Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nmesoma kule googole na isitoshe alipost kavideo akisema it's not true about this situationRonaldo kasema wapi? Weka link hapa. Ninavyojua mimi Ronaldo hataki kuongea chochote kuhusu hili swala, alichofanya ni kutoa statement moja tu kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Mi nmesoma kule googole na isitoshe alipost kavideo akisema it's not true about this situation
Kalalamike wewe mkuu kua umepigwa paipu.Kwa hivyo kwa malalamiko ya huyo dada tayari kesi imekwisha... Ronaldo anasubiri kifungo.....so pathetic
Kumbe Kim nae sio mchoyo eeeh.
Ila Ray J alizidi[emoji23] [emoji23] ...si kwa kumdinyaa vileeHuwaga hapendi hizo mambo kukumbushia waliowahi kumdinya mkewe kumbuka kisa ray j had Leo huwa hapatani naye
Dah kweli! Babu zetu na uoga wao wa kindezi ndo umesababisha tubakie Africa hapa kula vumbi tu.laiti wasingemkimbia mzungu wangekubali tu wachukuliwe watumwa huenda wewe sahizi ungekuwa zako Fort Lauderdale mimi ningekuwa zangu Atlanta tunakula maisha tu na mabebe wakali [emoji23][emoji23] sio hawa akina Siwatu Mafirigisi na Rhoda chechezamoto
Ray J ni ' Mr misifa boy...though now kaoa na kakid kakeIko ile video mitandaoni kim analiwa na yule dogo ray...anakazwa mbaya kbs
Nick who??Hata juzi juzi tu hapa aliongea kuhusu Nick kumuongelea mkewe kwenye interview hakupenda
Ana bahati sana kuolewa na Niga. Kim hana hadhi ya kuolewa na Kanye. Ni malaya fulani hivi we fikiria kalala na fala ka mkristu Ronaldo!!!! Sintoshangaa nikisikia aliwahi kuamka na domo_Dayamondi wa Madale
Unamjua Perez au unamsikia?Ronaldo kasema x club yake ndo ipo nyuma ya hii kesi...sasa sijui kuna ukweri hapo
Ila Ray J alizidi[emoji23] [emoji23] ...si kwa kumdinyaa vilee
Lkn mbona Kim K kageuka kuwa mfano wa mama bora wa 'mawaruwaru' world wide?Kuna aina ya wanawake wameumbwa kwa ajili ya starehe tuu,,not otherwise
Ndio kina hao yaani uoe kwa show off tuu sio eti aje kuwa mama wa watoto wako...au eti awe wako mpaka kuzikana au kifo kiwatenganishe!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtu kabakwa 2009 lakini 2018 wanafufua kaburi!. Angekuwa bongo ni tunamuuliza ushahidi unao?. Kesi imeisha!..
Nashukuru kuzaliwa Afrika!.
Unamjua Perez au unamsikia?
Yule mzee ni stakeholder wa mafia 60% iko pale!
Halafu ana pesa chafu balaa, CR ajiangalie kama aliondoka kinoko noko kama kawaida yake yule mzee atammaliza!
Babe njoo pmHapendi kukumbushia au aongelewe
Na akaishia gerezani...ukiona celeb umefukuliwa kaburi ujue unaenda jela au wafwaa...huoni MJ alivyofilisiwa kisa hataki jela!Hushangai ya Bill Cosby ? 2009 juzi tu hapo
Hamna bana ile ni k mkuuIngia kwenye maporn sites ukiandika tuu inakuletea jinsi mtoto anavyoulilia..afuu inaonesha alikuwa anamla ndogo
Ulishaona ya Rihanna?...anajua mauno huyooHakujituma hata kidogo