Kimachosababisha wanaume wengi kusomesha wapenzi wao ni kulinda hadhi yake na ya watoto watakaowapata

Kimachosababisha wanaume wengi kusomesha wapenzi wao ni kulinda hadhi yake na ya watoto watakaowapata

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Ipo hivi, unakuta mtu anafanya kazi inayomuingizia kipato cha kutosha na anajuana na watu wengi wenye hadhi zao, lakini upande wa pili mwanamke aliyenaye anafanya kazi kwa mshahara usiozidi hata laki 3 mfano hawa walimu wa chekechea na hawa ma medical attendants

Kwa mantiki hiyo lazima amsomeshe mwanamke wake angalau afike kwenye degree ,kama ni mwalimu angalau akawe mwalimu wa sekondari kidogo inaridhisha au kama ni huyo medical attendant angalau afike ngazi ya degree awe nurse officer (N.O) kidogo kuna kaheshima kapo .

Sasa ubaya unaanza pale wewe mwanaume elimu yako ni ndogo na kipato chako pia ni kidogo halafu unajitutumua kumsomesha mwanamke ili huko mbeleni msaidizane kimaisha ,hapa ndipo unapofeli kwa asilimia kubwa na ndipo ule msemo wa mwanamke hasomeshwi unapojitokeza.

Lakini kama mwanaume una pesa ya kutosha na elimu pia unayo, kumsomesha mwanamke wako sio jambo baya ila tu asikuvuke ulipo wewe.
 
Mchumba hasomeshwi, i repeat, mchumba hasomeshwi, over, copy that
 
Mapenzi ya siku hizi yana ujinga mwingi.

KATAA NDOA nawaelewa sana.
 
Usisomeshe mwanamke just mwanamke mliyekutana nae barabarani, fanya hivyo kwa mke wako, mama wa watoto wako unaejua ameshikilia future ya kizazi chako, asipokufaa wewe atafaa uzao wako.
 
Kama unaweza muhonga mwanamke gari au nyumba kwann iwe nongwa kumuhonga elimu.
Kipi gharama kulipia kati ya shule,gari,au nyumba tuache ubinafsi.
Hata akikukimbia atawasaidia wengine wanufaike.
 
Achana na hayo mambo utakuja kujinyonga bure ....Mwanamke aliyesoma
 
Ipo hivi, unakuta mtu anafanya kazi inayomuingizia kipato cha kutosha na anajuana na watu wengi wenye hadhi zao, lakini upande wa pili mwanamke aliyenaye anafanya kazi kwa mshahara usiozidi hata laki 3 mfano hawa walimu wa chekechea na hawa ma medical attendants

Kwa mantiki hiyo lazima amsomeshe mwanamke wake angalau afike kwenye degree ,kama ni mwalimu angalau akawe mwalimu wa sekondari kidogo inaridhisha au kama ni huyo medical attendant angalau afike ngazi ya degree awe nurse officer (N.O) kidogo kuna kaheshima kapo .

Sasa ubaya unaanza pale wewe mwanaume elimu yako ni ndogo na kipato chako pia ni kidogo halafu unajitutumua kumsomesha mwanamke ili huko mbeleni msaidizane kimaisha ,hapa ndipo unapofeli kwa asilimia kubwa na ndipo ule msemo wa mwanamke hasomeshwi unapojitokeza.

Lakini kama mwanaume una pesa ya kutosha na elimu pia unayo, kumsomesha mwanamke wako sio jambo baya ila tu asikuvuke ulipo wewe.
Kwamba mkuu na ww unaona hapa umeandika point 🤔
 
Ipo hivi, unakuta mtu anafanya kazi inayomuingizia kipato cha kutosha na anajuana na watu wengi wenye hadhi zao, lakini upande wa pili mwanamke aliyenaye anafanya kazi kwa mshahara usiozidi hata laki 3 mfano hawa walimu wa chekechea na hawa ma medical attendants

Kwa mantiki hiyo lazima amsomeshe mwanamke wake angalau afike kwenye degree ,kama ni mwalimu angalau akawe mwalimu wa sekondari kidogo inaridhisha au kama ni huyo medical attendant angalau afike ngazi ya degree awe nurse officer (N.O) kidogo kuna kaheshima kapo .

Sasa ubaya unaanza pale wewe mwanaume elimu yako ni ndogo na kipato chako pia ni kidogo halafu unajitutumua kumsomesha mwanamke ili huko mbeleni msaidizane kimaisha ,hapa ndipo unapofeli kwa asilimia kubwa na ndipo ule msemo wa mwanamke hasomeshwi unapojitokeza.

Lakini kama mwanaume una pesa ya kutosha na elimu pia unayo, kumsomesha mwanamke wako sio jambo baya ila tu asikuvuke ulipo wewe.
Unazungumzia mwanamke au mke??
Embu kuwa specific.
Kama ni mke hakuna tabu kumsomesha.
Ila kama mwanamke tu hujamuoa hata kama una pesa kama Mansour Thamim Al thani usisomeshe mwanamke.
Wewe sio babaake mzazi.
 
Back
Top Bottom