Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Hata mkichukia ila Magu alipunguza madawa kwa kiasi kikubwa mtaani,we endelea kishikiwa kichwa.
Aya kaufukueni ule mzoga muujaze upepo uwe kiongozi wenu misukule ya kisukuma,, na ukiambiwa uho mzigo hao walikuwa wanampelekea nani hutoamini mbu,zi ww
 
Aya kaufukueni ule mzoga muujaze upepo uwe kiongozi wenu misukule ya kisukuma,, na ukiambiwa uho mzigo hao walikuwa wanampelekea nani hutoamini mbu,zi ww
We hata ukimchukia ila jamaa alipambana na madawa na alifanikiwa kupunguza madawa mtaani,we wendelea kushikiwa kichwa.
 
Kuwaonyesha nchi ipo imara ndio ivyo vyombo vyetu imara vya ulinzi vimewadaka,,bashite ajiandae
Bashite kaingiaje tena hapo mkuu?? 😀

Everyday is Saturday................................😎
 
Nenda kamfufue
 
Acha ujinga
 
Hao tembo wasumbufu natural predators wao ni majangili warudi tu, sehemu kubwa ya Morogoro tumezira kulima kwa sababu ya hasara ya tembo, na serikali hailipi, kulipwa siyo sustainable.

Madawa hayajawahi kuisha, hawa watu wangeokotwa kwenye viroba Coco.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Binamu wewe ni 'pundit' mzuri sana linapokuja suala la gossips.

Naweza kusema you're the best in the country!

Ila kwa mtazamo wangu, huku kwenye masuala yanayofanana na siasa unapwaya
 
Mizigo mikubwa hivi kupitishwa hivi inaonekana sio mara moja, ndio njia yao. Inawezekana mwenye mzigo alikuwa chini ya mbawa za JPM, sasa hana kinga watu wamemkaanga.
Nakuona unavyojaribu kuhamisha magoli baada ya kupigwa tatu bila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…