Kim Kardashian na Paris Hilton kuhojiwa sakata la Ronaldo kubaka

Kim Kardashian na Paris Hilton kuhojiwa sakata la Ronaldo kubaka

Dah kweli! Babu zetu na uoga wao wa kindezi ndo umesababisha tubakie Africa hapa kula vumbi tu.laiti wasingemkimbia mzungu wangekubali tu wachukuliwe watumwa huenda wewe sahizi ungekuwa zako Fort Lauderdale mimi ningekuwa zangu Atlanta tunakula maisha tu na mabebe wakali [emoji23][emoji23] sio hawa akina Siwatu Mafirigisi na Rhoda chechezamoto
Haha haha
 
Naona Messi na Perez wameandaa njama ya kupunguza speed ya Ronaldo, hakika watafeli[emoji16][emoji16]
 
Write your reply...
sasa mtu mwenye jina kubwa, maarufu,na mwenye pesa anabaka!!.. na sisi waunga mchuzi tufanyeje??.
 
Dah kweli! Babu zetu na uoga wao wa kindezi ndo umesababisha tubakie Africa hapa kula vumbi tu.laiti wasingemkimbia mzungu wangekubali tu wachukuliwe watumwa huenda wewe sahizi ungekuwa zako Fort Lauderdale mimi ningekuwa zangu Atlanta tunakula maisha tu na mabebe wakali [emoji23][emoji23] sio hawa akina Siwatu Mafirigisi na Rhoda chechezamoto
Dah[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ngoja nicheke niongeze siku za kuishi
 
Ronaldo ana kesi ya kujibu.

Uahahidi upo huyo mwanamke alipobakwa na Ronaldo alitoa taarifa polisi ya kubakwa na akataja kua ni mwanasoka wa ulaya ila akaogopa kumtaja jina kwa hofu kua itaonekana anatafta umaarufu.

Hata daktari aliempima alikuta shahawa na muingilio wa nguvu(forceful entry). Pia huyo mwanamke hakutaka kuwapa wapelelezi ushirikiano kipindi hicho baada ya wapambe wa Ronaldo kumtishia.

Baada ya huo msala Ronaldo aliajiri watu wanaoitwa fixers au personal reputaion protection specialists ambao walimtishia huyo mwanamke kutokusema chocchote na kumuahidi mpunga.

Ile settlement ya dollar laki 3 na ushee na ile nondisclosure agreement ndio ushahidi tosha kua Ronaldo alibaka.

Trump alimtafuna yule malaya, alipoulizwa akakataa, wanasheria wake wakakataa na kuwaka kama mbogo na kusema huyo malaya kakiuka mkataba, juzi mwanasheria mmoja kakiri Trump alimtafuna yule malaya na kumlipa asiseme chochote(nondisclosure agreement).

Ronaldo ajiandae kuchezea miaka.
Ronaldo hafungwi hapo kaka....
kama vile simba na yanga wasivyoshuka daraja...
 
Back
Top Bottom