochote, ndo wanakiri ila waelewa hawakiri wanakata rufaa na kuomba review ya uendeshaji wa case.

By the way narudi pale pale huu ni upepoo tyuuh unapita na baadhi ya watu km kafaraa, wala hakuna cha kutishaaa.
 
Back
Top Bottom