Kim Jong-un taratibu anaendelea kujipenyeza kwenye mzozo wa vita ya Ukraine, haingilii ki-maneno matupu tena bali sasa anaanza kuingia mzima mzima!

Ni kweli kabisa mkuu,Ni Kama ambavyo Afghanistan/Taliban ilivyo vzr kuliko US+NATO wote, Taliban kawapiga wote kwa mpigo huku akiwa kavaa makubazi na AK-47 tu.
Upo sahihi, baada ya miaka 20, hatimae Taleban ameshinda vita.

Kimantiki tunaweza kusema hivyo, lakini ukweli ni kwamba US na washirika wake waliona hakuna faida tena kuendelea kuisaidia iliyokuwa serikali ya Afghan dhidi ya Taleban, hivyo wakajiondoa.
 
Ni wasaa wake wa kutest nuclear
 
Hahah nimekumbuka ule msemo wa 'Excuses are like assholes. Everyone has one, and they all stink.'.
 
Anayetapatapa ni yule aliyekimbilia balaza la usalama kwenda kulialia kisenge
 
Vipi kuhusu Marekani aliyeagiza silaha South Korea kuipatia Ukraine; je, kwa hoja hiyo inamaanisha Marekani na S. Korea ni level moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…