Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Hajaweka source ya habari yake achana nae!
Umachaga unakusumbua mkuu,huoni hiyo picha inaonesha source ya habari mkuu?
FB_IMG_1619272599695.jpg
 
Ni mzigo mkubwa Sanaa
Sawa lakini hapo kuna mgawanyo wa wapokeaji utakuta
Kna mtu hapo utakuta kaahidiwa kg300,mwingine kg 400,kuna wa kg 100
Etc mwishowe tani 2 znaisha kama upepo
Hapo wawabane ili wajue ni wakina nani walikuwa wapokee hapa bongo

Ova
 
Kudadadeki....wakija na vigari vyao wanatanua sana mjin hapa mbuz hawa....

Mpka videmu vyetu wanabeba!!!!

Kumbe ni wachuuzi wa ngada!!!!

In our bongo land they got Life implisonment:
 
Back
Top Bottom