Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Hii ni barabara pana kuliko zote duniani.
Na kibaha-kibaha ndio barabara pana kuliko zote east africa.
Ina lanes 20 kila upande.
Tofauti ni design ya feeder roads, hii ya Marekani haina mataa.
Pia, vifuko vya watembea kwa miguu vimewekwa chini (underpass)
Na kibaha-kibaha ndio barabara pana kuliko zote east africa.
Ina lanes 20 kila upande.
Tofauti ni design ya feeder roads, hii ya Marekani haina mataa.
Pia, vifuko vya watembea kwa miguu vimewekwa chini (underpass)