Exile
JF-Expert Member
- Feb 21, 2021
- 1,477
- 3,642
Tuma locationHaya kusanya na wenzio mnifatee, wahi wahi harakaa sanaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma locationHaya kusanya na wenzio mnifatee, wahi wahi harakaa sanaaa.
Hao wanaokamatwa wamekamatwaje, Yule wambeya, na wangejificha Mambo yao kichini tungewajua.?Kujionesha kwa kipiii?? Muwe mnafafanua mnaleta taharuki kwa watu wasio husika.
Aliyemuingilia yupo nje free kwenda kuwsingilia wengineMahakama ya Wilaya ya Kilwa masoko mkoani Lindi imemuhukumu Muharami Ngayoma maarufu Kibwege (30) kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu watu kumwingilia kinyume na maumbile.
Hukumu hiyo ya kesi namba 27 ya mwaka 2023 imetolewa Aprili 17,2023 na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Carolini Mtui ikiwa ni baada ya kumkuta na hatia juu ya kosa hilo ambalo lipo kinyume na kifungu namba 154 kifungu kidogo cha kwanza, sheria ya kanuni ya adhabu sura namba 16.
Mshitakiwa amekiri kosa hilo hivyo amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa lengo la kuifanya jamii kuachana na vitendo ambavyo vinakinzana na sheria za nchi.
Sio sawa kumpiga mtu kwa sababu ya ushoga#HABARI Mahakama ya wilaya ya Kilwa imemhukumu Muharami Hassan Nayonga, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumkuta na hatia ya kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na watu mbalimbali.
Muharami ambaye ni mlinzi wa SUMA JKT na mkazi wa Kata ya Masoko, alikamatwa Aprili 13, 2023, baada ya kumshawishi kwa kutumia simu, kijana anayefahamika kwa jina la Zalafi Selemani ili aweze kumuingilia kinyume na maumbile.
Baada ya kukamatwa, mtuhumiwa alichunguzwa na wataalamu wa Afya ambao walibaini kuwa kijana huyo hushiriki ngono kinyume na maumbile.
#EastAfricaTVView attachment 2592764
Mkuje hadi Gate la COET hapa UDSM, ntawafata wenyewe ili mnichukue.Tuma location
Sasa unajua tafsiri ya neno kujionesha?? Au kujiweka wazii?? Nilihitaji ufafanuzi wako ili na mie nipime nione km ni sahihi.Hao wanaokamatwa wamekamatwaje, Yule wambeya, na wangejificha Mambo yao kichini tungewajua.?
hakuna kosa kubwa jela Kama ushoga utajuta ukiingia anga za KM wale jamaa wanajua kubondaBasha kasalimika?
Kela wanapata mke mpya
Tuheshimiane niggaUnataka wakutetee?
Mkuu, sasa hapo ni sawa na mdada ukamfunga jela la wakaka.Mlaji naye atafutwe
Wanawake ni wasiri sana! Halafu tamaa ya kusagana mpaka wawe kwenye hot period (siku za ute)Wasagaji siku hizi wamepoa kweli, toka sakata la milembe na shonza wamejificha au kukimbia, mashoga wanajionyesha Sana mitaani.
Nilimuhoji shoga mmoja wa kike akasema ukizoea huko kuna utamu kuliko voda!Sipati picha yaan dume Zima unaruhusu kutafunwa nyuma
Mbaya sana hii. Hapa mabasha ndio wanatakiwa kuhukumiwa. Unadinda vipi kwa mwanaume mwenzako!? Huyo choko ameonewa pakubwa. Maana kwa aina ya kosa la huyo choko, lazima awepo anayemuingilia.Ameingiliwa na Nani?
Ameingiliwa lini?
Ameingiliwa wakiwa wapi? Shahidi Ni Nani na Nani?
Hizi mahakama za mwanzo zinakiuka Sheria.
Au labda Kibwege amechoka kuishi mtaani ?
Hata yule wa Mbeya, mhuni aliyemchakachua hakuletwa mahakamani.
Halafu Huwezi kuwa basha bila kusengekaMbaya sana hii. Hapa mabasha ndio wanatakiwa kuhukumiwa. Unadinda vipi kwa mwanaume mwenzako!? Huyo choko ameonewa pakubwa. Maana kwa aina ya kosa la huyo choko, lazima awepo anayemuingilia.
We jamaa kataa ndoa upo, mashoga wasichukuliwe hatua upo..... tuliosoma cuba tunaanza kukuelewa
😬 😬 😬 😅 hapana, hiyo ni serikali yako siyo mimituliosoma cuba tunaanza kukuelewa