Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Na aliye muingilia yuko wapiiii???
Mie nashangaa sana mabasha wanaachwaa.
Sio mabasha tu ndugu yangu. Wasagaji hawaguswi hata Kama wanajulikana. Wanaonewa mashoga tu. Tunachosahau Ni kwamba, ili MTU awe shoga, lazima Kuna Basha. Angetokea MTU akamtaka mzee mmoja msagaji ningefurahi wanna.
Erythrocyte pande za huko Temekke, Tabata, Ubungo, Mwenge, Kawe hakuna wasagaji unao wajua ?
 
Lakini unaonaga wanazosema kuwa upande wa wakristo ndo yapo
Huyu bado na mkewe??[emoji101]
IMG_20220331_111946.jpg
 
Sio mabasha tu ndugu yangu. Wasagaji hawaguswi hata Kama wanajulikana. Wanaonewa mashoga tu. Tunachosahau Ni kwamba, ili MTU awe shoga, lazima Kuna Basha. Angetokea MTU akamtaka mzee mmoja msagaji ningefurahi wanna.
Erythrocyte pande za huko Temekke, Tabata, Ubungo, Mwenge, Kawe hakuna wasagaji unao wajua ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona yule Amber Ruti aliyerusha picha zake mitandaoni akifanyiwa kinyume na maadili hakamatwi na kupewa miaka 30?
Huyu aliyefungwa hakuna ushahidi wa picha Wala hakuna aliyejitokeza na kutoa ushahidi kwamba alimkwida?
Dogo akikata rufaa anatoka asubuhi tu. Yeye aombe yoyote aliyemuingilia aje atoe ushahidi.
 
Basha kasalimika?
Kela wanapata mke mpya
Kuna baniani mmoja alikuwa anatest zali!
Nani taka pilau?!; nani taka kate?!;...mahabusu wenzie woote kimya!
Akauliza tena Nani taka kundu?? Wote wakainua mikono lete, lete....
 
Footage itatumika kama ushahidi ikiwa mahakama ilikupa ruhusa ya kurekodi.

Hii ni kwa uelewa wangu.
Basi watu wasingeziweka
Unachoongelea ni kwa ajili ya ufatiliaji wa mtuhumiwa ndo inabidi uombe kibali cha kuweka vifaa vya siri kunasa sauti na picha na hapo unakuta unamtarget fulani
 
Mbona yule Amber Ruti aliyerusha picha zake mitandaoni akifanyiwa kinyume na maadili hakamatwi na kupewa miaka 30?
Huyu aliyefungwa hakuna ushahidi wa picha Wala hakuna aliyejitokeza na kutoa ushahidi kwamba alimkwida?
Dogo akikata rufaa anatoka asubuhi tu. Yeye aombe yoyote aliyemuingilia aje atoe ushahidi.
Kwanzaa mie huwa naona hawafungwi, ila wanawa hadaa wananchi tyuuh kuepusha taharuki, case gan inatolewa hukumu ndani ya dkk 3,

Kwanza mazingira ya ukamatwaji wake ni mashaka matupuu, kwa amber Ruty mbali,

Sema sakata la afande ramaa, linarushwa kila siku ili hali video iko wazi yeye akiwa ana ulilia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hapa wananchii wanazimwa kwa style ya 30yrs kumbe baadae mtu anatokaa njee.
 
Kuna baniani mmoja alikuwa anatest zali!
Nani taka pilau?!; nani taka kate?!;...mahabusu wenzie woote kimya!
Akauliza tena Nani taka kundu?? Wote wakainua mikono lete, lete....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumfunga mwathiriwa bila watuhumiwa ni sawa na kazi bure. Yaani wakuhukumiwa ni waliomtendea hicho kitendo. Huyo aliyetendewa anapaswa kusaidiwa ili awe sawa kisaikolojia na kimaumbile.

Mabasha ndio hasa watuhumiwa. Wanatumia madhaifu ya wanaume wenzao kutenda ufirauni wao. Just imagine limwanaume lizima linasimamisha uume wake na kuingiza sehemu ya kupitisha mavi ya mwanaume mwenzie, halafu anaachwa huru! Ili iweje? Hao ni kuwakata kabisa hivyo viungo vyao. wanawake wapo weeengi bado unamtamani mwanaume mwenzio?
Maelezo yako yanakataa laana kwa Me pekee ila yanabariki Ke kuingiliwa kinyume na maumbile.

Macho Mdiliko kajibu vyema kabisa [emoji116]

"Hapa kuna issues tatu:
1. Waliokuwa wanamwingilia nao wanatakiwa kupata adhabu.
2. Wanawake wanaokubali kuingiliwa kinyume nao wapate adhabu
3. Wanaume wanaowaingilia wanawake kinyume nao adhabu."

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kuna baniani mmoja alikuwa anatest zali!
Nani taka pilau?!; nani taka kate?!;...mahabusu wenzie woote kimya!
Akauliza tena Nani taka kundu?? Wote wakainua mikono lete, lete....
Haya mambo yanahitaji akili na sio mihemko,
Jela unadhani itamfunza adabu?
 
Wasagaji siku hizi wamepoa kweli, toka sakata la milembe na shonza wamejificha au kukimbia, mashoga wanajionyesha Sana mitaani.
 
Wasagaji siku hizi wamepoa kweli, toka sakata la milembe na shonza wamejificha au kukimbia, mashoga wanajionyesha Sana mitaani.
Kujionesha kwa kipiii?? Muwe mnafafanua mnaleta taharuki kwa watu wasio husika.
 
Kumfunga mwathiriwa bila watuhumiwa ni sawa na kazi bure. Yaani wakuhukumiwa ni waliomtendea hicho kitendo. Huyo aliyetendewa anapaswa kusaidiwa ili awe sawa kisaikolojia na kimaumbile.

Mabasha ndio hasa watuhumiwa. Wanatumia madhaifu ya wanaume wenzao kutenda ufirauni wao. Just imagine limwanaume lizima linasimamisha uume wake na kuingiza sehemu ya kupitisha mavi ya mwanaume mwenzie, halafu anaachwa huru! Ili iweje? Hao ni kuwakata kabisa hivyo viungo vyao. wanawake wapo weeengi bado unamtamani mwanaume mwenzio?
Sasa kama mganga ndio kasemannifanye hivyo ili nipate utaji wa kuendesha v8 nafanyaje
 
Back
Top Bottom