mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,904
- 8,371
Haha wenzetu hawana wivu wa Kichaga.Wanataka kumuudhi tu Kanye west
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha wenzetu hawana wivu wa Kichaga.Wanataka kumuudhi tu Kanye west
Haha hahaDah kweli! Babu zetu na uoga wao wa kindezi ndo umesababisha tubakie Africa hapa kula vumbi tu.laiti wasingemkimbia mzungu wangekubali tu wachukuliwe watumwa huenda wewe sahizi ungekuwa zako Fort Lauderdale mimi ningekuwa zangu Atlanta tunakula maisha tu na mabebe wakali [emoji23][emoji23] sio hawa akina Siwatu Mafirigisi na Rhoda chechezamoto
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Demu kwenye kesi anasema kaliwa ndogo na jamaa. Kwaio takua wanaulizwa kina Kim kama nawao aliwala ndogo.
Hapendi aongelewe anasema waheshimu familia yakeHaha wenzetu hawana wivu wa Kichaga.
Evelyn nirushie huo mzigo wa Kim hata kwa pm basi nisafishe mijicho!Hakujituma hata kidogo
ohoooo kesi zingine chonganishi hasaaaDemu kwenye kesi anasema kaliwa ndogo na jamaa. Kwaio takua wanaulizwa kina Kim kama nawao aliwala ndogo.
kwa picha hizi hawezi kuwa alimbaka!!..kuna kitu hapa!Picha Mwaka 2009.
CR7 na Kathryn ndani ya Night Club Las Vegas.
View attachment 889743View attachment 889744
uko sahihi boss haiwezekani kuwa alibakwa malaya huyo picha zinaonyesha kabisa kulikuwa na makubaliano flanHuyo alikubali kupigwa dufkurunumbu...
Hata hizo picha zinaonesha alivyokuwa anajilengesha!...
Hata sina jaribu Ku google labdaEvelyn nirushie huo mzigo wa Kim hata kwa pm basi nisafishe mijicho!
Umaskini umemuingia anataka kuingiza watu cha Kike..uko sahihi boss haiwezekani kuwa alibakwa malaya huyo picha zinaonyesha kabisa kulikuwa na makubaliano flan
Dah[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ngoja nicheke niongeze siku za kuishiDah kweli! Babu zetu na uoga wao wa kindezi ndo umesababisha tubakie Africa hapa kula vumbi tu.laiti wasingemkimbia mzungu wangekubali tu wachukuliwe watumwa huenda wewe sahizi ungekuwa zako Fort Lauderdale mimi ningekuwa zangu Atlanta tunakula maisha tu na mabebe wakali [emoji23][emoji23] sio hawa akina Siwatu Mafirigisi na Rhoda chechezamoto
Ronaldo hafungwi hapo kaka....Ronaldo ana kesi ya kujibu.
Uahahidi upo huyo mwanamke alipobakwa na Ronaldo alitoa taarifa polisi ya kubakwa na akataja kua ni mwanasoka wa ulaya ila akaogopa kumtaja jina kwa hofu kua itaonekana anatafta umaarufu.
Hata daktari aliempima alikuta shahawa na muingilio wa nguvu(forceful entry). Pia huyo mwanamke hakutaka kuwapa wapelelezi ushirikiano kipindi hicho baada ya wapambe wa Ronaldo kumtishia.
Baada ya huo msala Ronaldo aliajiri watu wanaoitwa fixers au personal reputaion protection specialists ambao walimtishia huyo mwanamke kutokusema chocchote na kumuahidi mpunga.
Ile settlement ya dollar laki 3 na ushee na ile nondisclosure agreement ndio ushahidi tosha kua Ronaldo alibaka.
Trump alimtafuna yule malaya, alipoulizwa akakataa, wanasheria wake wakakataa na kuwaka kama mbogo na kusema huyo malaya kakiuka mkataba, juzi mwanasheria mmoja kakiri Trump alimtafuna yule malaya na kumlipa asiseme chochote(nondisclosure agreement).
Ronaldo ajiandae kuchezea miaka.
Hayo yako Bongo sio ulaya. Huo ucenge uko Bongo sio ulaya.Ronaldo hafungwi hapo kaka....
kama vile simba na yanga wasivyoshuka daraja...
Kwa hivyo kwa malalamiko ya huyo dada tayari kesi imekwisha... Ronaldo anasubiri kifungo.....so patheticHayo yako Bongo sio ulaya. Huo ucenge uko Bongo sio ulaya.
Subiri achezee miaka.