Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
MATAGA bana, kweli akili zenu ziliharibiwa kabisa a yule mganga wa kienyeji, kwa hiyo hata TMA nayo inashirikiana na CIA kuhadaa watanzania kuhusu kimbunga?Una akili sana mkuu, BIG UP....mimi nimeenda mbali zaidi, huu mzigo ni wa CIA kwa akili zangu za kutizamia kwenye muvi!
View attachment 1762816
MATAGA bana, kweli akili zenu ziliharibiwa kabisa a yule mganga wa kienyeji, kwa hiyo hata TMA nayo inashirikiana na CIA kuhadaa watanzania kuhusu kimbunga? nsa kimbunga hicho cha Jobo ndio cha kwanza kuripotiwa na hiyo CNN na vituo vingine Duniani|? 🤣 🤣Vita ya kiuchumiUkionganisha nukta za promo ya CNN na kimbunga kupiga pwani ukanda wa Tanzania na mzigo wa tani mbili za heroin hata kama hujui kusoma unaiona picha ya kilichokuwa kinaendelea.
Pumba zenye vumbi na chuya, furahini wauza ngada si aliyekuwa anabana had inye zenu hayupoHao kipindi cha Magu walikuwa hawakamatwi, mama kaanza kazi kwa kishindo hakuna jiwe litaacha kuguswa
Utawala wa magu mwenyeww kuna watu walikuwa wanaingiza wengine wanadakwa,wengine wanapenya
Hii biashara kuumaliza ni ngumu sana
Ova
Yanatia kinyaa maana kwao kila kitu ni kupongeza mfadhili wao.Misukule ya Magu iyo,kulijibu nikupoteza muda
Tena zile nchi zenye sheria kali ukikamatwa na unga hadi kunyongwa bei yake inakuwa juu..watu walivyowabishi bado wanaingizaNgada hauwezi kuizuia 100% ,never
ishu ni kujitahidi kupunguza , hata huko China walipoendelea na sheria kali kali ila bado ngada inaingizwa km kawa..
Labda alipunguza nyumbani kwakoHata mkichukia ila Magu alipunguza madawa kwa kiasi kikubwa mtaani,we endelea kishikiwa kichwa.
Kuna sehemu yeyote nimesema hawakupaswa kukamatwa?!Mkuu kwakuwa walikuwa wanapita dheni hawakupaswa kukamatwa?
Wauza ngada ndio hao wameanza kukamatwa baada ya jambazi kuu lililokuwa likiwalinda kufarikiPumba zenye vumbi na chuya, furahini wauza ngada si aliyekuwa anabana had inye zenu hayupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata husipo ona mimi nimeona,we endelea na akili za kushikiwa na chuki zako ila still legacy ya Magu ktk hili halifutiki.Labda alipunguza nyumbani kwako
Unauliza ndevu kwa Osama?Kwamba Bashite anahusika vp hapo mkuu, elaborate kidogo mkuu
Mkuu mi mgeni mjini, nipe mwongozoUnauliza ndevu kwa Osama?
ukitukana na kukejeli unapata nafuu sana mkuu? mambo mengine usipoyaelewa unayaacha tu yapite na muda ambao unautumia kuyaangalia unautumia kwa kazi nyingine!MATAGA bana, kweli akili zenu ziliharibiwa kabisa a yule mganga wa kienyeji, kwa hiyo hata TMA nayo inashirikiana na CIA kuhadaa watanzania kuhusu kimbunga?
Vidudu mkuu.Una kiwango gani cha elimu?
sa100 mitano tenaaaa, kiukweli tumepata jembe, nyie vibaraka wa mabeberu tuachieni mama yetu, msitake kuleta vuruguTuliokua tunasema now hatuna raisi Naona mnaanza kutuelewa tu taratibu ... rest in power magufuli