Kim Kardashian na Paris Hilton kuhojiwa sakata la Ronaldo kubaka

Kim Kardashian na Paris Hilton kuhojiwa sakata la Ronaldo kubaka

Ila hata hajui Kim ana matumizi mabaya ya rasilimali, yani ule mpingo wa ray anaogopa ogopa anajificha macho, hamna kitu
Ule mpingo ndo tafsiri halisi ya rungu la kipepe ...halafu kumbe kwenye mapenzi baadhi ya wadada wanakula kweli shahawa aisee maana mule nimeona Kim kamwagiwa mdomoni,mi nadhaniaga ni act tu!!
 
CR7 Moja ya Mchezaji bora Ulimwenguni.

Jambo la kwanza Ronald ni Play boy Mwema/Womanizer,starehe yake pendwa mbali na soka ni Wanawake.

Pesa,Umaruufu na Muonekana ambao upo kwa bwana CR7 ambavyo husemekana vinawavutia warembo Ukichanganya na tabia yake yakupenda ngono hivyo ametembea na warembo wengi mno.

Ukifutailia warembo aliotembea nao bwana huyu si haba Mfano Jordana,Merche,Gemma,Nereida,Gabriela,Lucia,Georgina,mbali labda nakuzushiwa na kuandikwa na vyombo vya habari haiondoi ukweli wa bwana huyu kupenda warembo/ngono.

U-Play boy/Womanizer unagharama yake pia,Mfano Jamii kwa wingi wake ikatambua yakuwa U-Womanizer hata habari zikipatikana yakwamba Umefumaniwa na mke ya Mtu kisha ukaliwa kiboga Kama mboga jamii haitashtuka sana,Sana sana watanena yakwamba siku zako zilikuwazimekamu/Siku zako zilikuwa zinahesabika tu.

Kathryn yeye anadai anataarifa nyeti kuhusu tukio alilofanyiwa na CR7 Las Vegas.Kathryn alikuwa anafanya kazi" Nigth club dancer" ni pia inasemekana akiwa mdogo alisumbuliwa na Attention Deficit Disorder(Hapa wataalamu wa Afya wanaweza kulieza vyema) hivyo ADD humfanya mtu kuwa na kumbukumbu fupi,kushindwa kuhimili/kukamilisha shughuli,assignment,schoolwork n.k

Yeye anadai tukio la kubakwa limemuathiri kimwili na kiroho na kisaikolojia.

Inawezekana kweli CR7 alifanya kitendo hicho cha kutaka penzi kwa nguvu pasipo ridhaa ya binti au walikubaliana lakini binti amemua kumfanyia Ushenzi kwa kugeuza side b ya kanda,au Cr7 hakufanya kitendo hicho na hapo awali alitweet kuwa ni fek fek news watu wanataka umaarufu kupitia Yeye.

Lakini kwa asilimia nyingi Cr7 anaonekana alipima oil ya mwanadada Kathryn.

Ukiwa Jamii ya side Mnyamwezi Roho yako inakuwa na hamu hamu yakutafuna nyama mbalimbali siajabu hata kupita na binamu zako,Shemeji na n.k.

Mwamuzi Mkuu ni Mahakama,Haki itapatikana nani apewe na nani ahukumiwe.

Yetu Macho na Masiko,Maisha ni Safari milima na mabonde.
 
Picha Mwaka 2009.

CR7 na Kathryn ndani ya Night Club Las Vegas.

Kathryn-Ronaldo_Picture-Credits-Twitter.jpg
Kathryn-Mayorga-images.jpg
 
Ila kaka zetu wanafaidi kweli majuu, Yani toto kama Kim linatafunwa na Nigga yani dah
Dah kweli! Babu zetu na uoga wao wa kindezi ndo umesababisha tubakie Africa hapa kula vumbi tu.laiti wasingemkimbia mzungu wangekubali tu wachukuliwe watumwa huenda wewe sahizi ungekuwa zako Fort Lauderdale mimi ningekuwa zangu Atlanta tunakula maisha tu na mabebe wakali [emoji23][emoji23] sio hawa akina Siwatu Mafirigisi na Rhoda chechezamoto
 
Kuna aina ya wanawake wameumbwa kwa ajili ya starehe tuu,,not otherwise
Ndio kina hao yaani uoe kwa show off tuu sio eti aje kuwa mama wa watoto wako...au eti awe wako mpaka kuzikana au kifo kiwatenganishe!!
Adden you are right. Kumuoa mtu kama Kim unakuwa sentenced to stress for life!!!
 
Ila kaka zetu wanafaidi kweli majuu, Yani toto kama Kim linatafunwa na Nigga yani dah

Ana bahati sana kuolewa na Niga. Kim hana hadhi ya kuolewa na Kanye. Ni malaya fulani hivi we fikiria kalala na fala ka mkristu Ronaldo!!!! Sintoshangaa nikisikia aliwahi kuamka na domo_Dayamondi wa Madale
 
Wanataka kumuudhi tu Kanye west
Kanye huyu jamaa huwa anifurahisha sana.
Kim inaonekana aligawa kitumbua chake kwa nyomi.

Kanye anakwambia "Kusema yakwamba mimi sio Genius nitakuwa ninakudanganya na kujiongopea Nafsi yangu"

dumb-west6.jpg
 
Ronaldo ana kesi ya kujibu.

Uahahidi upo huyo mwanamke alipobakwa na Ronaldo alitoa taarifa polisi ya kubakwa na akataja kua ni mwanasoka wa ulaya ila akaogopa kumtaja jina kwa hofu kua itaonekana anatafta umaarufu.

Hata daktari aliempima alikuta shahawa na muingilio wa nguvu(forceful entry). Pia huyo mwanamke hakutaka kuwapa wapelelezi ushirikiano kipindi hicho baada ya wapambe wa Ronaldo kumtishia.

Baada ya huo msala Ronaldo aliajiri watu wanaoitwa fixers au personal reputaion protection specialists ambao walimtishia huyo mwanamke kutokusema chocchote na kumuahidi mpunga.

Ile settlement ya dollar laki 3 na ushee na ile nondisclosure agreement ndio ushahidi tosha kua Ronaldo alibaka.

Trump alimtafuna yule malaya, alipoulizwa akakataa, wanasheria wake wakakataa na kuwaka kama mbogo na kusema huyo malaya kakiuka mkataba, juzi mwanasheria mmoja kakiri Trump alimtafuna yule malaya na kumlipa asiseme chochote(nondisclosure agreement).

Ronaldo ajiandae kuchezea miaka.
 
Back
Top Bottom