aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Trilioni 2 siyo hela nyingi ya kujigamba mkuu, tena kwa wauza unga.tani 2 hapo mzee ni around trilioni 2,yani hapo wangefanikiwa wangelisha mpka vitukuu vyao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trilioni 2 siyo hela nyingi ya kujigamba mkuu, tena kwa wauza unga.tani 2 hapo mzee ni around trilioni 2,yani hapo wangefanikiwa wangelisha mpka vitukuu vyao
Walikuwa wanapotea bila kukamatwa??Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Sawa lakini hapo kuna mgawanyo wa wapokeaji utakuta[emoji15][emoji15][emoji15].tani 2 .hii imevunja rekodi
Hao kipindi cha Magu walikuwa hawakamatwi, mama kaanza kazi kwa kishindo hakuna jiwe litaacha kuguswaBaada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?
Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.
Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.
Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.
Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Hao kipindi cha Magu walikuwa hawakamatwi, mama kaanza kazi kwa kishindo hakuna jiwe litaacha kuguswa
Radio OneSource ya Habari?????????.. Kama hii haina source basi sio habari bali ni[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1762585
Hawana tofauti na wacolombia au wamexicoPopote utakapo muona mpakistani juwa anauza unga.Hamna mpakistani dunia asiyeuza unga hata kama kafungua viwanda dunia mzima ila unga lazma auze.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app