Kilwa Lindi: Miaka 30 jela kwa kukiri kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Hauwezi thibitisha muingiliaji bali ni rahisi kuthibitisha muingiliwaji
Utathibitisha vipi kuwa huyu kaingiliwa, bila kuwa na muingiliajiiii??? Hivi mnaona mko sahihi??
 
Ukitaka kuamini kuwa Mahamaka ya Tanzania haitendi haki, subiri uone uamuzi juu ya shauri kama hilo kwa Noel na mashosti zake.
 
Ukitaka kuamini kuwa Mahamaka ya Tanzania haitendi haki, subiri uone uamuzi juu ya shauri kama hilo kwa Noel na mashosti zake.
Wameshatokaaa njee tangu janaa, nasikia ni uchunguzi unafanyilaaa, case itaendeleaa sijui tar 28, ilaa naamini wataachiwa huru.

Case ya ushoga ni kukana na kukataa wazi wazi haufanyi hivyo, ukikiri umeishaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…